Ndoo ya maji Kimara yauzwa 1,000/-
WAKAZI wa Kimara jijini Dar es Salaam wanaendelea kununua ndoo ya majisafi kwa Sh 1,000 na maji hayo hayapatikani kwa urahisi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo05 Aug
Wananchi wauziwa ndoo ya maji 1,000/-
WAKAZI wa Kitongoji cha Nsololo wilayani Uyui katika Mkoa wa Tabora, hawana huduma ya maji ya kisima kwa zaidi ya miezi saba sasa, baada ya kisima kilichokuwepo kufungwa na uongozi wa eneo hilo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
LORI LA LAPINDUKA KIMARA WATU WANAJISEVIA MAFUTA KWA NDOO
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Barua ya Mao Zedong yauzwa $918,000
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Sanamu ya paka yauzwa kwa dola 80,000
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Nywele ya Lincoln yauzwa kwa dola 25,000
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Waziri wa Maji atoa siku 90 kwa Mkandarasi Megha Engineering anaesambaza bomba la maji mradi wa Mlandizi Kimara
Waziri wa maji Jumanne Maghembe (wa kwanza kulia) akizungumza na wakandarasi wanaojenga bomba la maji la Mlandizi Kimara Januari 20, 2015 mkoani Pwani wakati alipotembelea tembelea miradi ya maji inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na maji Taka (DAWASA), kwa lengo la kupata tathimini ya mradi huo ulipofikia sasa.(Habari Picha na Philemon Solomon).
WAZIRI wa maji Jumanne Maghembe ametoa siku 90, kwa mkandarasi Megha Engineering Infrastructure Limited anaesambaza bomba la maji mradi wa...
11 years ago
Mwananchi05 Jul
BRAZIL 2014: Tiketi mechi ya Ujerumani, Ufaransa yauzwa dola 1,000
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jPiKrgIh-LU/VlmiIp_LyqI/AAAAAAAIIwk/QzZfz4BDAyQ/s72-c/07.jpg)
Chanzo cha maji cha Ruvu Chini kuwatua akina mama ndoo za maji
![](http://4.bp.blogspot.com/-jPiKrgIh-LU/VlmiIp_LyqI/AAAAAAAIIwk/QzZfz4BDAyQ/s640/07.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HGSyjo2g948/VlmiKAqUMlI/AAAAAAAIIww/2LL3Pn6iSPs/s640/08.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-n6SnvV-6I7U/VlmiFECqDFI/AAAAAAAIIv8/zxtfB1EvtdQ/s640/03.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Habarileo09 Jan
Ndoo ya maji Chalinze yafikia Sh 700
UONGOZI wa Mradi wa Maji wa Wami Chalinze wilayani Bagamoyo, umetakiwa kutoa taarifa juu ya ukosefu wa maji, uliodumu takribani mwezi mzima sasa.