CCM WASHINDA NAFASI YA UENYEKITI MJI MDOGO WA HIMO
![](http://4.bp.blogspot.com/-gZOTKuamobQ/VWlI97te7fI/AAAAAAAAQIA/c-DOYWYtIe4/s72-c/E86A8602%2B%2528800x533%2529.jpg)
Mwenyekiti mpya wa mji mdogo wa Himo Hussein Jamal akizungumzamara baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo katika uchaguzi huo uliofanyika katika shule ya walemavu wa usikivu eneo la njia Panda.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi,Moris Makoi akisalimia mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi huo.
Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga akizungumza wakati wa kufunga kikao cha uchaguzi huo. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0R4WLFRUOW8/VWws2ulVmwI/AAAAAAAAQOI/Cnkn43gUkNA/s72-c/E86A8904%2B%2528800x533%2529.jpg)
CCM MOSHI VIJIJINI WAMPONGEZA MWENYEKITI MPYA WA MJI MDOGO WA HIMO HUSSEIN JAMAL.
![](http://4.bp.blogspot.com/-0R4WLFRUOW8/VWws2ulVmwI/AAAAAAAAQOI/Cnkn43gUkNA/s640/E86A8904%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-g4Z4Z-33N1c/VWws7MXl8kI/AAAAAAAAQOk/R62bZTDe1og/s640/E86A8916%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-raQz9jYwXJs/VWws_IIgVpI/AAAAAAAAQPU/KDk4LCKAmjo/s640/E86A8970%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
MichuziWAKAZI KATIKA MJI MDOGO WA HIMO WAFANYA SHEREHE YA KUMUAGA AFANDE LABAN AKEYO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2IxQ5cS0N8g/VHRWRyUiG7I/AAAAAAAGzTs/y7VgdsD_VxE/s72-c/IMG-20141124-WA037.jpg)
Mgombea wa Nafasi ya Uenyekiti Serikali ya Mtaa wa Oysterbay kwa tiketi ya CCM arudisha fomu
![](http://2.bp.blogspot.com/-2IxQ5cS0N8g/VHRWRyUiG7I/AAAAAAAGzTs/y7VgdsD_VxE/s1600/IMG-20141124-WA037.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SCbyS9YF2pA/VHRWUOK9CBI/AAAAAAAGzT0/IR_CQfkhb-I/s1600/IMG-20141124-WA036.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7Bg_vzY4aAI/Xtyxf3ZSCaI/AAAAAAALs5s/LC0nHAGHshYSV48fhI_7dKA4euPkjhAcwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200606-WA0008.jpg)
CCM BAGAMOYO KUKAA MEZA MOJA NA VIONGOZI WA HALMASHAURI YA MJI MDOGO NA WILAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7Bg_vzY4aAI/Xtyxf3ZSCaI/AAAAAAALs5s/LC0nHAGHshYSV48fhI_7dKA4euPkjhAcwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200606-WA0008.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO .
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, kimejipanga ,kuwakutanisha viongozi wa Halmashauri ya Mji Mdogo na wa Halmashauri ya Wilaya, ili kuhakikisha wanashirikiana na kuondoa muingiliano wa mambo kwa maslahi ya wananchi.
Hatua hiyo inalenga kila Mamlaka kutimiza majukumu kulingana na mipaka yake, lengo kubwa ni kuondoa muingiliano wa kazi, hali inayoonekana kujitokeza ikichangia kukwama kwa baadhi ya shughuli za...
11 years ago
Habarileo03 Jan
Mji wa Himo wapata maji safi
MAMLAKA ya Majisafi na Majitaka mjini Moshi (MUWSA) imetekeleza agizo la Serikali la kuwapatia huduma za maji wakazi wa mji wa Himo na vitongoji jirani, kwa kuanza kwa kuwapatia huduma hiyo bure huku mipango ya kulipia ikiandaliwa.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1HrQ5hJufBY/VYRiiygHzrI/AAAAAAAC7GA/ZE3DaVO9VXU/s72-c/10.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AUNGURUMA WILAYANI BUSANDA NA MJI MDOGO WA KATORO MKOANI GEITA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1HrQ5hJufBY/VYRiiygHzrI/AAAAAAAC7GA/ZE3DaVO9VXU/s640/10.jpg)
Ndugu Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, yupo mkoani Geita kwa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia utekelezaji...
11 years ago
Habarileo24 Feb
Watakiwa kutoachia wanaume pekee nafasi ya uenyekiti
WANAWAKE wameshauriwa kujitokeza kuwania nafasi ya uenyekiti wa Bunge Maalumu badala ya kuachia fursa hiyo wanaume pekee.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xtBPm6ISfdAS-IO9TOjzddmj1GmaV99Cjoe5liwkRA*OOgu1zCXlxe00ZfPOLEz9UA5USASIIkC3ZRghWp6aILmLJsX*pzIa/CHADEMA2.jpg?width=650)
FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA UENYEKITI CHADEMA
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA PROIN, JOHNSON LUKAZA NA MDOGO WAKE WASHINDA KESI YA EPA