CCM wavuruga kijijini kwa Mbunge Selasini
Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Rombo, kimeitikisa ngome ya Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini (NCCR-Mageuzi), baada ya zaidi ya wananchi 140 katika Kijiji cha Makiidi, ambako ndiko nyumbani kwa mbunge huyo kujiunga na chama hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Joseph Selasini
10 years ago
Habarileo21 Jun
Wasaka urais CCM wavuruga wabunge
WAKATI wasaka urais wa CCM wakizunguka nchi nzima kutafuta wadhamini ili watimize masharti ya kutimiza ndoto zao, vita ya wasaka majimbo imepamba moto kiasi cha kukimbiza wabunge na mawaziri karibu wote katika vikao vya Bunge vinavyoendelea Dodoma.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hU41ESoc5bE/VJXETJJYCeI/AAAAAAAG4xA/qu7Wm9Xo5bg/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
MBUNGE WA CHALINZE RIDHIWANI KIKWETE AKARIBISHWA RASMI NA WAZEE WA KIJIJINI MSOGA KWA SHEREHE ZA JADI
10 years ago
MichuziMBUNGE MBATIA AJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA WAPIGA KURA KIJIJINI KWAO KWAMARE JIMBONI VUNJO
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pt9nsq0us3I/XsisLu6bYuI/AAAAAAAEHTM/iwG2Gn0qp5UwwfPRG-PZQ0Om5r0d92ChwCLcBGAsYHQ/s72-c/SHANA-NA-LEMA.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA ARUSHA LATOA ONYO KWA WAVURUGA AMANI PAMOJA NA MADEREVA WALEVI NA WASIOZINGATIA SHERIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pt9nsq0us3I/XsisLu6bYuI/AAAAAAAEHTM/iwG2Gn0qp5UwwfPRG-PZQ0Om5r0d92ChwCLcBGAsYHQ/s320/SHANA-NA-LEMA.jpg)
Jeshi la polisi mkoani Arusha limetoa onyo kwa watu wachache wanaopenda kuvuruga amani katika kipindi cha sikukuu na kuwataka waache mara moja kuwa na fikra hizo kwani watachukuliwa hatua za kisheria.
Akizungumza Kamanda wa polisi mkoani hapa Jonathan Shana amesema kuwa kwa upande wa madereva wa vyombo vya usafiri ni marufuku kuendesha vyombo hivyo wakiwa wamelewa ,mwendokasi pamoja na kujaza abiria kupita kiasi kwani hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yaoAidha...
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Mbunge CCM amjibu Magufuli kwa vitendo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8Ad1nkQkXKc/Xl7Bk24GRKI/AAAAAAALgzA/F3yjIVVtXAIbtUnmGJgF38MuEU4EMtT8wCLcBGAsYHQ/s72-c/5R7A2733AA-768x512.jpg)
MBUNGE MWINGINE WA JIMBO LA OLE KWA TIKETI YA CUF AOMBA KUJIUNGA NA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-8Ad1nkQkXKc/Xl7Bk24GRKI/AAAAAAALgzA/F3yjIVVtXAIbtUnmGJgF38MuEU4EMtT8wCLcBGAsYHQ/s640/5R7A2733AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/5R7A2801AA-1024x682.jpg)
Akiwa katika Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Zanzibar Ndugu Humphrey Polepole amepokea maombi aya kujiunga na CCM ya Mbunge mwingine wa CUF Ndugu Juma Hamad Omari Mbunge wa Jimbo la Ole.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-IRUMv7t-BkY/VKXQaRBHbPI/AAAAAAADLIU/FVC7ZS4GdRQ/s72-c/115.jpg)
Salamu za Mbunge wa Nzega -CCM Dr. Hamisi Kigwangalla kwa Watanzania , Mwaka Mpya 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-IRUMv7t-BkY/VKXQaRBHbPI/AAAAAAADLIU/FVC7ZS4GdRQ/s1600/115.jpg)
Mbunge wa Nzega -CCM Dr Hamisi Kigwangalla-Ni Mwaka Mpya Tena! Dr. Hamisi Kigwangalla, MB.Ndugu Watanzania wenzangu,Kwa heshima na taadhima na kwa moyo wa kiutumishi, najisikia furaha kuwatumia salamu za Mwaka mpya 2015. Kwa hakika Mungu amekuwa mwema sana kwangu na kwako mwaka 2014 kwa namna nyingi mbalimbali, ila kwa kiasi kikubwa kwa kutujalia zawadi ya uhai, mafanikio kwenye kazi zetu, uvumilivu tulipoanguka, nguvu tulipokutana na changamoto mbalimbali, na uwezo wa kupambana nazo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
RAIS MAGUFULI NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU AMBAYO TUMEPEWA WATANZANIA-MBUNGE CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s400/9.jpg)
MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Amina Mollel (CCM) amelieleza Bunge kuwa Rais Dkt.John Magufuli ni zawadi tuliyopewa na Mungu, hivyo kikubwa ni kuendelea kumuombea awe na maisha marefu zaidi.
Mollel amesema hayo wakati wa vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Mjini Dodoma ambapo wabunge walipata nafasi ya kujadili maazimio mawili, Azimio la kwanza ni kumpongeza Rais Magufuli na azimio la pili ni kumpongeza Spika wa Bunge Job Ndugai.
Akieleza zaidi mbele ya...