Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yahaha kuwaokoa mawaziri waliobwagwa

Pg 4NA MWANDISHI WETU, DODOMA

KATIKA kile kinachoweza kutafsiriwa kama njia ya kuwaokoa mawaziri waliobwagwa kwenye kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kamati Kuu (CC) imefuta matokeo ya awali na kutangazwa kufanyika upya kwa uchaguzi upya kwenye majimbo matano.

Kutokana na kufutwa kwa matokeo hayo, CC imeamuru kurudiwa kwa kura za maoni kesho, na matokeo yake kuwasilishwa haraka ngazi za juu kwa ajili ya uamuzi wa mwisho.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa, Katibu wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

CCM yawatosa mawaziri waliobwagwa ubunge

 ccmPatricia Kimelemeta na Esther Mbussi, Dar es Salaam

LICHA ya Chama Cha Mpinduzi (CCM) kuamuru kurudiwa  uchaguzi katika baadhi ya majimbo yakiwamo  yaliyokuwa yanaongozwa na mawaziri wa Rais Jakaya Kikwete, hatimaye chama hicho kimewatosa rasmi.

Kutoswa kwa mawaziri hao kunatokana na kushindwa kwao kwenye kura za maoni za marudio ambako pia wana CCM wamebwaga katika mchakato huo na kusubiri hatima ya Kamati Kuu ya chama hicho.

Akizungumza na waandishi wa habari   Dar es Salaam jana, Katibu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yahaha kutafuta mgombea Zanzibar

HARAKATI za kutafuta mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani zimezidi kushika kasi ambapo safari hii baadhi ya majina kutoka Zanzibar yanatajwa tajwa kumrithi Rais...

 

9 years ago

Habarileo

Mawaziri 11 waanguka CCM

SASA ni dhahiri kuwa mawaziri 11 wa Serikali ya Awamu ya Nne inayomaliza muda wake, wametoswa katika mbio za kuwania ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kati yao wakiwemo watatu ambao kura katika majimbo yao zilirudiwa baada ya kulalamikiwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wito wa kuwaokoa wasichana Nigeria

Mashambulio ya wapiganaji wa Boko Haram na wasiwasi wa kiusalama yameugubika mkutano wa uchumi duniani Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria yashinikizwa kuwaokoa wasichana

Mwanaharakati, Malala Yousafzai kukutana na rais Goodlack Jonathan kushinikiza hatua zaidi ili kuwakoa wasichana waliotekwa na kundi la Boko Ha

 

11 years ago

Habarileo

CCM yaonya mawaziri wake

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimelihadharisha Baraza jipya la Mawaziri hasa mawaziri waliolalamikiwa na kurejeshwa, kuwa wanapaswa kuwajibika ipasavyo vinginevyo chama hakitasita kuwachukulia hatua. Aidha, kimetetea uamuzi wake wa kufanya ziara mikoani na kukosoa baadhi ya watendaji wakiwamo mawaziri na kusisitiza kuwa uamuzi huo ulitokana na mkutano mkuu wa chama hicho na una lengo la kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya chama hicho na si malengo binafsi.

 

9 years ago

Habarileo

CC ya CCM yathibitisha anguko la mawaziri

KAMATI Kuu (CC) ya CCM jana ilikamilisha uteuzi wa wagombea ubunge katika majimbo 11 yaliyokuwa na dosari ambapo sasa wabunge wa zamani, Profesa Peter Msolla, Dk Binilith Mahenge, Dk Seif Rashid, Vita Kawawa, Gaudence Kayombo na Dk Titus Kamani wamekwama katika kutetea nafasi hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM Moro yatetea mawaziri

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, kimesema wabunge wake waliopo kwenye nyadhifa za uwaziri sio mizigo kwa kuwa wameonekana kufanya kazi vizuri. Wabunge wa Mkoa wa Morogoro ambao wamo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mawaziri mizigo waipasua CCM

HALI si shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufuatia uteuzi wa mawaziri uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni ambapo sasa makundi mbalimbali yameanza kuibuka na kushambuliana kwa maneno...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani