Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yanena kuhusu Dk. Salim


NA MWANDISHI WETU
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema taarifa zilizoripotiwa na gazeti la Dira ya Mtanzania kuhusu Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama  Dk. Salim Ahmed Salim, hazina ukweli.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jijinui Dar es Salaam jana, ilisema habari hiyo iliyochapishwa kwenye toleo la Jumatatu yenye kichwa cha  ‘CCM yamsulubu Dk. Salim mbele ya JK’, kuwa ni uzushi na imelenga kujenga chuki na uhasama.
Katika habari hiyo, gazeti hilo lilidai kuwa Dk. Salim amegeuzwa mbuzi wa...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Dk Salim, Warioba waonya kuhusu amani

>Mawaziri wakuu wa zamani, Dk Salim Ahmed Salim na Jaji Joseph Warioba wameonya kuwa hali ya mgawanyiko, ubaguzi wa kidini, ukabila na ujimbo miongoni mwa wananchi inatishia umoja na utulivu wa nchi iwapo hatua hazitachukuliwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Salim ailiza CCM

MJUMBE wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Salim Ahmed Salim, ameonja joto ya jiwe ndani ya kikao cha Kamati Kuu (CC), ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakitaka atoe ufafanuzi wa...

 

11 years ago

Michuzi

Dkt. Salim Ahmed Salim akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri

Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim akiwa katika mazungumzo na mgeni wake ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri,Balozi Nabil Fahmy wakati alipomtembelea nyumbani kwake leo Jumamosi 22 Februari 2014. Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim na mgeni wake Wakiangalia picha za ukumbusho. Picha ya pili juu kushoto Dr Salim akiwakilisha credentials zake kwa Rais wa Zamani wa Misri, Gamal Abdul Nasser akiwa kama balozi wa Kwanza wa Tanzania nchini humo.

 

11 years ago

Michuzi

balozi mpya wa ujerumani nchini amtembelea Dkt Salim Ahmed Salim leo

Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation Mhe Dkt. Salim Ahmed Salim akimkaribisha ofisini kwake balozi mpya wa Ujerumani nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ambaye alifika kujitambulisha kwake na kumjulia hali leo Jumatano 23 Julai 2014


Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation Mhe Dkt. Salim Ahmed Salim akiongea na  balozi mpya wa Ujerumani nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ambaye alifika kujitambulisha kwake na kumjulia hali leo Jumatano 23...

 

10 years ago

TheCitizen

SALIM SAID SALIM : Journalism facing challenges in election

For journalists facing challenges of objectivity, impartiality and balance reporting are a daily encounter, but there is no test of professionalism greater than that posed in the heat and pressure of a bitterly-fought political election.

 

9 years ago

TheCitizen

SALIM SAID SALIM : Poll campaigns should address rights

For many years after the 1964 armed uprising that led to the overthrow of sultan Jemshid bin Abdulla El Busaidy of Omani dynasty and his coalition government of the Zanzibar Nationalist Party (ZNP) and the Zanzibar and Pemba Peoples Party (ZPPP) Zanzibar was known as notorious for human rights violations.

 

11 years ago

IPPmedia

CCM must own up its wrongs if Salim was put to 'kiti moto'


IPPmedia
CCM must own up its wrongs if Salim was put to 'kiti moto'
IPPmedia
We read in one of the newspapers on Thursday that the Central Committee of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM), at its meeting held in Zanzibar end of last week questioned former prime minister Salim Ahmed Salim over his failure to defend the party's ...

 

10 years ago

TheCitizen

SALIM: CCM factions versus Isles’ future

>The next elections for Tanzania are about 300 days away, but it seems that an underground campaign for the Zanzibar Presidential race is in full swing in CCM.

 

10 years ago

TheCitizen

SALIM SAID SALIM:Let our leaders be honest with us

Nearly a decade back I read an article in the Gulf newspaper in which one columnist said that there are some occupations whose members are very good in lying, even in mosques and churches.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani