Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yasisitiza Mgimwa ni Mtanzania

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema mgombea ubunge wa Kalenga kwa tiketi ya chama hicho, Godfrey Mgimwa, ni raia wa Tanzania anayestahili kuwania nafasi hiyo. Kauli ya chama hicho imekuja baada...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

CCM yasisitiza Serikali mbili

WAKATI Bunge Maalumu la Katiba likianza leo mjini hapa, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesisitiza kuwa msimamo wa kuwapo kwa Serikali mbili na kuunga mkono maoni ya wengi, lakini ikaonya kuwa si vyema kutishana na kuburuzana.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

MTANZANIA ZINDUKAAA!!!!CCM WATAPA-TAPA: “TUNAWEZA” Ni Matokeo ya Mbio za Uraisi Ndani ya CCM

Assalamu alaikhum Ndugu Wazanzibari wa Ndani na Nje ya Visiwa Vyetu. Assalamu Alaikhum Ndugu Watanganyika Wa Ndani na Nje Ya Nchi Yetu. Assalamu alaikhum Watanzania Wote Kwa Ujumla Wenu.. Ama mimi sina budi ila Kumshukuru Allah […]

The post MTANZANIA ZINDUKAAA!!!!CCM WATAPA-TAPA: “TUNAWEZA” Ni Matokeo ya Mbio za Uraisi Ndani ya CCM appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Habarileo

CCM yasisitiza serikali mbili katika Katiba

KATIBU wa Idara ya Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema CCM bado ni muumini mkubwa wa sera ya Serikali mbili katika Muungano.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM yabariki Mgimwa kumrithi baba yake

Wakati Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM ikimpitisha Godfrey Mgimwa (32) kuwa mgombea wa chama hicho Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa, Kamati Kuu ya Chadema inakutana keshokutwa kuteua jina la mgombea wake.

 

11 years ago

GPL

MWALIMU WA MAREHEMU DK. MGIMWA AMUOMBEA USHINDI MGOMBEA WA CCM

Sista Paula Msambwa akimuombea ushindi mgombea wa CCM katika uchaguzi mdogo Jimbo la Kalenga, Geodfrey Mgimwa, kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo, Tosamaganga, jimboni humo. Sista Paula Msambwa (73), akisalimiana na mgombea ubunge Jimbo la Kalenga kwa tiketi ya CCM, Godfrey Mgimwa baada ya kuwasili kwa ajili ya mkutano wa kampeni, katika Ofisi ya CCM, Tosamaganga, leo, Machi 10, 2014. Sista… ...

 

11 years ago

TheCitizen

CCM revels in Kalenga victory as Mgimwa succeeds late father

 The ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) officials were yesterday regaling in the defeat of the opposition in the Kalenga by-election, announcing the victory would give them the impetus for the Chalinze contest next month.

 

11 years ago

GPL

MTOTO WA MGIMWA ASHINDA KURA ZA MAONI CCM, KUGOMBEA JIMBO LA KALENGA

Mtoto wa marehemu Dk. Mgimwa, Godfrey Mgimwa atakayegombea Jimbo la Kalenga CCM. MATOKEO ya  kura  za maoni  ndani ya  CCM yametangazwa usiku wa kuamkia leo huku mtoto wa aliyekuwa Mbunge wa  Jimbo hilo, Godfrey Mgimwa akishinda kwa  kishindo  katika  nafasi hiyo, akifuatiwa na Jackson Kiswaga katika matokeo hayo. Godfrey Mgimwa amepata  kura 342 huku Kiswaga akipata kura 170 na Mkuu wa Wilaya ya...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mtanzania Zinduka: UCHOMAJI WA MAKANISA BUKOBA NI HUJUMA ZA CCM

Assaalamu Alaikhum Ndugu Watanzania mulioko Ndani na Nje ya Tanganyika na Zanzibar, Nimetumia neno Assalamu Alaikhum kwasababu Maamkizi haya ni Kumuombea Mtu Amani ya Mungu iwe juu yetu Sote.. Na sina haja yakutumia neno “Bwana Yesu […]

The post Mtanzania Zinduka: UCHOMAJI WA MAKANISA BUKOBA NI HUJUMA ZA CCM appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani