CCM yasisitiza Mgimwa ni Mtanzania
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema mgombea ubunge wa Kalenga kwa tiketi ya chama hicho, Godfrey Mgimwa, ni raia wa Tanzania anayestahili kuwania nafasi hiyo. Kauli ya chama hicho imekuja baada...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Feb
CCM yasisitiza Serikali mbili
WAKATI Bunge Maalumu la Katiba likianza leo mjini hapa, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesisitiza kuwa msimamo wa kuwapo kwa Serikali mbili na kuunga mkono maoni ya wengi, lakini ikaonya kuwa si vyema kutishana na kuburuzana.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Sep
MTANZANIA ZINDUKAAA!!!!CCM WATAPA-TAPA: “TUNAWEZA” Ni Matokeo ya Mbio za Uraisi Ndani ya CCM
Assalamu alaikhum Ndugu Wazanzibari wa Ndani na Nje ya Visiwa Vyetu. Assalamu Alaikhum Ndugu Watanganyika Wa Ndani na Nje Ya Nchi Yetu. Assalamu alaikhum Watanzania Wote Kwa Ujumla Wenu.. Ama mimi sina budi ila Kumshukuru Allah […]
The post MTANZANIA ZINDUKAAA!!!!CCM WATAPA-TAPA: “TUNAWEZA” Ni Matokeo ya Mbio za Uraisi Ndani ya CCM appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Habarileo15 Jan
CCM yasisitiza serikali mbili katika Katiba
KATIBU wa Idara ya Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema CCM bado ni muumini mkubwa wa sera ya Serikali mbili katika Muungano.
11 years ago
Mwananchi12 Feb
CCM yabariki Mgimwa kumrithi baba yake
11 years ago
GPL
MWALIMU WA MAREHEMU DK. MGIMWA AMUOMBEA USHINDI MGOMBEA WA CCM
11 years ago
TheCitizen18 Mar
CCM revels in Kalenga victory as Mgimwa succeeds late father
11 years ago
GPL
MTOTO WA MGIMWA ASHINDA KURA ZA MAONI CCM, KUGOMBEA JIMBO LA KALENGA
9 years ago
Mzalendo Zanzibar04 Oct
Mtanzania Zinduka: UCHOMAJI WA MAKANISA BUKOBA NI HUJUMA ZA CCM
Assaalamu Alaikhum Ndugu Watanzania mulioko Ndani na Nje ya Tanganyika na Zanzibar, Nimetumia neno Assalamu Alaikhum kwasababu Maamkizi haya ni Kumuombea Mtu Amani ya Mungu iwe juu yetu Sote.. Na sina haja yakutumia neno “Bwana Yesu […]
The post Mtanzania Zinduka: UCHOMAJI WA MAKANISA BUKOBA NI HUJUMA ZA CCM appeared first on Mzalendo.net.