Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtanzania Zinduka: UCHOMAJI WA MAKANISA BUKOBA NI HUJUMA ZA CCM

Assaalamu Alaikhum Ndugu Watanzania mulioko Ndani na Nje ya Tanganyika na Zanzibar, Nimetumia neno Assalamu Alaikhum kwasababu Maamkizi haya ni Kumuombea Mtu Amani ya Mungu iwe juu yetu Sote.. Na sina haja yakutumia neno “Bwana Yesu […]

The post Mtanzania Zinduka: UCHOMAJI WA MAKANISA BUKOBA NI HUJUMA ZA CCM appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Watuhumiwa uchomaji makanisa Bukoba wafikia 37, wapo makada wa CUF

Idadi ya watuhumiwa wa uchomaji makanisa sasa wamefikia 37, akiwamo Mwenyekiti wa Cuf Wilaya ya Bukoba Vijijini na mgombea udiwani wa chama hicho Kata ya Katoro.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yakerwa uchomaji makanisa

SERIKALI imetoa tamko juu ya mfululizo wa vitendo vya uchomaji makanisa vilivyoibuka hivi karibuni na kusema imeagiza dola ikaze uzi kukabili wimbi hilo. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema jana bungeni wakati akihitimisha michango ya wabunge kuhusu bajeti ya mwaka wa fedha 2014/15 ya ofisi yake iliyopitishwa jana.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mtanzania zinduka

The post Mtanzania zinduka appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

GPL

MAKANISA MATATU YACHOMWA MOTO BUKOBA

Kanisa lilivyoteketea kwa moto. Kinanda kinchotumiwa na wanakwaya kwa ajili ya kupigia muziki kikiwa kimeungua. Makanisa hayo baada ya kuteketezwa kwa moto.…

 

9 years ago

Mwananchi

Saba mbaroni kwa tuhuma za kuchoma makanisa Bukoba

Watu saba wametiwa mbaroni na polisi mkoani Kagera kwa tuhuma za kuhusika na uchomaji moto wa makanisa matatu hali iliyosababisha taharuki kwa waumini wa makanisa hayo mjini Bukoba.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti wa CUF Bukoba na wengine 15 mbaroni kwa tuhuma za kuchoma makanisa

Jeshi la Polisi limewakamata watu 16 akiwamo Mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Bukoba kwa madai ya kuhusika na vitendo vya uchomaji wa makanisa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Bukoba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Moshi yashtukia hujuma za CCM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeshtukia mkakati wa kimya kimya unaotajwa kufanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa Desemba 14 na ule mkuu mwakani....

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

MTANZANIA ZINDUKAAA!!!!CCM WATAPA-TAPA: “TUNAWEZA” Ni Matokeo ya Mbio za Uraisi Ndani ya CCM

Assalamu alaikhum Ndugu Wazanzibari wa Ndani na Nje ya Visiwa Vyetu. Assalamu Alaikhum Ndugu Watanganyika Wa Ndani na Nje Ya Nchi Yetu. Assalamu alaikhum Watanzania Wote Kwa Ujumla Wenu.. Ama mimi sina budi ila Kumshukuru Allah […]

The post MTANZANIA ZINDUKAAA!!!!CCM WATAPA-TAPA: “TUNAWEZA” Ni Matokeo ya Mbio za Uraisi Ndani ya CCM appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani