M.M Mwanakijiji: "Zinduka 10 - Kuondoka kwa Lowassa Kuliisafisha CCM? Majibu Maridhawa"
![](http://img.youtube.com/vi/sFCaJI6X9Nw/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/nUOxkgVjY2U/default.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar01 Sep
Mh.Lowassa alipojiuzulu majibu kwa Sita
http://m.youtube.com/results?q=lowassa%20alipojiuzulu&sm=3
The post Mh.Lowassa alipojiuzulu majibu kwa Sita appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Habarileo10 Aug
Lowassa awapoza CUF kuondoka kwa Lipumba
MGOMBEA urais wa Chadema anayeungwa mkono na vyama vingine vitatu vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa amewapa pole wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) kwa mshituko wa kuondokewa na Mwenyekiti wao wa Taifa, Profesa Ibrahim Lipumba aliyejiuzulu, huku akiwataka kutovunjika moyo, bali waongeze mshikamano ili dhamira ya kuingia Ikulu iweze kutimia.
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Mbunge amlilia Samia kuondoka kwa Lowassa
Patricia Kimelemeta, Namanga
ALIYEKUWA Mbunge wa Longido, Michael Lekule Laizer, amemweleza mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, kwamba kitendo cha Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhama chama hicho, kimegawa wananchi wa jimbo hilo.
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Namanga mkoani Arusha, Laizer alisema baada ya jina la Lowassa kuenguliwa kwenye wagombea wa CCM na kuamua kuhamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baadhi ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-SWDvQNV0yPc/VbZB7Zdba8I/AAAAAAAD1ww/r18W5t9_fD0/s72-c/LOWASSA7.jpg)
Mbunge Edward Lowassa kakaribishwa UKAWA, amejiunga nao? Majibu ni haya kwa Mbatia… (Audio)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SWDvQNV0yPc/VbZB7Zdba8I/AAAAAAAD1ww/r18W5t9_fD0/s640/LOWASSA7.jpg)
“Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje” Hii ni moja ya sentensi ambazo Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliziongea Arusha May 30 2015 alipotangaza nia ya Kugombea Urais kupitia CCM. SOURCE:MILLARDAYO.COM
9 years ago
Mzalendo Zanzibar04 Oct
Mtanzania Zinduka: UCHOMAJI WA MAKANISA BUKOBA NI HUJUMA ZA CCM
Assaalamu Alaikhum Ndugu Watanzania mulioko Ndani na Nje ya Tanganyika na Zanzibar, Nimetumia neno Assalamu Alaikhum kwasababu Maamkizi haya ni Kumuombea Mtu Amani ya Mungu iwe juu yetu Sote.. Na sina haja yakutumia neno “Bwana Yesu […]
The post Mtanzania Zinduka: UCHOMAJI WA MAKANISA BUKOBA NI HUJUMA ZA CCM appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ZNpqg_PZaR8/XsuIEVR0uOI/AAAAAAACLmk/ef5o1ClnYTMd_ryqy51q9pvw6QjI6KWWgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200525_115223.jpg)
PUMZIKA KWA AMANI BABU NJENJE, TUTAENDELEA KUKUKUMBUKA KWA SAUTI YAKO MARIDHAWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZNpqg_PZaR8/XsuIEVR0uOI/AAAAAAACLmk/ef5o1ClnYTMd_ryqy51q9pvw6QjI6KWWgCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200525_115223.jpg)
Babu Njenje amefariki leo alfajiri baada ya kuugua kwa muda mrefu. Alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kupooza mwili.
Hadi mauti yalipomchukua, Babu Njenje alikuwa mwimbaji wa bendi ya The Kilimanjaro.
Kwa mujibu wa John Kitime, ambaye ni mmoja wa wanamuziki wa kundi hilo, msiba upo mtaa wa Mindu, Upanga, ambako Babu Njenje alikuwa akiishi.
Babu Njenje...
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Lowassa: Majibu ya utafiti Oktoba 25
10 years ago
Mwananchi03 Aug
VIONJO VYA WIKI: Usajili wa Lowassa Ukawa umeacha maswali yanayohitaji majibu