Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


M.M Mwanakijiji: "Zinduka 10 - Kuondoka kwa Lowassa Kuliisafisha CCM? Majibu Maridhawa"

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mh.Lowassa alipojiuzulu majibu kwa Sita

http://m.youtube.com/results?q=lowassa%20alipojiuzulu&sm=3

The post Mh.Lowassa alipojiuzulu majibu kwa Sita appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Habarileo

Lowassa awapoza CUF kuondoka kwa Lipumba

MGOMBEA urais wa Chadema anayeungwa mkono na vyama vingine vitatu vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa amewapa pole wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) kwa mshituko wa kuondokewa na Mwenyekiti wao wa Taifa, Profesa Ibrahim Lipumba aliyejiuzulu, huku akiwataka kutovunjika moyo, bali waongeze mshikamano ili dhamira ya kuingia Ikulu iweze kutimia.

 

9 years ago

Mtanzania

Mbunge amlilia Samia kuondoka kwa Lowassa

laizerPatricia Kimelemeta, Namanga

ALIYEKUWA Mbunge wa Longido, Michael Lekule Laizer, amemweleza mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, kwamba kitendo cha Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhama chama hicho, kimegawa wananchi wa jimbo hilo.

Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Namanga mkoani Arusha, Laizer alisema baada ya jina la Lowassa kuenguliwa kwenye wagombea wa CCM na kuamua kuhamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baadhi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Mbunge Edward Lowassa kakaribishwa UKAWA, amejiunga nao? Majibu ni haya kwa Mbatia… (Audio)


“Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje” Hii ni moja ya sentensi ambazo Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliziongea Arusha May 30 2015 alipotangaza nia ya Kugombea Urais kupitia CCM. SOURCE:MILLARDAYO.COM

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mtanzania Zinduka: UCHOMAJI WA MAKANISA BUKOBA NI HUJUMA ZA CCM

Assaalamu Alaikhum Ndugu Watanzania mulioko Ndani na Nje ya Tanganyika na Zanzibar, Nimetumia neno Assalamu Alaikhum kwasababu Maamkizi haya ni Kumuombea Mtu Amani ya Mungu iwe juu yetu Sote.. Na sina haja yakutumia neno “Bwana Yesu […]

The post Mtanzania Zinduka: UCHOMAJI WA MAKANISA BUKOBA NI HUJUMA ZA CCM appeared first on Mzalendo.net.

 

5 years ago

CCM Blog

PUMZIKA KWA AMANI BABU NJENJE, TUTAENDELEA KUKUKUMBUKA KWA SAUTI YAKO MARIDHAWA

Mmoja wa wanamuziki mahiri nchini na mwenye sauti yenye mvuto, Mabrouk Hamis Omar, maarufu Babu Njenje(pichani), ametangulia mbele ya haki.

Babu Njenje amefariki leo alfajiri baada ya kuugua kwa muda mrefu. Alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kupooza mwili.

Hadi mauti yalipomchukua, Babu Njenje alikuwa mwimbaji wa bendi ya The Kilimanjaro.

Kwa mujibu wa John Kitime, ambaye ni mmoja wa wanamuziki wa kundi hilo, msiba upo mtaa wa Mindu, Upanga, ambako Babu Njenje alikuwa akiishi.

Babu Njenje...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Majibu ya utafiti Oktoba 25

Matokeo ya utafiti wa Twaweza kuhusu Uchaguzi Mkuu yamepingwa na wasomi, wanaharakati na wanasiasa, akiwamo mgombea urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa ambaye ameuponda na kueleza kuwa matokeo halisi yatapatikana Oktoba 25.

 

10 years ago

Mwananchi

VIONJO VYA WIKI: Usajili wa Lowassa Ukawa umeacha maswali yanayohitaji majibu

Nimeamini kuwa kumbe wanasiasa nchini mwetu siyo watu unaoweza kuwaamini, tena kwa asilimia 100.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani