Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA Moshi yashtukia hujuma za CCM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeshtukia mkakati wa kimya kimya unaotajwa kufanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa Desemba 14 na ule mkuu mwakani....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mosha wa CCM apongeza ushindi wa Chadema Moshi

Aliyekuwa mgombea ubunge wa CCM Jimbo la Moshi Mjini, Davis Mosha amempongeza mpinzani wake, Jaffar Michael wa Chadema kwa kupata ushindi wa kishindo.

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema walia hujuma kukamatwa wabunge

>Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimedai kufanyiwa hujuma, Mbunge wa Iringa Mjini kupitia chama hicho, Mchungaji Peter Msigwa amekuwa mbunge wa pili kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma za kujeruhi.

 

9 years ago

Raia Mwema

Ushindi wa Chadema ni ‘hujuma na mkono’ wa Lowassa

SIRI ya ushindi mkubwa wa kishindo kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Uchaguz

Paul Sarwatt

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yaanza kufanyiwa hujuma Kalenga

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Grace Tendega, jana amechukua fomu ya kuwania kiti hicho huku msafara wake ukizuiliwa na polisi mkoani hapa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mtanzania Zinduka: UCHOMAJI WA MAKANISA BUKOBA NI HUJUMA ZA CCM

Assaalamu Alaikhum Ndugu Watanzania mulioko Ndani na Nje ya Tanganyika na Zanzibar, Nimetumia neno Assalamu Alaikhum kwasababu Maamkizi haya ni Kumuombea Mtu Amani ya Mungu iwe juu yetu Sote.. Na sina haja yakutumia neno “Bwana Yesu […]

The post Mtanzania Zinduka: UCHOMAJI WA MAKANISA BUKOBA NI HUJUMA ZA CCM appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Vijimambo

CHADEMA MOSHI MJINI WATANGAZA ILANI YA UCHAGUZI YA JIMBO LA MOSHI MJINI.

Meneja Kampeni wa mgombea Ubunge katika jimbo la Moshi mjini kupitia Chadema na UKAWA,Jafary Michael ,Bw Raymond Mboya akifanya utamburisho mbele ya wanahabari wa mkutano wa mgombea huyo na wanahabari uliofanyika katika Hotel ya Keys.Waandishi wa Habari mkoa wa Kilimanjaro ambao ni wawakilishi wa vyombo mbalimbali vya Habari nchini wakiwa katika kikao na mgombea Ubunge jimbo la Moshi mjini kupitia Chadema na UKAWA,Jafary Michael.
Mbunge wa jimbo la Moshi mjini aliyemaliza muda wake ,Philemoni...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kijiji cha Wangama, Fred Mgata (kulia) akikabidhi kadi za chyama hicho kwa Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga baada ya yeye na wanachama wengine 50 wa Chadema kuamua kukihama na kujiunga CCM katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika  katika Kijiji hicho kilichopo Kata ya Luhota, Iringa Vijijini leo. Mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chadema ambaye ni mzaliwa wa kijiji hicho,  Grace Tendega alikuwa chini ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uhamiaji Moshi waichokoza CHADEMA

SIKU chache kabla kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata 27 nchini, Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Kilimanjaro inadaiwa kumwita na kumuhoji mgombea udiwani wa Kata ya Kiboriloni, Frank...

 

9 years ago

Habarileo

Chadema kujenga viwanda Moshi

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Moshi Mjini, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Japhari Michae amehidi kuinua uchumi wa mji wa Moshi kupitia viwanda, kwa lengo la kupunguza tatizo la ajira, endapo wananchi watampa ridhaa ya kuwa mbunge wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani