Uhamiaji Moshi waichokoza CHADEMA
SIKU chache kabla kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata 27 nchini, Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Kilimanjaro inadaiwa kumwita na kumuhoji mgombea udiwani wa Kata ya Kiboriloni, Frank...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo
CHADEMA MOSHI MJINI WATANGAZA ILANI YA UCHAGUZI YA JIMBO LA MOSHI MJINI.




9 years ago
Mtanzania12 Nov
Mwanamkakati Chadema alikiuka masharti ya ukaaji — Uhamiaji
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
IDARA ya Uhamiaji imesema mwanamkakati wa aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Bashir Awale, amekiuka masharti ya kibali cha ukaaji alichopewa.
Kamishna wa Uhamiaji, Usimamizi na Udhibiti wa Mipaka nchini, Abdullah Abdullah alisema hayo jana alipotoa ufafanuzi kuhusu hatua ya polisi kumkamata Awale Jumatatu iliyopita.
“Hati yake ni ya ukaaji …inampa sifa ya mgeni aliyeruhusiwa kuishi nchini kwa kazi ya uwekezaji na...
10 years ago
VijimamboMaelezo ya Mwanasheria wa Uhamiaji kuhusu sheria mpya za uhamiaji nchini Marekani
Moja wapo lilikuwa ni maelezo ya mwanasheria wa uhamiaji Fatmata Barrie kuhusu maamuzi mapya ya serikali ya Marekani kwenye sheria za uhamiaji.
Karibu umsikilize
10 years ago
Michuzi
Idara ya Uhamiaji yaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
9 years ago
Habarileo31 Aug
Chadema kujenga viwanda Moshi
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Moshi Mjini, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Japhari Michae amehidi kuinua uchumi wa mji wa Moshi kupitia viwanda, kwa lengo la kupunguza tatizo la ajira, endapo wananchi watampa ridhaa ya kuwa mbunge wao.
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
CHADEMA Moshi yashtukia hujuma za CCM
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeshtukia mkakati wa kimya kimya unaotajwa kufanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa Desemba 14 na ule mkuu mwakani....
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Madiwani Chadema wasusia kikao Moshi
10 years ago
MichuziMKUTANO WA CHADEMA MJINI MOSHI MKOANI KILIMANJARO.
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Mosha wa CCM apongeza ushindi wa Chadema Moshi