Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA yaanza kufanyiwa hujuma Kalenga

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Grace Tendega, jana amechukua fomu ya kuwania kiti hicho huku msafara wake ukizuiliwa na polisi mkoani hapa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mjumbe wa NEC Singida mjini ahofia hujuma anazotaka kufanyiwa katika uchaguzi

SAM_0102

Mgombea ubunge wa jimbo la Singida mjini, Bwana Hassani Philipo Mazala, akimlazimisha katibu wa CCM wilaya ya Singida mjini kupokea shilingi milioni tano zilizopitishwa na kikao cha kamati ya siasa ya wilaya hiyo ikiwa ni mchango wa kukichangia chama wakati wa kampeni za uchaguzi baada ya katibu huyo kuamua kutopokea fedha hizo kwa madai kuwa sharia zimembana kupokea kiasi hicho cha michango.

SAM_0109

Bwana Hassani Philipo Mazala akiwa na mkewe wakisubiri kuongea na wanachi waliohudhuria...

 

10 years ago

Mwananchi

Chanjo ya ebola yaanza kufanyiwa majaribio

Chanjo ya kwanza ya ugonjwa wa ebola imefanyiwa majaribio kwa watu wazima 20 nchini Marekani huku Shirika la Afya Ulimwenguni likihitimisha mkutano wake wa siku mbili Geneva, Uswisi.

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema walia hujuma kukamatwa wabunge

>Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimedai kufanyiwa hujuma, Mbunge wa Iringa Mjini kupitia chama hicho, Mchungaji Peter Msigwa amekuwa mbunge wa pili kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma za kujeruhi.

 

9 years ago

Raia Mwema

Ushindi wa Chadema ni ‘hujuma na mkono’ wa Lowassa

SIRI ya ushindi mkubwa wa kishindo kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Uchaguz

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Moshi yashtukia hujuma za CCM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeshtukia mkakati wa kimya kimya unaotajwa kufanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa Desemba 14 na ule mkuu mwakani....

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kijiji cha Wangama, Fred Mgata (kulia) akikabidhi kadi za chyama hicho kwa Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga baada ya yeye na wanachama wengine 50 wa Chadema kuamua kukihama na kujiunga CCM katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika  katika Kijiji hicho kilichopo Kata ya Luhota, Iringa Vijijini leo. Mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chadema ambaye ni mzaliwa wa kijiji hicho,  Grace Tendega alikuwa chini ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yacharuka Kalenga

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeweza kujipenyeza katika kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge wa Kalenga, kikiwa kimefanya mikutano 157 katika kata 13 ndani ya siku 10 tangu kuanza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yaishika Kalenga

WAKATI wiki ya kampeni za lala salama ikianza jimboni Kalenga, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeanza kumnadi mgombea wake wa ubunge, Grace Tendega, kwa helikopta ili kuvifikia vijiji vyote...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgombea CHADEMA afunda Kalenga

MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Grace Tendega, amewaasa wananchi wa Kalenga kubadilika na kujikomboa kutoka kwenye mikono dhalimu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani