CHADEMA yaanza kufanyiwa hujuma Kalenga
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Grace Tendega, jana amechukua fomu ya kuwania kiti hicho huku msafara wake ukizuiliwa na polisi mkoani hapa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Mjumbe wa NEC Singida mjini ahofia hujuma anazotaka kufanyiwa katika uchaguzi
Mgombea ubunge wa jimbo la Singida mjini, Bwana Hassani Philipo Mazala, akimlazimisha katibu wa CCM wilaya ya Singida mjini kupokea shilingi milioni tano zilizopitishwa na kikao cha kamati ya siasa ya wilaya hiyo ikiwa ni mchango wa kukichangia chama wakati wa kampeni za uchaguzi baada ya katibu huyo kuamua kutopokea fedha hizo kwa madai kuwa sharia zimembana kupokea kiasi hicho cha michango.
Bwana Hassani Philipo Mazala akiwa na mkewe wakisubiri kuongea na wanachi waliohudhuria...
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Chanjo ya ebola yaanza kufanyiwa majaribio
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Chadema walia hujuma kukamatwa wabunge
9 years ago
Raia Mwema07 Nov
Ushindi wa Chadema ni ‘hujuma na mkono’ wa Lowassa
SIRI ya ushindi mkubwa wa kishindo kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Uchaguz
Paul Sarwatt
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
CHADEMA Moshi yashtukia hujuma za CCM
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeshtukia mkakati wa kimya kimya unaotajwa kufanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa Desemba 14 na ule mkuu mwakani....
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
CHADEMA yacharuka Kalenga
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeweza kujipenyeza katika kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge wa Kalenga, kikiwa kimefanya mikutano 157 katika kata 13 ndani ya siku 10 tangu kuanza...
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
CHADEMA yaishika Kalenga
WAKATI wiki ya kampeni za lala salama ikianza jimboni Kalenga, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeanza kumnadi mgombea wake wa ubunge, Grace Tendega, kwa helikopta ili kuvifikia vijiji vyote...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Mgombea CHADEMA afunda Kalenga
MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Grace Tendega, amewaasa wananchi wa Kalenga kubadilika na kujikomboa kutoka kwenye mikono dhalimu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa...