CCM yatoa mabati 70 vibanda vilivyoteketea
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha kimetoa mabati 70 kusaidia ujenzi upya wa vibanda vilivyoteketea juzi kwa moto katika eneo la Fire jijini hapa na kusababisha hasara ya mamilioni ya shilingi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MABATI YA ALAF YATOA MSAADA WA MABATI KWA AJILI YA UJENZI WA MAABARA ZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA MBEYA
10 years ago
MichuziPSPF YATOA MSAADA WA MABATI 300
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
TANAPA yatoa mabati 6000 ya miradi vijijini
SHIRIKA la umma la Hifadhi ya Taifa Tanzania (TANAPA), limetoa mabati 6000, kwa ajili ya kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo katika vijiji vinavyozunguka hifadhi za taifa. Kauli hiyo ilitolewa jana...
10 years ago
Vijimambo17 Mar
Chadema yatoa mabati 850 kwa waathirika mafuriko Kahama
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Dr.Slaa-16March2015.jpg)
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa (pichani), alisema msaada huo una thamani ya Sh. milioni 12.
Dk. Slaa alifafanua kuwa kati ya kiasi hicho cha fedha zilizonunua mabati, Sh. milioni 10 ni sehemu ya ruzuku inayotolewa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yVPblvyDJXs/XvITTgIiTsI/AAAAAAAAlQw/U9SeNMoqQvANH7-UmiwJuCKsNufe_BwNQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BENKI YA POSTA YATOA MSAADA WA MABATI 100 KUSAIDIA KUPAUA SHULE SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yVPblvyDJXs/XvITTgIiTsI/AAAAAAAAlQw/U9SeNMoqQvANH7-UmiwJuCKsNufe_BwNQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utawala wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Diana Myonga (wa tatu kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe (wa nne kutoka kushoto) moja ya bati kati ya 100 yaliyotolewa mwishoni mwa wiki na benki hiyo kwa ajili ya kupaua madarasa ya shule mkoani humo. Kutoka kushoto ni Kaimu Meneja Mwandamizi wa Uhusiano wa benki hiyo, Chichi Banda, Meneja wa TPB Tawi la Singida, Redemter Rweyemamu. Wengine ni Wenyeviti wa Vikundi...
10 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA MABATI, SARUJI KWA WAATHIRIKA WA JANGA LA MVUA KAHAMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VvZMwQfmOS4/XodNgV3J42I/AAAAAAALl9c/m1mPGdLfFj0obGowH0j2QttG24oDQGg3QCLcBGAsYHQ/s72-c/8dff9b8b-c092-4dc9-9df4-184ec723fd26.jpg)
SERIKALI YATOA MABATI 324 KWA WILAYA YA KONGWA, DC NDEJEMBI AMSHUKURU RAIS MAGUFULI
Charles James, Globu ya Jamii
KATIKA kukuza elimu na kuendana na sera ya elimu bila malipo, serikali imetoa mabati 324 kwa Shule ya Msingi Manungu iliyopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma.
Akizungumza katika ziara yake ya kukagua miundombinu ya elimu wilayani humo, Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mwita Waitara amesema mabati hayo yatatumika kuezeka madarasa matano yaliyojengwa kwa nguvu za wananachi.
Waitara amesema serikali imefurahishwa na nguvu iliyotumika na wananchi hao chini ya Mkuu wa...
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MABATI YA AFRICAN ALLUMIUM (ALAF), IMEZINDUA MABATI AINA YA ROYAL VERSATILE
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
ALAF yatoa msaada wa mabati kwa ajili ya ujenzi wa maabara za shule za sekondari wilaya ya Mbeya
Meneja wa Kampuni ya ALAF Tawi la Mbeya, Greyson Mwakasege akitoa taarifa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya kabla ya kumkabidhi msaada wa mabati 384 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigallah King, akitoa shukrani kwa kampuni ya ALAF kwa kujitolea mabati kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara kwa shule za sekondari za Wilaya ya Mbeya.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigallah King na Meneja wa ALAF tawi la Mbeya, Greyson Mwakasege...