Cemot: Uchaguzi umeweka historia
Mwamvuli wa waangalizi wa uchaguzi wa ndani (Cemot) umesema uchaguzi wa leo umeweka historia katika harakati za ushiriki wa wanawake katika siasa, ikilinganishwa na chaguzi zote zilizopita tangu uhuru.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKITUO CHA UFUATILIAJI WA UCHAGUZI TANZANIA (CEMOT) CHAZINDULIWA
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Yawepo maridhiano ya wanasiasa baada ya Uchaguzi Mkuu-Cemot
10 years ago
TheCitizen25 Oct
All but a few poll stations opened on time: CEMOT
10 years ago
Mwananchi28 Oct
CEMOT: Wagombea wengi waridhika na Matokeo
10 years ago
Mwananchi26 Oct
CEMOT: Vituo vingi vilihesabu kura kwa wakati
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
10 years ago
Michuzi21 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAPANGUA AGIZO LA KAMATI YA UCHAGUZI TFF KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA TEFA
Baada ya kupitia kwa umakini kanuni za uchaguzi za TFF za mwaka 2013 ibara ya 6, na kujiridhisha kuwa hakuna kipengele chochote kinachoruhusu kamati ya uchaguzi ya TFF kuingilia kati...