Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cemot: Uchaguzi umeweka historia

Mwamvuli wa waangalizi wa uchaguzi wa ndani (Cemot) umesema uchaguzi wa leo umeweka historia katika harakati za ushiriki wa wanawake katika siasa, ikilinganishwa na chaguzi zote zilizopita tangu uhuru.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

KITUO CHA UFUATILIAJI WA UCHAGUZI TANZANIA (CEMOT) CHAZINDULIWA

Kutoka kushoto ni viongozi wa CEMOT, Meneja mradi, Bernard Kindoli na Balozi wa Den mack, Etnar Jensen. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti mwenza kutoka Tanzania Civil Society Consortium on Election Observation (TACCEO), Martina Kabisama, Meneja mradi, Bernard Kindoli na Balozi wa Den mack, Etnar Jensen.…

 

9 years ago

Mwananchi

Yawepo maridhiano ya wanasiasa baada ya Uchaguzi Mkuu-Cemot

Mwenyekiti mwenza wa Muungano wa Waangalizi wa Ndani wa Uchaguzi (Cemot), Dk Benson Bana ameshauri kuwapo kwa maridhiano baina ya wanasiasa baada ya Uchaguzi Mkuu ili kuondoa tofauti zilizojitokeza wakati wa kampeni.

 

9 years ago

TheCitizen

All but a few poll stations opened on time: CEMOT

The Coalition On Election Monitoring And Observation In Tanzania (CEMOT) Co-Chairman, Dr Benson Bana has said that 94 percent of polling stations in the country have been opened between 7am and 7:30 am.

 

9 years ago

Mwananchi

CEMOT: Wagombea wengi waridhika na Matokeo

Wakati zoezi la kuhesabu na kutangaza matokeo ya Uchaguzi likiwa mwishoni, mwamvuli wa waangalizi wa ndani (Cemot) umesema kuwa sehemu kubwa ya wagombea wa ubunge na udiwani walioshindwa walikubaliana na matokeo ya kura walizopata.

 

9 years ago

Mwananchi

CEMOT: Vituo vingi vilihesabu kura kwa wakati

Mwamvuli wa waangalizi wa ndani wa Uchaguzi (Cemot) umesema kuwa sehemu kubwa ya vituo vya kupigia kura vilijitahidi kuwahi kuanza kuhesabu kura mara tu baada ya muda wa upigaji kura kukamilika.

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90

am4

Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.

Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti  wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.

 

9 years ago

Michuzi

KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAPANGUA AGIZO LA KAMATI YA UCHAGUZI TFF KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA TEFA

Kamati ya uchaguzi ya chama cha soka mkoa wa Dar e salaam DRFA,imeshindwa kutekeleza agizo la lililotolewa na mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi ya shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF la kusimamisha mchakato wa uchaguzi wa chama cha soka wilaya ya temeke TEFA uliopangwa kufanyika jumapili agosti 23/2015.
Baada ya kupitia kwa umakini kanuni za uchaguzi za TFF za mwaka 2013 ibara ya 6, na kujiridhisha kuwa hakuna kipengele chochote kinachoruhusu kamati ya uchaguzi ya TFF kuingilia kati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani