Chadema kuanza operesheni mpya kudai fedha za ufisadi
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kitaendesha operesheni mpya nchi nzima ikilenga kuhamasiaha wananchi kudai kurejeshwa kwa fedha zote ambazo zimeporwa katika kashfa mbalimbali za ufisadi badala ya kuachia wahusika wajiuzulu nafasi zao au wengine kufichwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOh3fJeyAYB-Ke57WMVpcUh0sl66MJDXDvzaEcaXLfFvd-*H5VknQ*5M75eEmkkd5T0EPg-leiOSquvURXFcJwwJ/cdm.jpg)
CHADEMA YASIKITISHWA NA TAARIFA ZA UFISADI KATIKA UKAGUZI WA FEDHA ZA SERIKALI 2013/2014
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lw3AAwV_Dwc/XuB1gR30P_I/AAAAAAALtTU/54mewZO55SgUFSAuNe8sye4NqUk9O3TkwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0063.jpg)
11 years ago
Habarileo17 Apr
HESLB waagizwa kudai fedha za mikopo
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetakiwa kuja na mbinu ya kuhakikisha wanaonufaika na mkopo wa elimu ya juu wanarejesha mkopo ili utumike kwa wanafunzi wengine hivyo kupunguza idadi ya wanafunzi wanaokosa mikopo hiyo.
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Uchunguzi operesheni ya ujangili kuanza
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Nchi nzima ina wajibu wa kudai fedha zetu za escrow
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
TANESCO kuanza operesheni kusaka wahujumu
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza operesheni ya kuwasaka na kuwakamata watu wanaojihusisha na vitendo vya kuhujumu mali za shirika hilo mkoani Shinyanga. Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Injinia Felchesmi Mramba,...
11 years ago
Habarileo13 Jan
Operesheni Tokomeza ya pili kuanza karibuni
WAKATI hatua zaidi zikisubiriwa kuchukuliwa kwa watendaji waliohusika na ukiukwaji wa haki za binadamu wakati wa Operesheni Tokomeza, Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kutangaza kuanza kwa awamu ya pili ya Operesheni hiyo wakati wowote kuanzia sasa.
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Fedha za Operesheni Tokomeza zayeyuka
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, amesema kuwa kiasi cha fedha zilizotengwa kwa ajili ya Operesheni Tokomeza Ujangili hazijulikani zilipo. Alisema kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Wezi wa fedha za Operesheni Ujangili washughulikiwe
WAKATI serikali ikitangaza kuwa deni la taifa limepanda kiasi cha kufikia shilingi trilioni 27, hivyo kuzusha hofu kwa Watanzania, habari za kusikitisha zimeeleza kuwa takriban sh bilioni nne zilizotolewa kugharimia...