Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema kuanza operesheni mpya kudai fedha za ufisadi

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kitaendesha operesheni mpya nchi nzima ikilenga kuhamasiaha wananchi kudai kurejeshwa kwa fedha zote ambazo zimeporwa katika kashfa mbalimbali za ufisadi badala ya kuachia wahusika wajiuzulu nafasi zao au wengine kufichwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

CHADEMA YASIKITISHWA NA TAARIFA ZA UFISADI KATIKA UKAGUZI WA FEDHA ZA SERIKALI 2013/2014

Upotevu wa shilingi trilioni 1.151 Serikali kuu pekee hauvumiliki. Makusanyo yote yaliyotokana na kuongezeka kwa kodi 2013/14 yameyeyuka CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za ufisadi wa kutisha uliofanyika kwenye matumizi ya fedha za umma kama ilivyobainishwa kwenye ripoti za ukaguzi wa fedha kwa mwaka 2013/2014 zilizotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

 

11 years ago

Habarileo

HESLB waagizwa kudai fedha za mikopo

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetakiwa kuja na mbinu ya kuhakikisha wanaonufaika na mkopo wa elimu ya juu wanarejesha mkopo ili utumike kwa wanafunzi wengine hivyo kupunguza idadi ya wanafunzi wanaokosa mikopo hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Uchunguzi operesheni ya ujangili kuanza

Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza Ujangili imetangaza ratiba ya pili ya ziara yake katika Mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara ili kukusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa operesheni hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Nchi nzima ina wajibu wa kudai fedha zetu za escrow

A Azimio la Kimataifa la Haki za Binadamu la Mwaka l949 linasema: “Maandamano ni haki ya wananchi pale wanaposhindwa kupata haki zao kwa njia ya mazungumzo, vikao, majadiliano au kupiga kura.”

 

11 years ago

Tanzania Daima

TANESCO kuanza operesheni kusaka wahujumu

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza operesheni ya kuwasaka na kuwakamata watu wanaojihusisha na vitendo vya kuhujumu mali za shirika hilo mkoani Shinyanga. Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Injinia Felchesmi Mramba,...

 

11 years ago

Habarileo

Operesheni Tokomeza ya pili kuanza karibuni

WAKATI hatua zaidi zikisubiriwa kuchukuliwa kwa watendaji waliohusika na ukiukwaji wa haki za binadamu wakati wa Operesheni Tokomeza, Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kutangaza kuanza kwa awamu ya pili ya Operesheni hiyo wakati wowote kuanzia sasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fedha za Operesheni Tokomeza zayeyuka

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, amesema kuwa kiasi cha fedha zilizotengwa kwa ajili ya Operesheni Tokomeza Ujangili hazijulikani zilipo. Alisema kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wezi wa fedha za Operesheni Ujangili washughulikiwe

WAKATI serikali ikitangaza kuwa deni la taifa limepanda kiasi cha kufikia shilingi trilioni 27, hivyo kuzusha hofu kwa Watanzania, habari za kusikitisha zimeeleza kuwa takriban sh bilioni nne zilizotolewa kugharimia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani