Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA wamuonya Sitta

SIKU moja baada ya mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa kudumu wa bunge hilo, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemtaka atambue wajibu wake...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA wamvaa Sitta

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimemvaa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kikisema kuwa hajielekezi kuhakikisha katiba mpya inakidhi moja ya vigezo muhimu ambavyo ni kuwa na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sitta ahamia CHADEMA

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, amehamishia vita vya maneno Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), akidai kuwa viongozi wake wameweka namba yake ya simu kwenye tovuti ili...

 

11 years ago

TheCitizen

Chadema says Sitta not sincere on Katiba

Chadema yesterday told off the Constituent Assembly chairman Samuel over the meeting he was reportedly planning later in the month to try to reach a consensus on the stalled Katiba review process.

 

11 years ago

IPPmedia

Chadema cautions Sitta as he takes seat


Chadema cautions Sitta as he takes seat
IPPmedia
Constituent Assembly (CA) Chairman Samuel Sitta yesterday evening assumed leadership of the assembly against a backdrop of caution from the largest opposition party, Chadema, against partisan politics when chairing CA sessions. Chadema National ...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Nao Wamuonya Lowassa Kwa Kauli ya Kibaguzi Kanisani

Mwenyekiti wa NEC Damian Lubuva Wednesday, September 9, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kitendo kilichofanywa na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa cha kuomba kura kwa kuwataka waumini wa madhehebu ya Kilutheri kumchagua […]

The post Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Nao Wamuonya Lowassa Kwa Kauli ya Kibaguzi Kanisani appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema sasa yajipanga kupiga kambi jimbo la Sitta

Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Baraza lake la Vijana Taifa (Bavicha), kimetangaza mkakati wa kwenda kuweka kambi kwenye Jimbo la Urambo Mashariki linaloongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta.

Lengo la chama hicho ni kuwaeleza namna kiongozi huyo alivyochakachua Rasimu ya maoni ya Watanzania.

Mkakati huo ulitangazwa jana na Mwenyekiti wa Bavicha Taifa, Patrobas Katambi na Katibu wa Baraza hilo, Julius...

 

10 years ago

Michuzi

MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA

 Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano  mkuu wa chadema Wakicheza kwa furaha muda mfupi baada ya matokeo ya Uchaguzi kwenye Mkutano Mkuu Kutangazwa Usiku huu Freeman Mbowe akiwashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA  kwa kumchagua tena kushika nafasi ya mwenyekiti Mshindi wa nafasi ya mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akipongezwa na Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa Makamu  Mwenyekiti wa Chadema Bara Profesa Abdallah Safari(Kulia)na Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe wakipungia kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani