CHADEMA wamvaa Sitta
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimemvaa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kikisema kuwa hajielekezi kuhakikisha katiba mpya inakidhi moja ya vigezo muhimu ambavyo ni kuwa na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Sitta ahamia CHADEMA
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, amehamishia vita vya maneno Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), akidai kuwa viongozi wake wameweka namba yake ya simu kwenye tovuti ili...
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
CHADEMA wamuonya Sitta
SIKU moja baada ya mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa kudumu wa bunge hilo, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemtaka atambue wajibu wake...
11 years ago
TheCitizen10 Jul
Chadema says Sitta not sincere on Katiba
11 years ago
IPPmedia15 Mar
Chadema cautions Sitta as he takes seat
IPPmedia
Constituent Assembly (CA) Chairman Samuel Sitta yesterday evening assumed leadership of the assembly against a backdrop of caution from the largest opposition party, Chadema, against partisan politics when chairing CA sessions. Chadema National ...
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Chadema sasa yajipanga kupiga kambi jimbo la Sitta
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Samuel-Sitta--Ocxtober7-2014.jpg)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Baraza lake la Vijana Taifa (Bavicha), kimetangaza mkakati wa kwenda kuweka kambi kwenye Jimbo la Urambo Mashariki linaloongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta.
Lengo la chama hicho ni kuwaeleza namna kiongozi huyo alivyochakachua Rasimu ya maoni ya Watanzania.
Mkakati huo ulitangazwa jana na Mwenyekiti wa Bavicha Taifa, Patrobas Katambi na Katibu wa Baraza hilo, Julius...
10 years ago
Habarileo30 Sep
Walimu wamvaa DED
WALIMU na viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilayani Kigoma Vijijini wamevamia ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na kufunga lango kuu la kuingia na kutoka katika ofisi za Halmashauri hiyo kwa saa tatu.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Wabunge CCM wamvaa JK
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akisubiriwa kwa shauku kubwa kuteua mawaziri wanne kuziba pengo la wale aliotengua uteuzi wao baada ya sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili, wabunge wawili machachari wamemtaka awatimue kazi mawaziri wengine waliotajwa kuwa ‘mizigo’....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09Wh-6dPNaP7HIBqiAcI1GlFm-kcvZrl4esZ-V3RjYeviDvnIfss9Zar8PgRIJdXRFN0JJR7QRiRpsR8XkgaSoej/11.jpg)
WATU WAMVAA AUNT
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xEh6B1KdSWQNlEDYBkQs9WfoeGLkyhMiiMpc01gaKfL0U4mTlz9U4KmyoQGlqs*SxntI-DgHW6PCUWDK-bZpfZJ3s-IctndE/bilioneab666666.jpg)
WATOTO WAMVAA MAMA!