WATU WAMVAA AUNT
![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09Wh-6dPNaP7HIBqiAcI1GlFm-kcvZrl4esZ-V3RjYeviDvnIfss9Zar8PgRIJdXRFN0JJR7QRiRpsR8XkgaSoej/11.jpg)
Stori: IMELDA MTEMA/Risasi KUFUATIA madai kuwa staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amejifungua, ndugu, jamaa na marafiki kibao walijazana nyumbani kwake, Mwananyamala jijini Dar es Salaam juzi Alhamisi ili kumpa pongezi, lakini walipokuta habari tofauti walimvaa na kumlaumu kwa kuwadanganya. Staa wa filamu Bongo, Aunt…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies14 Mar
Watu Wamvaa Aunt Ezekiel
Kutokana na uzushi ulioenea kuwa staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amejifungua, ndugu, jamaa na marafiki kibao walijazana nyumbani kwake, Mwananyamala jijini Dar es Salaam juzi Alhamisi ili kumpa pongezi, lakini walipokuta habari tofauti walimvaa na kumlaumu kwa kuwadanganya.
Jumatano usiku katika mtandao wa kijamii wa Instagram, msanii Aunt Ezekiel ambaye ni mke wa mtu aliyepata ujauzito mumewe akiwa jela, alitupia picha ikimuonyesha akiwa na kitoto kichanga, ambacho watu wengi...
10 years ago
Bongo Movies07 May
Aunt Ezekiel Awapa Makavu Watu Hawa Mtandaoni
Hivi naomba kuuliza kuna mtu nilimuomba humu kwenye page yangu anifollow???au nilishatangazwa kuomba followers mimi!!!Sasa ni mm ni mswahili mjue alafu habari za kukaa kutishiana maisha sipendi mana naona kila mtu mfundaji humu ndani kila mtu nyakanga vyote mnajua nyinyi!!
Mungu haombwi insta wala asalitiwi insta kila mtu na dini na kanuni zake kulingana na bando lake mimi nikiingia labour leo lolote lile litakalokuwa ndio matokeo na ndio mwenyezi Mungu alichopanga, hata nikajifiche wapi...
10 years ago
Bongo Movies01 May
Aunt Ezekiel: Naomba Mungu Nijifungue Salama, Sababu Watu….
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ambaye hivi sasa ni mjamzito ameeleza kuwa kila saa na kila siku anamuomba Mungu amjaalie ajifungue salama maana maneno ya watu yamekuwa yakimtisha.
Akizungumza na gazeti la Ijumaa hivi karibuni nyumbani kwake Kijitonyama jijini Dar, Aunt alisema kuna watu ambao wamekuwa wakimuombea mabaya kutokana na chuki zao lakini yeye anaamini Mungu ndiye kila kitu kwake.
“Wapo watu ambao wanaisengenya mimba yangu, wananisema vibaya, wananiombea mabaya kiasi cha...
10 years ago
Habarileo30 Sep
Walimu wamvaa DED
WALIMU na viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilayani Kigoma Vijijini wamevamia ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na kufunga lango kuu la kuingia na kutoka katika ofisi za Halmashauri hiyo kwa saa tatu.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Wabunge CCM wamvaa JK
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akisubiriwa kwa shauku kubwa kuteua mawaziri wanne kuziba pengo la wale aliotengua uteuzi wao baada ya sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili, wabunge wawili machachari wamemtaka awatimue kazi mawaziri wengine waliotajwa kuwa ‘mizigo’....
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
CHADEMA wamvaa Sitta
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimemvaa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kikisema kuwa hajielekezi kuhakikisha katiba mpya inakidhi moja ya vigezo muhimu ambavyo ni kuwa na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xEh6B1KdSWQNlEDYBkQs9WfoeGLkyhMiiMpc01gaKfL0U4mTlz9U4KmyoQGlqs*SxntI-DgHW6PCUWDK-bZpfZJ3s-IctndE/bilioneab666666.jpg)
WATOTO WAMVAA MAMA!
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Makada CCM wamvaa JK
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8Th9IYpSdNrrUPzZZVvo4Y7uY49NJ2E8c-uzaNMRe-pdhwLr2V*2XmWaItJ0XCJve-Ecslckpjpb4hTLnsYTt0K/choki.gif)
MACHANGU WAMVAA CHOKI