Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema: Wananchi jumlisheni matokeo

Chadema imewataka wananchi kujumlisha matokeo yote yatakayotolewa kwenye vituo vya uchaguzi na kuyasambaza badala ya kusubiri kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA

 Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano  mkuu wa chadema Wakicheza kwa furaha muda mfupi baada ya matokeo ya Uchaguzi kwenye Mkutano Mkuu Kutangazwa Usiku huu Freeman Mbowe akiwashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA  kwa kumchagua tena kushika nafasi ya mwenyekiti Mshindi wa nafasi ya mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akipongezwa na Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa Makamu  Mwenyekiti wa Chadema Bara Profesa Abdallah Safari(Kulia)na Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe wakipungia kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Chadema: Tukishindwa tutakubali matokeo

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kikishindwa kwa haki kitakubali matokeo. Kimeshauri wagombea wa vyama vya siasa nchini, vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mkuu, kukubali matokeo ya kura ya kushinda au kushindwa kwa haki baada ya kura kuhesabiwa na kutangazwa mshindi.

 

9 years ago

Habarileo

Chadema yakataa matokeo ya urais

WAKATI leo Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikitarajia kutangaza mshindi wa urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Jumapili iliyopita, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeyakataa matokeo hayo.

 

9 years ago

Mwananchi

Wananchi waandaliwe kisaikolojia kupokea matokeo-Askofu

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kusini, Isaya Mengele ameitaka Serikali na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwaandaa wananchi kisaikolojia ili wawe tayari kupokea matokeo ya uchaguzi wasiyotarajia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yapongeza wananchi

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Ziwa Magharibi, kimewapongeza wananchi wa majimbo na kata zote katika ukanda huo, kwa uamuzi wao wa kuwachagua wabunge na madiwani wanaotokana na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yajivunia ushirikiano na wananchi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeeleza kufurahishwa na ushirikiano uliopo baina ya chama hicho na wananchi, na kusema hatua hiyo itafanikisha kuiangusha CCM katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Wananchi ikataeni Katiba

SIKU chache baada ya Bunge Maalum la Katiba kupitisha Katiba mpya iliyopendekezwa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewasihi Watanzania kuikataa punde itakapopelekwa kwao kwa ajili ya kupigiwa kura. Kimesema,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani