CHADEMA yapongeza wananchi
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Ziwa Magharibi, kimewapongeza wananchi wa majimbo na kata zote katika ukanda huo, kwa uamuzi wao wa kuwachagua wabunge na madiwani wanaotokana na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
CHADEMA: Wananchi ikataeni Katiba
SIKU chache baada ya Bunge Maalum la Katiba kupitisha Katiba mpya iliyopendekezwa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewasihi Watanzania kuikataa punde itakapopelekwa kwao kwa ajili ya kupigiwa kura. Kimesema,...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
CHADEMA yajivunia ushirikiano na wananchi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeeleza kufurahishwa na ushirikiano uliopo baina ya chama hicho na wananchi, na kusema hatua hiyo itafanikisha kuiangusha CCM katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa...
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Chadema: Wananchi jumlisheni matokeo
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
CHADEMA: Fedha za maendeleo haziwafikii wananchi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwa fedha zinazoidhinishwa na Bunge la Bajeti la Jamhuri ya Muungano kwa ajili ya matumizi ya kawaida na shughuli za maendeleo ya wananchi...
10 years ago
Vijimambo04 Apr
Chadema chahamasisha wananchi wajitokeze kujiandikisha
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/chadema-april4-2015.jpg)
Akizindua operesheni hiyo katika viwanja vya Nyampande wilayani Sengerema juzi, katibu wa Chadema Kanda ya Ziwa, Robert Bujiku, alisema watazunguka mikoa yote ya kanda hiyo kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari hilo pale...
9 years ago
StarTV04 Sep
CHADEMA kuhakikisha fedha za mrabaha zinawanufaisha wananchi
Mgombea ubunge jimbo la Tarime vijijini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Heche amesema kama wananchi watamchagua kuwa mbunge wa jimbo hilo atahakikisha wananufaika na pesa za mrabaha zinazotolewa kila mwaka na kampuni ya kuchimba madini ya ACACIA.
Amesema fedha hizo zitatumika kulipa pensheni kwa wazee wa jimbo hilo na kuhakikisha kila mmoja anakuwa na fursa sawa kuweza kupata fedha hizo za mrahaba zinazotolewa.
Heche amesema hayo wakati wa uzinduzi wa kampeni za...
10 years ago
Vijimambo12 Jan
Chadema wamtaka Magufuli asiwabague wananchi Chato
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Magufulii(14)(1).jpg)
Chadema walitoa tahadhari hiyo baada ya Dk. Magufuli ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi, hivi karibuni kudai atapeleka fedha za Mfuko wa Jimbo katika vijiji na vitongoji walivyoshinda wagombea wa CCM...
10 years ago
Mwananchi11 Dec
CHADEMA KUCHANGIWA NA WANANCHI KUIMARISHA MFUKO WA CHAMA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-KmEZK3uDRHI/VMZyc0nUGFI/AAAAAAAAM5o/391cb9-QvlA/s72-c/IMG-20150126-WA0033.jpg)
MWENYEKITI WA BAVICHA TAIFA CHADEMA AWAHUTUBIA WANANCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-KmEZK3uDRHI/VMZyc0nUGFI/AAAAAAAAM5o/391cb9-QvlA/s640/IMG-20150126-WA0033.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mNSYOex0h8I/VMZydChCucI/AAAAAAAAM5s/94QaMrAFvSA/s640/IMG-20150126-WA0034.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PHKLzrzCKko/VMZydPzGpgI/AAAAAAAAM5w/KIh5-jkCjig/s640/IMG-20150126-WA0035.jpg)
Wananchi wa wilaya ya mufindi mkoani Iringa wamelalamikia ugumu wa...