Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA yapongeza wananchi

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Ziwa Magharibi, kimewapongeza wananchi wa majimbo na kata zote katika ukanda huo, kwa uamuzi wao wa kuwachagua wabunge na madiwani wanaotokana na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Wananchi ikataeni Katiba

SIKU chache baada ya Bunge Maalum la Katiba kupitisha Katiba mpya iliyopendekezwa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewasihi Watanzania kuikataa punde itakapopelekwa kwao kwa ajili ya kupigiwa kura. Kimesema,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yajivunia ushirikiano na wananchi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeeleza kufurahishwa na ushirikiano uliopo baina ya chama hicho na wananchi, na kusema hatua hiyo itafanikisha kuiangusha CCM katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa...

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema: Wananchi jumlisheni matokeo

Chadema imewataka wananchi kujumlisha matokeo yote yatakayotolewa kwenye vituo vya uchaguzi na kuyasambaza badala ya kusubiri kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Fedha za maendeleo haziwafikii wananchi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwa fedha zinazoidhinishwa na Bunge la Bajeti la Jamhuri ya Muungano kwa ajili ya matumizi ya kawaida na shughuli za maendeleo ya wananchi...

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema chahamasisha wananchi wajitokeze kujiandikisha

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimezindua operesheni Tigitigi kwa ajili ya mikoa ya Kanda ya Ziwa yenye lengo la kuwashawishi wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura muda utakapowadia.

Akizindua operesheni hiyo katika viwanja vya Nyampande wilayani Sengerema juzi, katibu wa Chadema Kanda ya Ziwa, Robert Bujiku, alisema watazunguka mikoa yote ya kanda hiyo kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari hilo pale...

 

9 years ago

StarTV

CHADEMA kuhakikisha fedha za mrabaha zinawanufaisha wananchi

Mgombea ubunge jimbo la Tarime vijijini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Heche amesema kama wananchi watamchagua kuwa mbunge wa jimbo hilo atahakikisha wananufaika na pesa za mrabaha zinazotolewa kila mwaka na kampuni ya kuchimba madini ya ACACIA.

Amesema fedha hizo zitatumika kulipa pensheni kwa wazee wa jimbo hilo na kuhakikisha kila mmoja anakuwa na fursa sawa kuweza kupata fedha hizo za mrahaba zinazotolewa.

Heche amesema hayo wakati wa uzinduzi wa kampeni za...

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema wamtaka Magufuli asiwabague wananchi Chato

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemtaka Mbunge wa Chato (CCM), Dk. John Magufuli (pichani), kuacha kuwabagua wananchi wa jimbo hilo kutokana na kuwachagua wenyeweviti na wajumbe wa Chadema kupitia Ukawa katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Desemba 14, mwaka jana.

Chadema walitoa tahadhari hiyo baada ya Dk. Magufuli ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi, hivi karibuni kudai atapeleka fedha za Mfuko wa Jimbo katika vijiji na vitongoji walivyoshinda wagombea wa CCM...

 

10 years ago

Mwananchi

CHADEMA KUCHANGIWA NA WANANCHI KUIMARISHA MFUKO WA CHAMA

Baada ya kuzindua programu ya ya siasa mtandaoni, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kuwa kinampango wa kuwashawishi wananchi kukichangia na kufikisha shilingi bilioni moja kila mwezi.

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA BAVICHA TAIFA CHADEMA AWAHUTUBIA WANANCHI

WILLIAM MUNGAI ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mbunge wa jimbo la mufindi kasikazi akiongozana na Mwenyekiti wa BAVICHA taifa Hon.Ole SOSOPImakamu mwenyekiti wa BAVICHA taifa Hon.Ole SOSOPI akiwahutubia wananchi katika jimbo la Mufindi Kasikazini.WILLIAM MUNGAI ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mbunge wa jimbo la mufindi kasikazi akiwahutubia wananchi wa jimbo la mufindi kusini ambako anatarajia kugombea ubunge kupitia chadema.
Wananchi wa wilaya ya mufindi mkoani Iringa wamelalamikia ugumu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani