Chadema chahamasisha wananchi wajitokeze kujiandikisha
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimezindua operesheni Tigitigi kwa ajili ya mikoa ya Kanda ya Ziwa yenye lengo la kuwashawishi wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura muda utakapowadia.
Akizindua operesheni hiyo katika viwanja vya Nyampande wilayani Sengerema juzi, katibu wa Chadema Kanda ya Ziwa, Robert Bujiku, alisema watazunguka mikoa yote ya kanda hiyo kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari hilo pale...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziASKOFU AWATAKA WATANZANIA WAJITOKEZE KUJIANDIKISHA
Isanja aliwaasa Watanzania kutozembea nafasi hiyo muhimu na badala yake waitumie fursa hiyo itakayoleta mabadiliko yanayotarajiwa na wengi.
Akizungumza katika mahafali ya Wahitimu wa Diploma ya masomo ya Biblia...
10 years ago
GPLCHADEMA YAZIDI KUWAHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KUPIGA KURA
10 years ago
Dewji Blog14 Feb
CHADEMA yawataka Wananchi kwenda kujiandikisha katika daftari la mpiga kura
Mwenyekiti wa Chadema, Mh. Freeman Mbowe akihutubia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa chama hicho wa kanda ya kaskazini unaofanyika leo katika hotel ya New Arusha jijini humo.
Viongozi wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wakifanya sala kabla ya kuanza mkutano wa viongozi wa kanda ya kaskazini.
Naibu Katibu mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu akiwa anaongea na waandishi wa habari.
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo-Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa chama chao kimejipanga...
10 years ago
MichuziCHADEMA YAENDELEA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIJINI MWANZA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ko14jQw3Zls/Xo68PqwYDeI/AAAAAAALmnI/Buhn4o0aV9QC_r349zTEh2OXzhnA6QljQCLcBGAsYHQ/s72-c/f2c70339-aa23-4cbc-9db9-7f8aabf8daca.jpg)
NEC yataka wananchi wajitokeze katika uhakiki wa wazi wa kuwezesha kupiga kura.
Wananchi waliojiandikisha katika Daftari la wapiga kura Mwaka 2015 na wale waliojiandikisha katika Uboreshaji wa Daftari Awamu ya kwanza wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuhakiki taarifa zao pindi Daftari litakapowekwa wazi katika maeneo yao na watumie njia nyingine za uhakiki Kama ilivyoelekezwa.
Rai imetolewa leo Jijini Dar es salaam na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji wa Rufaa Semistocles Kaijage katika ufunguzi wa mkutano ulioandaliwa na Tume ya Taifa ya...
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Wananchi wahimizwa kujiandikisha Daftari la Wapiga Kura
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Jumanne Sagini akionyesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) Daftari la Wapiga Kura linalotumika kuandikisha wananchi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kushoto ni Mratibu wa Uchaguzi huo Bw. Denis Bandisa.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini akiongea na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba 14 mwaka huu ambapo amesema...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zHoCEbvqcxE/VYuLrKG5dlI/AAAAAAAARgM/DJxZxOLGYcc/s72-c/E86A0837%2B%25281280x853%2529.jpg)
NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zHoCEbvqcxE/VYuLrKG5dlI/AAAAAAAARgM/DJxZxOLGYcc/s640/E86A0837%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JtpQ_ZsoQUI/VYuLyfsjG4I/AAAAAAAARgo/n0XxEeJcgoU/s640/E86A0860%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oMLKP-v1Uuw/VYuLyWG_e6I/AAAAAAAARgs/Fxe67dzxyng/s640/E86A0870%2B%25281280x853%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog14 May
Wananchi wenye sifa ya kupiga kura Mkalama washauriwa kujiandikisha
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida,James John Mkwenga,akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika kijiji cha Nduguti.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Asma Seif na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Mkalama,Cusbert Mwinuka.
Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Edward Ole Lenga, akizungumza mbele ya kikao cha kawaida cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama. Ele Lenga alitumia nafasi hiyo kuagiza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-41SbUnQLrkM/XpsVfUclZTI/AAAAAAAAMyU/-BKJnDFYDwQYLYcijJVd86C9lN6os_BogCLcBGAsYHQ/s72-c/M%2B1.jpg)
WANANCHI JIJINI ARUSHA WAJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-41SbUnQLrkM/XpsVfUclZTI/AAAAAAAAMyU/-BKJnDFYDwQYLYcijJVd86C9lN6os_BogCLcBGAsYHQ/s640/M%2B1.jpg)
Wakazi wa Kata ya Osunyai jijini Arusha wakinawa mikono kujikinga dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa corona kabla ya kuingia kwenye vyumba kujiaandikisha na kubadilisha taarifa zao katika mpango wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) kuboresha daftari la kudumu la wapigakura katika mikoa 12 ya mwanzo kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3326QnCiu4Y/XpsVroUR1BI/AAAAAAAAMyY/oFx3zF0u588DXJdRrA8UfakxW5e22-6swCLcBGAsYHQ/s640/M%2B2.jpg)
Msimamizi Msaidizi wa uchaguzi Arusha Mjini,Dk Maulid Madeni akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mwenendo wa uandikishaji wapigakura jijini Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-PnKYUQQqml0/XpsVv-ZFSuI/AAAAAAAAMyg/Y7he80nsK3MwSG3zLeM_Xc54ATxPMANPACLcBGAsYHQ/s640/M%2B3.jpg)
Wananchi...