Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA: Wananchi ikataeni Katiba

SIKU chache baada ya Bunge Maalum la Katiba kupitisha Katiba mpya iliyopendekezwa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewasihi Watanzania kuikataa punde itakapopelekwa kwao kwa ajili ya kupigiwa kura. Kimesema,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA: Ikataeni orodha feki ya CCM

BARAZA la Vijana la Taifa la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limeitaka Ofisi ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu na ushiriki wa uchaguzi...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA WANANCHI CUF CHASISITIZA KUWA KATIKA UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI ( UKAWA )

1Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Bara, Magdalena Sakaya, akizungumza na waandishishi wa habari, Dar es Salaam leo kuhusu masuala ya kuwa katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Uchaguzi na Mipango wa CUF, Shaweji Mketo na kulia ni Naibu Mkurugenzi wa Habari wa CUF Taifa, Abdul Kambaya.2Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa katika mkutano huo.

 

11 years ago

Mwananchi

KATIBA: ‘Wananchi ndiyo waamuzi wa Katiba’

>Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Martin Shao amesema wananchi ndiyo waamuzi wa mwisho juu ya Katiba itakayopendekezwa bungeni.

 

11 years ago

Michuzi

Viongozi wa Siasa Muache Uswahili mtupatie katiba ya watu wote siyo ya CCM,AU CHADEMA,AU CUFU TUNATAKA KATIBA.

Mheshimiwa michuzi tunashukulu sana kwa kazi yako ya kutujulisha yanayoendelea TANZANIA leo naomba unipe nafasi niweke ya moyoni mwangu na maoni yangu kuhusu huu mstakabali wa kupata katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, mengi yamekuwa yakisemwa sana kuhusu hii katiba au ni muundo ghani wa muungano tunaoutaka,watu wengi na wana siasa wamesahu kwamba muungano huu na katiba hii ya zamani ndio umetufanya tuwe na undungu  na pia tuwe na amani mpaka hapa tulipo watu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yapongeza wananchi

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Ziwa Magharibi, kimewapongeza wananchi wa majimbo na kata zote katika ukanda huo, kwa uamuzi wao wa kuwachagua wabunge na madiwani wanaotokana na...

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema: Wananchi jumlisheni matokeo

Chadema imewataka wananchi kujumlisha matokeo yote yatakayotolewa kwenye vituo vya uchaguzi na kuyasambaza badala ya kusubiri kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yajivunia ushirikiano na wananchi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeeleza kufurahishwa na ushirikiano uliopo baina ya chama hicho na wananchi, na kusema hatua hiyo itafanikisha kuiangusha CCM katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Fedha za maendeleo haziwafikii wananchi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwa fedha zinazoidhinishwa na Bunge la Bajeti la Jamhuri ya Muungano kwa ajili ya matumizi ya kawaida na shughuli za maendeleo ya wananchi...

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema chahamasisha wananchi wajitokeze kujiandikisha

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimezindua operesheni Tigitigi kwa ajili ya mikoa ya Kanda ya Ziwa yenye lengo la kuwashawishi wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura muda utakapowadia.

Akizindua operesheni hiyo katika viwanja vya Nyampande wilayani Sengerema juzi, katibu wa Chadema Kanda ya Ziwa, Robert Bujiku, alisema watazunguka mikoa yote ya kanda hiyo kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari hilo pale...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani