Chadema ‘wapotezea’ ahadi ya kuuza gari la Meya
MADIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameipotezea ahadi ya kuuza gari la kisasa lililokuwa likitumiwa na aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Iringa, Amani Mwamwindi (CCM) waliyoitoa wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
Meya Jerry Slaa atekeleza ahadi alizozitoa jimbo la Ukonga
Diwani wa kata ya Gongo la Mboto na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Slaa akiwasili mkutanoni kwa ajili ya kuwahutubia wananchi katika uwanja wa shule ya msingi kitunda mwishoni mwa wiki ambapo alieleza mafanikio yaliyopatikana wakati wa kipindi chake cha uongozi na kukamilisha ahadi mbalimbali alizokuwa amezitoa.
Baadhi ya madiwani na viongozi wa CCM kata ya Ukonga wakiwa katika picha ya pamoja na Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa muda mfupi baadaya kuhutubia mkuatano wa hadhara...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaapx54NxPQFHkQeEtLqT1l1iWVzS3onup1dIXCwef-NO*UEKCFKdBS-vY44*XZ7d*hy05S0o5yy*GwXHBho5*JyP/s1.jpg?width=650)
MEYA JERRY SLAA ATEKELEZA AHADI ZKE, ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UKONGA
11 years ago
Habarileo26 Jan
Mlinzi Chadema amdhalilisha Meya
WA K A T I m v u a i k i s ambaratisha mikutano ya Chadema mkoani hapa, tafrani imezuka jukwaani kwa mmoja wa walinzi wa viongozi walio kwenye msafara wa chama hicho kumkunja shati na kumtoa kwenye kiti cha viongozi wakuu, Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Bakari Beji.
9 years ago
Habarileo07 Dec
Chadema wavutana uchaguzi wa Meya
MVUTANO umezuka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupinga uongozi wa juu wa chama hicho kuahirisha uchaguzi wa Meya na Naibu Meya wa Jiji la Arusha uliotakiwa kufanyika Ijumaa iliyopita.
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Chadema yateua Meya Manispaa ya Kinondoni
Veronica Romwald na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Konondoni, kimempitisha Diwani mteule wa Ubungo, Boniface Jacob (Chadema), kuwa mgombea umeya wa Manispaa ya Kinondoni, huku akiwakilisha mwamvuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mgombea huyo alikuwa akiwania nafasi hiyo huku akipambana na diwani mwenzake mteule wa Kata ya Mbweni, Abdunel Elibariki (Chadema) ambaye alishindwa kutamba.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
CHADEMA yamkalia kooni Meya Silaa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempa siku 21 Diwani wa Ukonga, Jerry Silaa, kutoa maelezo ziliko fedha za ujenzi wa ofisi ya kata zaidi ya sh. milioni 175. Chama...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Meya atwangana ngumi na diwani CHADEMA
OFISI za Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza, jana ziligeuka uwanja wa masumbwi baada ya Mstahiki Meya, Henry Matata na madiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuchapana...
11 years ago
Habarileo![](http://www.habarileo.co.tz/images/images_2012_june_dec/arusha15.jpg)
Meya Chadema amdunda mgambo wa kike Arusha
NAIBU Meya wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Prosper Msofe, anadaiwa kumpiga mgambo wa kike na kusababisha alazwe katika Hospitali ya Levolosi.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6Fst2JD31u4/VlxZPXBBLlI/AAAAAAAAXVU/kkFWoWZ7goI/s72-c/IMG_0039%2B%25281024x683%2529.jpg)
RAY MBOYA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA NAFASI YA MEYA MANISPAA YA MOSHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6Fst2JD31u4/VlxZPXBBLlI/AAAAAAAAXVU/kkFWoWZ7goI/s640/IMG_0039%2B%25281024x683%2529.jpg)
Waliokuwa washindani katika nafasi ya kuwania kuteuliwa na Chadema nafasi ya Meya wa manispaa ya Moshi,Francis Shio (kushoto) akimpongeza Raymond Mboya baada ya kutangazwa mshindi kwa kupata kura 16 dhidi ya kura 10 za Shio .
![](http://1.bp.blogspot.com/-GdSc44C7Iqc/VlxZyBvSEaI/AAAAAAAAXYc/h-sltIvPxLs/s640/IMG_0140%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BdpLGMMAj_E/VlxZyNuNfWI/AAAAAAAAXYg/wtsEpu0uMxw/s640/IMG_0133%2B%25281024x683%2529.jpg)