Chadema yaitaka Serikali kuangalia Watanzania waliopo Afrika Kusini
>Chama cha Chadema, kimeitaka Serikali kuchukua hatua za dharura kuwarudisha nyumbani Watanzania wanaoishi Afrika Kusini kutokana na kuwepo kwa machafuko nchini humo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili11 Oct
ANC yaitaka Afrika Kusini ijiondoe katika ICC
10 years ago
Mtanzania20 May
Serikali yazungumzia hatima ya watanzania waliopo Burundi
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
SERIKALI imesema itawaondoa Watanzania walioko Burundi baada ya kupata maombi yao kama wana matatizo kutokana na vurugu ambazo zimekuwa zikiendelea nchini humo kwa wiki kadha sasa.
Machafuko nchini humo yalianza baada ya Rais Pierre Nkurunziza kutangaza kuwa atawania awamu ya tatu katika uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwezi ujao.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mkuu wa Mawasiliano wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mindi Kasiga, alisema...
10 years ago
Vijimambo17 Apr
SERIKALI KUWARUDISHA NCHINI WATANZANIA WALIOPO YEMEN
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c2/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg/2000px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Serikali kuwarudisha nchini Watanzania waliopo Yemen
Mhe....
10 years ago
Michuzi17 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tUPS2pJ-yYA/VacKlGNYjtI/AAAAAAAASNg/3n8qzK9mv3U/s72-c/E86A6155%2B%25281280x853%2529.jpg)
TIMU YA WATU 39 KUTOKA AFRIKA KUSINI WAPNDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA KUNUNUA TAULO MAALUMU KWA WASICHANA WALIOPO MASHULENI PINDI WAWAPO KATIKA HEDHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-tUPS2pJ-yYA/VacKlGNYjtI/AAAAAAAASNg/3n8qzK9mv3U/s640/E86A6155%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_SQu7c010ss/VacKv6BcWRI/AAAAAAAASOI/XjXfbY2I6bA/s640/E86A6182%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4G3w7bUcYnY/VacKzudlBMI/AAAAAAAASOY/eyi3ovNTFmg/s640/E86A6203%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RyQ18hEd_XU/VacKBC0LT7I/AAAAAAAASMA/IWhEgOCpm2U/s640/E86A6047%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo21 Apr
‘Watanzania hawajafa Afrika Kusini’
SERIKALI imesema hakuna Mtanzania aliyekufa Afrika Kusini, licha ya watu kadhaa kutoka mataifa mengine kupoteza maisha.
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Watanzania waliokuwa Afrika Kusini warudishwa
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Watanzania 23 waishi kambini Afrika Kusini
10 years ago
Mtanzania21 Apr
Watanzania 23 walijificha dukani Afrika Kusini
Patricia Kimelemeta na Grace Shitundu
SERIKALI imesema Watanzania 23 wamenusurika kuuawa katika ghasia zinazoendelea nchini Afrika Kusini baada ya kujificha kwenye duka kubwa (Supermarket).
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alisema hadi jana hakuna taarifa za Mtanzania aliyepoteza maisha.
Alisema katika vurugu hizo, watu wanane ambao walifariki dunia wanatoka nchi za Malawi, Msumbiji, Ethiopia,...