CHADEMA yamshukia Dk. Shein
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesikitishwa na uamuzi wa Rais wa Zanzibar, Dk. Mohamed Ali Shein kumfuta kazi mwanasheria mkuu wa Serikali, Othman Masudi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Chadema yamshukia Mkuu wa Mkoa Dar
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Azam FC yamshukia Juma Nyosso
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Azam imepeleka barua rasmi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ikiomba wamfungie beki wa Mbeya City, Juma Nyosso, kwa kitendo cha udhalilishaji dhidi ya nahodha wao, John Bocco.
Nyosso alifanya kosa hilo wakati timu yake ilipokubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Azam, kwenye Uwanja wa Azam Complex, Jumapili iliyopita, tukio lililokemewa vikali kwa watu mbalimbali wakitaka beki huyo aadhibiwe vikali.
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
UCCM yamshukia Maalim Seif
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UCCM), imesema Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, ndiye chokochoko anayeiyumbisha nchi na ikiwa Serikali ya Umoja...
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Tucta yamshukia Makonda kwa udhalilishaji
11 years ago
Uhuru Newspaper17 Jul
CCM Zanzibar yamshukia Maalim Seif
NA ANTAR SANGALI, ZANZIBAR
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakina ubia wa sera na CUF katika uendeshaji wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inayoongozwa na Dk. Ali Mohamed Sheni.
Msimamo huo wa CCM, imetokana na kauli ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, kudai hivyo, wakati akihojiwa na kituo kimoja cha luninga, hivi karibuni.
Msimamo huo ulitolewa jana na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC, Itikadi na Uenezi (Zanzibar), Waride Bakari Jabu, wakati akizungumza na...
11 years ago
Mwananchi17 May
Kambi ya upinzani yamshukia Spika Anne Makinda
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lKOVvz2JGTQ/VWNBQ8VHFSI/AAAAAAAHZvg/w1_uujV3aaI/s72-c/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
Dkt. Shein aongoza waombolezaji kwenye mazishi ya dada yake, Marehemu Fatma Shein
![](http://1.bp.blogspot.com/-lKOVvz2JGTQ/VWNBQ8VHFSI/AAAAAAAHZvg/w1_uujV3aaI/s640/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vsf68xAbpJs/VWNBRGHMgdI/AAAAAAAHZvc/LlMG9Xy7nZM/s640/unnamed%2B%252879%2529.jpg)
9 years ago
MichuziMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI
9 years ago
GPLMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI