Chadema yamshukia Mkuu wa Mkoa Dar
Chadema imekosoa uamuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick kuzuia waendesha bodaboda, bajaji na maguta wasifike Posta kwa kile walichodai kuwa hakufuata kanuni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA APEWA UCHIFU WA MKOA WA DAR ES SALAAM NA WAZEE WA KANDA YA PWANI
Wazee wa Kimila Ali Mahita Mwinyikambi (kulia) na Athumani Rajab Uloleulole kwa niaba ya Wazee wa Pwani wakimtazama Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Willibroad Slaa baada ya kumvisha nguo za kimila na kumkabidhi silaha za jadi ikiwa ni ishara ya kumtawaza kuwa Chifu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani na kumpatia jina la Chifu Mwinyikambi
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
CHADEMA yamshukia Dk. Shein
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesikitishwa na uamuzi wa Rais wa Zanzibar, Dk. Mohamed Ali Shein kumfuta kazi mwanasheria mkuu wa Serikali, Othman Masudi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu...
11 years ago
MichuziMkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dar atembelea eneo la mafuriko mkoani morogoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-aQiUAz97tKU/Uu6GSSVh4KI/AAAAAAAFKZc/OEVt4B_vw2o/s1600/Pic+three+mafuriko.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-V_UlHLtuUqE/VUSs0uLNHcI/AAAAAAAATGw/h79yWy1PYQY/s72-c/p6.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AFUNGUA MAONYESHO YA DAR PROPERTY EXPO
![](http://4.bp.blogspot.com/-V_UlHLtuUqE/VUSs0uLNHcI/AAAAAAAATGw/h79yWy1PYQY/s1600/p6.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, akikata utepe kufungua maonyesho ya uwekezaji katika majengo yajulikanayo kama Dar Property Expo kwenye ukumbi wa VIP wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Jumamosi Mei 2, 2015. Makampuni na mabenki mbalimb ali yanashiriki kwenye maonyesho hayo
![](http://3.bp.blogspot.com/-qbYewk4mm78/VUSs2ng4xUI/AAAAAAAATG4/cFYkGCmrgPo/s1600/p1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3RQAwh-QT5w/VUSsmQ_Ir1I/AAAAAAAATGY/2ltXIJtfpZ0/s1600/p11.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SNES_kOOpkA/Vg0GANaIzCI/AAAAAAAH8FE/D8x_tgDx90M/s72-c/meck-sadick-jan10-2014.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MERCK SADICK ANATARAJIWA KUWA MGENI RASMI KATIKA MKUTANO MKUU WA JUMUIYA YA WAISLAMU WA AHMADIYYA KUANZA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNES_kOOpkA/Vg0GANaIzCI/AAAAAAAH8FE/D8x_tgDx90M/s320/meck-sadick-jan10-2014.jpg)
Hayo yamesemwa na Amir Mbashiri Mkuu Sheikh Tahir Mahmood Chaudhry alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Sheikh Tahir amesema kuwa lengo kuu la mkutano huo ni kukumbushana misingi sahihi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nMLRpERHWfk/VWwOubSwRxI/AAAAAAAAQJc/ORX7BznU9Tw/s72-c/E86A8710%2B%2528800x533%2529.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU CHADEMA,ZANZIBAR SALUM MWALIM ATUNUKU VYETI KWA WANACHAMA WA CHASO MKOA WA KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-nMLRpERHWfk/VWwOubSwRxI/AAAAAAAAQJc/ORX7BznU9Tw/s640/E86A8710%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_XIiHO4JWXc/VWwO6ccI90I/AAAAAAAAQLM/HlX3PWk2LXU/s640/E86A8760%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IOA0cKEpUWA/VWwOyhmLyII/AAAAAAAAQKA/B4sfgy9GrOo/s640/E86A8714%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
MichuziMENEJIMENTI YA OFISI YA MKUU WA MKOA WA RUKWA YAMPONGEZA MKUU WA MKOA HUO ENG. STELLA MANYANYA KWA USHINDI WA KISHINDO KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA MBINGA MAGHARIBI
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Zungu: Mkuu wa Mkoa Dar hafai
MBUNGE wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM), amewashutumu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik na Mkurugenzi wa Jiji, Willison Kabwe, kulivuruga jiji hilo kwa kuwakamata wafanyabiashara...
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Bodaboda wamwangukia Mkuu wa Mkoa wa Dar
Baadhi ya viongozi na wanachama wa bodaboda wakiwa katika mazungumzo na wanahabari (hawapo pichani).
Na Mwandishi wetu.
Kamati maalum ya madereva Bodaboda Mkoa wa Dar es Salaam, wamemtaka mkuu wa mkoa Saidi Meck Sadiki kusitisha agizo la vyombo hivyo kutoingia katikati ya jiji (Central Business District CBD).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, katibu wa kamati hiyo Daudi Laurian, alisema kuwa mkuu wa mkoa alitoa agizo hilo bila kuwashirikisha kwa kuwapa taarifa ...