Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA yatia hofu CCM

SERIKALI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imegeukia kutekeleza sera kutoka katika Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), licha ya awali kudai sera hizo ni ndoto za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Maziwa yatia hofu wamama

BAADHI ya akinamama wanaowanywesha watoto wao maziwa aina ya Lactojen1, wameingiwa na hofu kutokana na maziwa hayo kuadimika sokoni. Wakizungumza na Tanzania Daima Jumapili kwa nyakati tofauti, akina mama hao...

 

10 years ago

Vijimambo

MIAKA 38 YA CCM YATIA FORA MJINI SONGEA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wakati akiingia kwenye uwanja wa Maji Maji mjini Songea kwenye sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCMMsanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond akiiingia uwanja wa maji maji akiwa juu ya gari.Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria.Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akivishwa skafu na kijana wa chipukizi mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Maji Maji mjini Songea kwenye sherehe za maadhimisho ya...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kijiji cha Wangama, Fred Mgata (kulia) akikabidhi kadi za chyama hicho kwa Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga baada ya yeye na wanachama wengine 50 wa Chadema kuamua kukihama na kujiunga CCM katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika  katika Kijiji hicho kilichopo Kata ya Luhota, Iringa Vijijini leo. Mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chadema ambaye ni mzaliwa wa kijiji hicho,  Grace Tendega alikuwa chini ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yawatoa hofu wafanyakazi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wafanyakazi wa serikali na umma nchini kote kuondoa hofu ya kukosa ajira endapo chama hicho kitaingia madarakani baada ya Uchaguzi Mkuu mwakani. Hayo...

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema: Kauli ya JK yavitia hofu vyama vya siasa

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimepinga kauli ya Rais Jakaya Kikwete kwamba kura ya maoni ya kupitisha au kuikataa katiba inayopendekezwa itafanyika wakati wowote kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kwa kuwa inakiuka makubaliano kati yake na viongozi wa vyama vya siasa.

Rais Kikwete alisema juzi mjini Dodoma baada ya kukabidhiwa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa iliyoandaliwa na Bunge Maalum la Katiba (BMK), alisema kuwa kura ya maoni ya kuipitisha Katiba hiyo au kuikataa...

 

9 years ago

StarTV

Polisi Mwanza yazuia mikusanyiko ya maandamano ya CHADEMA kuhofia Hofu Wa Kipindupindu

Polisi mkoa wa Mwanza imezuia mikusanyiko ya watu na maandamano kwa kuhofia kuenea kwa ugonjwa wa kipindupindu ambao unatajwa kuzagaa mkoani humo.

Hatua hiyo inatokana na kuwepo kwa taarifa za shughuli ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Geita katika viwanja vya Furahisha.

Kwa mujibu wa taarifa za kiintelijensia za jeshi la polisi, mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Geita Alphonce Mawazo unatarajiwa kuagwa kesho katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba atia hofu CCM

KITENDO cha wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji Joseph Warioba, kujitokeza katika mdahahlo na kujibu upotoshwaji ulioyokuwa ukifanywa na baadhi ya viongozi waandamizi wa Serikali...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM na hofu ya nguvu ya Ukawa

Wataalamu wa saikolojia wanasema kuwa hakuna mtu asiyekuwa na hofu maishani. Hata Yesu alishikwa hofu pale msalabani, sembuse wanadamu?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miaka 37 ya CCM na hofu ya kuwajibishana

FEBRUARI 5, 2014 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaadhimisha sherehe za miaka 37 tangu kuzaliwa kwake mwaka 1977, baada ya muungano wa vyama vya Tanganyika African National Union (TANU) na Afro...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani