Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM na hofu ya nguvu ya Ukawa

Wataalamu wa saikolojia wanasema kuwa hakuna mtu asiyekuwa na hofu maishani. Hata Yesu alishikwa hofu pale msalabani, sembuse wanadamu?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Hofu ya CCM kwa UKAWA ni nini?

WAHENGA hawakukosea waliposema “Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu.” Ni nasaha inayotukumbusha umuhimu wa kushirikiana na binadamu wenzetu maishani katika mambo  tufanyayo. Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ni muungano...

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo matatu yanayoipa CCM nguvu dhidi ya UKAWA

Wakati Taifa likielekea katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu, ushindani wa wazi wa kisiasa kati ya chama tawala (CCM) na vyama vya upinzani kupitia Ukawa unaonekana bayana.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Hofu Ukawa kuvunjika yatanda

MWENYEKITI mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), James Mbatia, amewataka viongozi na wanachama wa umoja huo kuheshimu makubaliano yaliyomo kwenye mwongozo waliotiliana saini mwaka jana.

Mbatia alitoa angalizo hilo baada ya kuwepo kwa viashiria kwa baadhi ya vyama ndani ya umoja huo kwenda kinyume na walichokubaliana hasa kuachiana majimbo kwa wagombea wabunge na udiwani.

Wiki hii kumekuwapo taarifa katika baadhi ya majimbo kwamba kuna vyama ndani ya Ukawa vimeweka wagombea...

 

9 years ago

Mwananchi

Ipo hofu ya Ukawa kupoteza majimbo

 Ilikuwa miaka, miezi, sasa zimesalia wiki tatu hivi au siku 23 kuelekea kibanda cha kupigia kura kuamua nani awe rais, mbunge na diwani kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi kwa asilimia 100 na hakuna chama chenye uhakika wa moja kwa moja.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa na dhana ya nguvu ya mnyonge au ‘zamu yetu kula’

Kwa jumla, kuungana ni jambo jema kwani muungano huongeza nguvu. Muungano ni silaha ya mnyonge dhidi ya mwenye nguvu.

 

9 years ago

StarTV

UKAWA ya lalamikia jeshi la Polis kutumia nguvu nyingi.

Jeshi la polisi mkoani Mwanza mapema leo limelazimika kutumia mabomu ya kuwatawanya waandamanaji waliotaka kwenda uwanja wa ndege kwa ajili ya kumpokea Waziri mkuu mstaafu na mgombea urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia Umoja wa katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowasa.

Waziri mkuu mstaafu Lowasa amewasili jijini Mwanza mchana jana kwa ajili ya kujitambulisha rasmi kama mgombea urais kwa tiketi ya umoja huo.

Ulinzi uliimarishwa lakini saa chache baadae baadhi ya wakazi na...

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI : Ukawa yategemea nguvu ya CUF, NCCR majimbo yote ya Urambo, Sikonge

Jimbo la Sikonge ni mamlaka yote ya Wilaya ya Sikonge yenye kata 20, vijiji 71 na vitongoji 281. Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, jimbo hili lina wakazi 179,883, wanaume wakiwa 88,947, wanawake 90,936 na wastani wa watu ni 5.9 katika kila kaya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miaka 37 ya CCM na hofu ya kuwajibishana

FEBRUARI 5, 2014 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaadhimisha sherehe za miaka 37 tangu kuzaliwa kwake mwaka 1977, baada ya muungano wa vyama vya Tanganyika African National Union (TANU) na Afro...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yatia hofu CCM

SERIKALI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imegeukia kutekeleza sera kutoka katika Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), licha ya awali kudai sera hizo ni ndoto za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani