Ukawa na dhana ya nguvu ya mnyonge au ‘zamu yetu kula’
Kwa jumla, kuungana ni jambo jema kwani muungano huongeza nguvu. Muungano ni silaha ya mnyonge dhidi ya mwenye nguvu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
NI ZAMU YETU KUWAHOJI WAGOMBEA
10 years ago
Bongo Movies06 Jan
Dhana: Kazi Mpya ya Riyama, Kaa Mkao wa Kula
Mwaka ndio huo tumeshauanza, na kazi ndio hizi zipo jikoni karibu kutoka, Hii ni ya mwigizaji anaesifiwa kwa kuvaa vizuri (kwa heshima) sio mwigine ni, Rihaya Ally, filamu inaitwa Dhana,kwamaneno mafupi akizungumzia ujio wa filamu hii Riyama alisema;
“Dhana....... Mbayaaaaaaaaaa!! Kazini kazi ya mikono yangu wadau kaeni mkao wakula”
Tukae mkao wa kula,tuisubiri
10 years ago
Vijimambo
UKAWA SASA NI ZAMU YENU KULIA

Na Happiness KatabaziKWA Takribani Miezi miwili sasa vyama vinavyounda UKAWA vimekuwa vikipata dhoruba Kali kutoka kwa baadhi ya waliokuwa Viongozi wa juu wa UKAWA kuamua kuachia madaraka vyama vyao Vya siasa walivyokuwa wakivitumikia sambamba na wanachama wao.Tumewashuhudia waliokuwa Majemedali wa UKAWA ambaye aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF),Profesa Ibrahim Lipumba kuamua ukajiudhuru wadhifa wake huo ikiwa ni muda mfupi tu baada ya Waziri Mkuu aliyejidhuru Edward...
10 years ago
Mwananchi29 Apr
CCM na hofu ya nguvu ya Ukawa
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Mambo matatu yanayoipa CCM nguvu dhidi ya UKAWA
10 years ago
StarTV17 Aug
UKAWA ya lalamikia jeshi la Polis kutumia nguvu nyingi.
Jeshi la polisi mkoani Mwanza mapema leo limelazimika kutumia mabomu ya kuwatawanya waandamanaji waliotaka kwenda uwanja wa ndege kwa ajili ya kumpokea Waziri mkuu mstaafu na mgombea urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia Umoja wa katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowasa.
Waziri mkuu mstaafu Lowasa amewasili jijini Mwanza mchana jana kwa ajili ya kujitambulisha rasmi kama mgombea urais kwa tiketi ya umoja huo.
Ulinzi uliimarishwa lakini saa chache baadae baadhi ya wakazi na...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Kikwete mnyonge, Pinda kachoka
KAMPENI za Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwaka 2005, zilitawaliwa na vituko lukuki, miongoni mwa vituko hivyo ni viongozi wa dini walipoamua kumfanyia kampeni Rais Jakaya Kikwete, kwa kumuita ni ‘Chaguo la...
10 years ago
Mwananchi06 Jul
KUELEKEA MAJIMBONI : Ukawa yategemea nguvu ya CUF, NCCR majimbo yote ya Urambo, Sikonge
10 years ago
MichuziTMF yatoa mafunzo kwa wanahabari wa Sauti ya mnyonge