NI ZAMU YETU KUWAHOJI WAGOMBEA
![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-QXx7ridhS3TRVBY631Jb72CcUjQQvnYuE01oz21RY3eLTkF2sp2F13rky7IQh2cjktg5MsKfmNoKGaV*ynNuzR/Mwenyekiti.jpg)
Mwenyekiti wa tume ya katiba, Jaji Damian Lubuva. WOTE tulio hai tena wenye afya tele hatuna budi kumtukuza Mungu muumba wa mbingu na nchi na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana. Baada ya kusema hayo niwakumbushe tu kwamba kila unapofanyika uchaguzi mkuu wa nchi, wabunge wengi hawarudi bungeni, yaani wanatemwa na wapiga kura wao kwa maana ya kushindwa kwa kura katika uchaguzi huo, ama kutopitishwa na vyama vyao...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Ni muda wa kuwahoji wagombea
9 years ago
StarTV23 Oct
Kuelekea uchaguzi mkuu Wananchi watakiwa kuwahoji wagombea Wao
Zikiwa zimesalia siku chache kupiga kura, watanzania wamekumbushwa kuendelea kuwahoji wagombea katika dakika hizi za lala salama ili waweze kumbaini mgombea mwenyenia ya kuleta maendeleo ya kweli.
Kitendo cha kuwahoji wagombea bila kujali itikadi ya vyama vyao kinatoa fursa kwa wananchi kumtambua kila mgombea katika kuchochea mabadiliko.
Ni katika mdahalo ulioandaliwa na taasisi ya Wazo huru ukiwakutanisha wabunge wa jimbo la Nyamagana lengo likiwa ni kushindanisha sera za vyama...
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Ukawa na dhana ya nguvu ya mnyonge au ‘zamu yetu kula’
10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Prof Mwandosya; Mwaka 2005 nilikuwa wa tatu mwaka huu ikulu zamu yangu, ataka wagombea wenzake wasiogope kuelezwa maovu
![](http://lh3.googleusercontent.com/-UejVb5EwXPc/VYK19eciPLI/AAAAAAAB-B4/IWFAAe2Djhg/s640/blogger-image--442025607.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-oK4C43J87l0/VYK2GdT1urI/AAAAAAAB-CA/8LsqPxinRpE/s640/blogger-image-685183973.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-npatPrWyp9U/VYK3Q-yu3mI/AAAAAAAB-CI/eQGm0xPwytU/s640/blogger-image--1073419117.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Nak95vAOQ0A/VYK3hOgN1NI/AAAAAAAB-CQ/eevKioi1ZOI/s640/blogger-image-959981763.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Hf9TZ07wfEs/VYK3ovrYg8I/AAAAAAAB-CY/ykmqWdvwPYA/s640/blogger-image--1313195988.jpg)
9 years ago
MichuziWATANZANIA TUTAMBUE AMANI YETU NI FAHARI YETU.
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Wakimaliza kuwahoji mawaziri, wamrudie aliyewateua
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Mshtakiwa ahoji mkuu wa magereza kuwahoji
11 years ago
Habarileo04 Jan
CCM kuwahoji wanachama wanaotangaza nia kiaina
KUTOKANA na kushamiri kwa kile kinachoonekana kampeni za chini kwa chini kuelekea katika chaguzi zijazo nchini, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinatarajia kuwaita na kuwahoji baadhi ya wanachama wake wanaokiuka kanuni na maadili ya chama hicho kwa kuanza kampeni kabla ya muda unaoruhusiwa.
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Ni hatari kuacha CC ya chama kuwahoji na kuwapima mawaziri
KUNA jambo la hatari limetokea nchini, ambalo tumelikubali na kuona kuwa ni halali. Jambo hili litakuwa na matokeo na yawezekana tayari limekuwa na matokeo katika utendaji kazi wa serikali pale...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10