Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NI ZAMU YETU KUWAHOJI WAGOMBEA

Mwenyekiti wa tume ya katiba, Jaji Damian Lubuva. WOTE tulio hai tena wenye afya tele hatuna budi kumtukuza Mungu muumba wa mbingu na nchi na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana. Baada ya kusema hayo niwakumbushe tu kwamba kila unapofanyika uchaguzi mkuu wa nchi, wabunge wengi hawarudi bungeni, yaani wanatemwa na wapiga kura wao  kwa maana ya kushindwa kwa kura katika uchaguzi huo, ama kutopitishwa na vyama vyao...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ni muda wa kuwahoji wagombea

Kila unapofanyika Uchaguzi Mkuu nchini idadi kubwa ya wabunge huwa hawarudi bungeni, kwa maana ya kushindwa kwa kura katika uchaguzi huo, ama kutopitishwa na vyama vyao kugombea tena nafasi hiyo.

 

9 years ago

StarTV

Kuelekea uchaguzi mkuu Wananchi watakiwa kuwahoji wagombea Wao

Zikiwa zimesalia siku chache kupiga kura, watanzania wamekumbushwa  kuendelea kuwahoji wagombea katika dakika hizi za lala salama ili waweze kumbaini mgombea mwenyenia ya kuleta maendeleo ya kweli.

Kitendo cha kuwahoji wagombea bila kujali itikadi ya vyama vyao kinatoa fursa kwa wananchi kumtambua kila mgombea  katika kuchochea mabadiliko.

 Ni katika mdahalo ulioandaliwa na taasisi ya Wazo huru ukiwakutanisha wabunge wa jimbo la Nyamagana lengo likiwa ni kushindanisha sera za vyama...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa na dhana ya nguvu ya mnyonge au ‘zamu yetu kula’

Kwa jumla, kuungana ni jambo jema kwani muungano huongeza nguvu. Muungano ni silaha ya mnyonge dhidi ya mwenye nguvu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Prof Mwandosya; Mwaka 2005 nilikuwa wa tatu mwaka huu ikulu zamu yangu, ataka wagombea wenzake wasiogope kuelezwa maovu

Waziri asiye na Wizara maalum Prof Mark Mwandosya akiwapungua mkono baadhi ya wahudumu wa uwanja wa Ndege wa Nduli Iringa wakati akiondoka mkoani Iringa kuelekea mkoani Tabora kutafuta  wadhamini kwa ndege hiyo ya kukodi. Waziri Prof Mwandosya  akitafakari jambo. Dereva  wa gari la Prof Mwandosya  Iringa akipata picha ya kumbukumbu na kuagana na rubani wa ndege aliyokodi Waziri huyo. Wadhamini wa Prof Mwandosya  wakiagana na waziri huyo. Waziri Prof. Mwandosya  na mkewe akishuka...

 

9 years ago

Michuzi

WATANZANIA TUTAMBUE AMANI YETU NI FAHARI YETU.

 Msajili wa Vyama vya  Siasa Jaji Francis Mutungi  akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya   utofauti wa itikadi wa vyama ndiyo ukomavu wa demokrasia nchini hivyo ni jambo la busara kuvumiliana na kufanya siasa za kistaarabu, ameyasema hayo wakati  wa  kikao hicho kimefanyika leo jijini Dar es Salaam kulia ni Balozi wa Amani Mrisho Mpoto na kushoto ni Balozi wa Amani Christina Shusho. Balozi wa Amani Mrisho Mpoto akifafanua jambo katika kikao hicho leo jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakimaliza kuwahoji mawaziri, wamrudie aliyewateua

>Wakiwa katika ziara za kujenga chama chao katika mikoa ya Kusini hivi karibuni, viongozi wa Sekretarieti ya CCM wakiongozwa na Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana, walitaja baadhi ya mawaziri waliowaita kuwa ni mizigo ndani ya Serikali.

 

11 years ago

Mwananchi

Mshtakiwa ahoji mkuu wa magereza kuwahoji

Mshtakiwa mmoja kati ya 10 wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Dk Sengondo Mvungi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu amedai hawana imani na mkuu wa magereza kutokana na kuwahoji vitu wasivyovielewa kuhusiana na kesi yao wakati wakiwa gerezani.

 

11 years ago

Habarileo

CCM kuwahoji wanachama wanaotangaza nia kiaina

Philip MangulaKUTOKANA na kushamiri kwa kile kinachoonekana kampeni za chini kwa chini kuelekea katika chaguzi zijazo nchini, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinatarajia kuwaita na kuwahoji baadhi ya wanachama wake wanaokiuka kanuni na maadili ya chama hicho kwa kuanza kampeni kabla ya muda unaoruhusiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni hatari kuacha CC ya chama kuwahoji na kuwapima mawaziri

KUNA jambo la hatari limetokea nchini, ambalo tumelikubali na kuona kuwa ni halali. Jambo hili litakuwa na matokeo na yawezekana tayari limekuwa na matokeo katika utendaji kazi wa serikali pale...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani