Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni hatari kuacha CC ya chama kuwahoji na kuwapima mawaziri

KUNA jambo la hatari limetokea nchini, ambalo tumelikubali na kuona kuwa ni halali. Jambo hili litakuwa na matokeo na yawezekana tayari limekuwa na matokeo katika utendaji kazi wa serikali pale...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wakimaliza kuwahoji mawaziri, wamrudie aliyewateua

>Wakiwa katika ziara za kujenga chama chao katika mikoa ya Kusini hivi karibuni, viongozi wa Sekretarieti ya CCM wakiongozwa na Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana, walitaja baadhi ya mawaziri waliowaita kuwa ni mizigo ndani ya Serikali.

 

5 years ago

Michuzi

BUNDALA AWAASA WANACCM KONGOWE ,KIBAHA KUACHA SIASA ZA MAJUNGU ILI KUKIIMARISHA CHAMA

NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Kibaha Mjini ,Pwani ,Maulid Bundala amewaasa baadhi ya wanachama wa CCM Kongowe na Kibaha kijumla kuachana na siasa za majungu na badala yake wajenge umoja ,upendo na mshikamano ili kukiimarisha chama.

Aidha amekemea kupitapita kwa baadhi ya watu wenye nia ya kugombea nafasi za udiwani na ubunge na kudai atakaebainika kupitapita kuanza kampeni kabla ya wakati atachukuliwa hatua .

Akipokea taarifa ya utekelezaji ya ilani kata ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kurudi mawaziri mizigo, ishara ya kusambaratika chama tawala?

“NCHI changa ni sawa na nyumba mpya.” Hii ni kauli ya hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyoitoa wakati anazungumza na wanahabari Machi 13, 1995. Kauli hii ni sawa na kusema kuwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara kuwapima wagombea

Zikiwa zimebaki siku nane kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu, Jumuiya ya wafanya biashara nchini imeandaa mdahalo wa uchumi kitaifa, wenye lengo la kujua namna sera za vyama zitakavyotekelezwa katika masuala ya kiuchumi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Marekani kuwapima abiria wa nje

Sheria mpya za Marekani kuanza kutumika katika viwanja vyake vya ndege ili kudhibiti maambukizi ya Ebola

 

10 years ago

Mwananchi

Ni muda wa kuwahoji wagombea

Kila unapofanyika Uchaguzi Mkuu nchini idadi kubwa ya wabunge huwa hawarudi bungeni, kwa maana ya kushindwa kwa kura katika uchaguzi huo, ama kutopitishwa na vyama vyao kugombea tena nafasi hiyo.

 

10 years ago

GPL

NI ZAMU YETU KUWAHOJI WAGOMBEA

Mwenyekiti wa tume ya katiba, Jaji Damian Lubuva. WOTE tulio hai tena wenye afya tele hatuna budi kumtukuza Mungu muumba wa mbingu na nchi na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana. Baada ya kusema hayo niwakumbushe tu kwamba kila unapofanyika uchaguzi mkuu wa nchi, wabunge wengi hawarudi bungeni, yaani wanatemwa na wapiga kura wao  kwa maana ya kushindwa kwa kura katika uchaguzi huo, ama kutopitishwa na vyama vyao...

 

11 years ago

Mwananchi

Mshtakiwa ahoji mkuu wa magereza kuwahoji

Mshtakiwa mmoja kati ya 10 wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Dk Sengondo Mvungi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu amedai hawana imani na mkuu wa magereza kutokana na kuwahoji vitu wasivyovielewa kuhusiana na kesi yao wakati wakiwa gerezani.

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!

Barabara ya Kijichi – Mbagala Kuu, ndani ya jiji la Dar es Salaam kama ilivyokutwa jana na Mdau Nathan Mpangala. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Butiama, Bw. Haji Mgaya, alisema, dhahma hiyo ni ya muda mrefu na Manispaa ya Temeke ina taarifa hiyo kwa kupindi chote hivyo,lakini mpaka leo iko kimya tu.  Hapa dereva ‘akilala’ tu, kilio kitongoji kizima zikifuatiwa na salamu za rambirambi nyiiingi toka kwa viongozi. Inawezekana Manispaa ya Temeke haina picha halisi ya hatari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani