Wakimaliza kuwahoji mawaziri, wamrudie aliyewateua
>Wakiwa katika ziara za kujenga chama chao katika mikoa ya Kusini hivi karibuni, viongozi wa Sekretarieti ya CCM wakiongozwa na Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana, walitaja baadhi ya mawaziri waliowaita kuwa ni mizigo ndani ya Serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Ni hatari kuacha CC ya chama kuwahoji na kuwapima mawaziri
KUNA jambo la hatari limetokea nchini, ambalo tumelikubali na kuona kuwa ni halali. Jambo hili litakuwa na matokeo na yawezekana tayari limekuwa na matokeo katika utendaji kazi wa serikali pale...
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Ni muda wa kuwahoji wagombea
10 years ago
GPLNI ZAMU YETU KUWAHOJI WAGOMBEA
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Mshtakiwa ahoji mkuu wa magereza kuwahoji
11 years ago
Habarileo04 Jan
CCM kuwahoji wanachama wanaotangaza nia kiaina
KUTOKANA na kushamiri kwa kile kinachoonekana kampeni za chini kwa chini kuelekea katika chaguzi zijazo nchini, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinatarajia kuwaita na kuwahoji baadhi ya wanachama wake wanaokiuka kanuni na maadili ya chama hicho kwa kuanza kampeni kabla ya muda unaoruhusiwa.
9 years ago
StarTV23 Oct
Kuelekea uchaguzi mkuu Wananchi watakiwa kuwahoji wagombea Wao
Zikiwa zimesalia siku chache kupiga kura, watanzania wamekumbushwa kuendelea kuwahoji wagombea katika dakika hizi za lala salama ili waweze kumbaini mgombea mwenyenia ya kuleta maendeleo ya kweli.
Kitendo cha kuwahoji wagombea bila kujali itikadi ya vyama vyao kinatoa fursa kwa wananchi kumtambua kila mgombea katika kuchochea mabadiliko.
Ni katika mdahalo ulioandaliwa na taasisi ya Wazo huru ukiwakutanisha wabunge wa jimbo la Nyamagana lengo likiwa ni kushindanisha sera za vyama...
10 years ago
MichuziKAMATI YA KUWAHOJI WAOMBA HIFADHI (NEC) YAANZA KAZI KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU, KIGOMA
5 years ago
Michuzi9 years ago
Michuzi