Mshtakiwa ahoji mkuu wa magereza kuwahoji
Mshtakiwa mmoja kati ya 10 wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Dk Sengondo Mvungi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu amedai hawana imani na mkuu wa magereza kutokana na kuwahoji vitu wasivyovielewa kuhusiana na kesi yao wakati wakiwa gerezani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV23 Oct
Kuelekea uchaguzi mkuu Wananchi watakiwa kuwahoji wagombea Wao
Zikiwa zimesalia siku chache kupiga kura, watanzania wamekumbushwa kuendelea kuwahoji wagombea katika dakika hizi za lala salama ili waweze kumbaini mgombea mwenyenia ya kuleta maendeleo ya kweli.
Kitendo cha kuwahoji wagombea bila kujali itikadi ya vyama vyao kinatoa fursa kwa wananchi kumtambua kila mgombea katika kuchochea mabadiliko.
Ni katika mdahalo ulioandaliwa na taasisi ya Wazo huru ukiwakutanisha wabunge wa jimbo la Nyamagana lengo likiwa ni kushindanisha sera za vyama...
10 years ago
VijimamboKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA MINJA AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUUAGA MWILI WA ALIYEKUWA AFISA MNADHIMU MKUU MSAIDIZI WA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DARES SALAAM
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Kafulila ahoji ukimya wa Waziri Mkuu Pinda
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SuStNoENXYg/XmY7yeiNNEI/AAAAAAALiOc/J-WDPJMdkYQ-UCVf-EIryh9M6ieI63NOQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B9.52.03%2BAM.jpeg)
NAIBU KATIBU MKUU AHOJI KUSHUKA KIWANGO CHA UFAULU SHINYANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SuStNoENXYg/XmY7yeiNNEI/AAAAAAALiOc/J-WDPJMdkYQ-UCVf-EIryh9M6ieI63NOQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B9.52.03%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qj3uI9uUoiM/XmY7yabffEI/AAAAAAALiOY/FXG1eupYxOAo-rY2McDe0tAF-f3RG4MMwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B9.52.04%2BAM.jpeg)
NAIBU Katibu mkuu wa TAMIS Katibu Mkuu anayeshughulika Elimu OR-TAMISEMI Gerald Mweli amehoji kushuka kwa kiwango cha ufaulu kwa Mkoa wa Shinyanga Kitaifa kutoka nafasi ya 3 kwa mwaka 2018 hadi nafasi ya 13 kwa mwaka 2019.
Akizungumza katika ziara yake ya kikazi Mkoani humo amesema haiwezekani kwa kipindi cha mwaka mmoja Mkoa huo kuporomoka kitaaluma kwa kiwango hicho ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AA-768x529.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA, SULEIMAN MZEE AWAFUNDA WAKUU WA MAGEREZA ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI KUHAKIKISHA WANASIMAMIA AGENDA YA MABADILIKO NDANI YA JESHI LA MAGEREZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AA-768x529.jpg)
Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akitoa maelekezo maalum leo Mei 04, 2020 katika kikao kazi cha Maafisa wa Jeshi la Magereza walioteuliwa hivi karibuni kushika nyadhifa mbalimbali katika Jeshi hilo wakiwemo wakuu wa magereza, Boharia Mkuu wa Jeshi ambapo Jenerali Mzee amewataka kuhakikisha kuwa wanasimamia ipasavyo Agenda ya mabadiliko ndani ya Jeshi la Magereza.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2AA-1024x506.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Hi7VnOYfhLM/VbufJouVf8I/AAAAAAAHs9U/eD4dYREAHts/s72-c/unnamed.jpg)
TANZIA- MKUU WA MAGEREZA MKOA WA SHINYANGA AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hi7VnOYfhLM/VbufJouVf8I/AAAAAAAHs9U/eD4dYREAHts/s640/unnamed.jpg)
Marehemu SACP Aneth Laurent enzi za uhai wake
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, John Casmir Minja anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkuu wa Magereza Mkoa wa Shinyanga, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza - SACP Aneth Laurent kilichotokea jana Julai 30, 2015 katika Hospitali ya Rufaa Bugando Jijini Mwanza.Kamishna Jenerali wa Magereza anatoa pole kwa Watumishi wote wa Jeshi la Magereza nchini, familia na wale wote...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BYFBgNpMDMRH2pmgx1vp7dPDREsZkAwZsqhLAGM5-khdDP5dQBTAJp9F0Q6VRdzaFum1XUS0-LFzkJpYUp9-Zasd*pBGpvBO/240.jpg)
MAZISHI YA KAMISHNA MKUU MSTAAFU WA JESHI LA MAGEREZA YAFANYIKA MOSHI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-x0JlKu4BoJs/VW780jOMlTI/AAAAAAAHbtM/bpp2BxrInGA/s72-c/unnamed4.jpg)
WASIFU WA MAREHEMU KAMISHNA MKUU MSTAAFU WA JESHI LA MAGEREZA - ONEL E. MALISA
![](http://3.bp.blogspot.com/-x0JlKu4BoJs/VW780jOMlTI/AAAAAAAHbtM/bpp2BxrInGA/s400/unnamed4.jpg)
10 years ago
Vijimambo04 Jun
WASIFU WA KAMISHNA MKUU MSTAAFU WA JESHI LA MAGEREZA, MAREHEMU ONEL ELIAS MALISA