Ni muda wa kuwahoji wagombea
Kila unapofanyika Uchaguzi Mkuu nchini idadi kubwa ya wabunge huwa hawarudi bungeni, kwa maana ya kushindwa kwa kura katika uchaguzi huo, ama kutopitishwa na vyama vyao kugombea tena nafasi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
NI ZAMU YETU KUWAHOJI WAGOMBEA
10 years ago
StarTV23 Oct
Kuelekea uchaguzi mkuu Wananchi watakiwa kuwahoji wagombea Wao
Zikiwa zimesalia siku chache kupiga kura, watanzania wamekumbushwa kuendelea kuwahoji wagombea katika dakika hizi za lala salama ili waweze kumbaini mgombea mwenyenia ya kuleta maendeleo ya kweli.
Kitendo cha kuwahoji wagombea bila kujali itikadi ya vyama vyao kinatoa fursa kwa wananchi kumtambua kila mgombea katika kuchochea mabadiliko.
Ni katika mdahalo ulioandaliwa na taasisi ya Wazo huru ukiwakutanisha wabunge wa jimbo la Nyamagana lengo likiwa ni kushindanisha sera za vyama...
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Malecela: Msipoteze muda kuwashabikia wagombea
10 years ago
StarTV25 Sep
Mdahalo wa wagombea Ukawa wadai hawana muda kwa sasa
Umoja wa Vyama vinavyounda Ukawa umesema kwa sasa haupo tayari kushiriki midahalo inayoandaliwa na Taasisi za Kijamii kwa wakati ni huu na kupinga kauli iliyotolewa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania, Kajubi Mukajanga kuwa amewapa mwaliko si kweli.
Ukawa wamesema, si kweli kwamba wamepata mwaliko kutoka MCT na kudai kuwa kauli ya kiongozi huyo wa chombo kinachoheshimika ni ya upotosha.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Mwenyekiti mweza wa Umoja wa Ukawa,...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Wakimaliza kuwahoji mawaziri, wamrudie aliyewateua
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Mshtakiwa ahoji mkuu wa magereza kuwahoji
11 years ago
Habarileo04 Jan
CCM kuwahoji wanachama wanaotangaza nia kiaina
KUTOKANA na kushamiri kwa kile kinachoonekana kampeni za chini kwa chini kuelekea katika chaguzi zijazo nchini, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinatarajia kuwaita na kuwahoji baadhi ya wanachama wake wanaokiuka kanuni na maadili ya chama hicho kwa kuanza kampeni kabla ya muda unaoruhusiwa.
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Ni hatari kuacha CC ya chama kuwahoji na kuwapima mawaziri
KUNA jambo la hatari limetokea nchini, ambalo tumelikubali na kuona kuwa ni halali. Jambo hili litakuwa na matokeo na yawezekana tayari limekuwa na matokeo katika utendaji kazi wa serikali pale...
11 years ago
Michuzi.jpg)
KAMATI YA KUWAHOJI WAOMBA HIFADHI (NEC) YAANZA KAZI KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU, KIGOMA
.jpg)