Malecela: Msipoteze muda kuwashabikia wagombea
Waziri Mkuu mstaafu John Malecela, amesema kushabikia wanasiasa wanaojipitisha na kutangaza nia ya kutaka kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kabla ya wakati, ni sawa na kupoteza muda, kwani nchi bado in mambo mengi ya maendeleo yanayopaswa kufanywa, kabla ya uchaguzi mkuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Apr
CCM msipoteze muda, ramli inaonyesha serikali 3
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Ni muda wa kuwahoji wagombea
9 years ago
StarTV25 Sep
Mdahalo wa wagombea Ukawa wadai hawana muda kwa sasa
Umoja wa Vyama vinavyounda Ukawa umesema kwa sasa haupo tayari kushiriki midahalo inayoandaliwa na Taasisi za Kijamii kwa wakati ni huu na kupinga kauli iliyotolewa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania, Kajubi Mukajanga kuwa amewapa mwaliko si kweli.
Ukawa wamesema, si kweli kwamba wamepata mwaliko kutoka MCT na kudai kuwa kauli ya kiongozi huyo wa chombo kinachoheshimika ni ya upotosha.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Mwenyekiti mweza wa Umoja wa Ukawa,...
11 years ago
IPPmedia02 Apr
Anne Kilango Malecela
IPPmedia
IPPmedia
The twelve committees of the Constituent Assembly yesterday started work on Chapter One and Six of the draft constitution behind closed doors and tight security. The two chapters of the draft covers the Union issue which has already divided the members in ...
Debates on 2nd Katiba draft 'go on smoothly'Daily News
all 3
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Malecela ‘amchapa’ Lowassa
MALUMBANO na vijembe vinavyotokana na ‘figisufigisu’ za urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), sasa yameingia katika hatua mpya baada ya mkongwe wa siasa nchini, John Malecela, kumtolea uvivu Mbunge...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJOBA6A33LRnghk4v8Hn6NWv9Woil95avHuY-9LGbOgKNw3Z-yoODWrVytiyXqEHsHnXv-*W1XNM52ORWYP2PnIw/gari.jpg)
GARI LA MTOTO WA MALECELA LAKAMATWA
10 years ago
TheCitizen08 Jun
Malecela seeks CCM nomination
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Malecela asuluhisha mgogoro wa Sudan Kusini
10 years ago
Habarileo08 Jun
Dk Mwele Malecela ajitosa urais CCM
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk Mwele Malecela mtoto wa Makamu wa zamani wa CCM John Malecela ni miongoni mwa wana CCM ambao wamejitosa kugombea urais kupitia CCM.