Ebola:Marekani kuwapima abiria wa nje
Sheria mpya za Marekani kuanza kutumika katika viwanja vyake vya ndege ili kudhibiti maambukizi ya Ebola
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKatibu Mkuu wa Mambo ya Nje azungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani
10 years ago
BBCSwahili20 Aug
Ebola:amri ya kutotoka nje Liberia
10 years ago
MichuziUJUMBE WA MAREKANI WATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NJE
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Ebola:Amri ya kutotoka nje kwa siku 3 S.Leone
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Wafanyabiashara kuwapima wagombea
10 years ago
Habarileo02 Oct
Ebola waingia Marekani
MGONJWA wa kwanza wa virusi hatari vya ebola ambaye pia ni wa kwanza nje ya bara la Afrika, amegundulika nchini Marekani katika mji wa Dallas, Texas. Maofisa katika Kituo cha Afya cha Texas katika Hospitali ya Presbyterian wamesema mgonjwa huyo mwanamume ambaye hakutajwa jina lake, ametengwa katika hospitali hiyo.
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Ebola yatua Marekani
10 years ago
StarTV13 Oct
Mwingine apatikana na Ebola Marekani.
Mfanyikazi mwengine wa kituo cha afya aliyemtibu Thomas Dancun kabla ya kifo chake katika jimbo la Texas nchini Marekani amepatikana na virusi vya ugonjwa wa Ebola.
”Tulijua kuna uwezekano wa kisa cha pili kuripotiwa ,na tumejitayarisha kwa uwezekano huo”alisema Daktari David Lakey ambaye ni kamishna wa idara ya afya katika jimbo la Texas.
Marehemu Dancun ambaye aliambukizwa ugonjwa huo nchini Liberia ,alifariki katika hospitali ya Dallas siku ya jumatano.
Hatahivyo jina la muhudumu...
10 years ago
Vijimambo09 Oct
MGONJWA WA EBOLA MAREKANI AFARIKI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/590/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/08/141008162619_mgonjwa_us_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Thomas Eric Duncan aliyeambukizwa ugonjwa wa Ebola huko nchini Liberia ,alikuwa amewekwa katika karantini katika hospitali moja ya mjini Dallas ili kupewa dawa za majaribio.
Awali ,Marekani ilitangaza masharti mapya ya usalama katika viingilio vyote vya taifa hilo ili kuwakagua wasafiri walio na dalili za ugonjwa huo.
Zaidi ya watu 3000 wamefariki na wengine...