Chalenji bado yaitesa Cecafa
Mashindano ya Chalenji yanalitesa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) wakiwaza nini cha kufanya baada ya kukosekana kwa mdhamini wa mashindano hayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Jeuri ya Yanga yaitesa Cecafa
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Niliyojionea Cecafa Chalenji 2013
MICHUANO ya soka kwa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) maarufu kama Cecafa Chalenji Cup iliyoanza Novemba 27 hadi Desemba 12, mwaka huu, ikishirikisha jumla ya timu...
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Cecafa yahaha kuiokoa Chalenji
10 years ago
TheCitizen20 Aug
CECAFA: Azam FC eye Cecafa Cup semis
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Cecafa yatangaza ratiba ya Cecafa Senior Challenge Cup, Tanzania uso kwa uso na Somalia!
Na Rabi Hume
Shirikisho la soka Afrika Mashariki (CECAFA), limetoa ratiba ya mashindano ya Cecafa Senior Challenge Cup yanayotarajiwa kuanza kutimua Novemba 21 nchini Ethiopia.
Mashindano ya mwaka huu yamejumuisha nchi 11 wakiwa wenyeji na moja ikiwa kama mgeni mwalikwa ambayo ni nchi ya Malawi ambayo imeingia katika kundi C ikiwa na nchi zingine za Sudan na Sudan Kusini.
Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza kuchezwa tarehe 21 mwezi huu ambapo mchezo wa ufunguzi utakuwa kati ya;
11 years ago
Tanzania Daima04 Jul
UDA yaitesa Sumatra
MAMLAKA ya Usafirishaji Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imesema Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kipindi hiki linawapa wakati mgumu kutokana na kushindwa kutii taratibu zilizowekwa barabarani. Akizungumza na...
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Mkwakwani yaitesa Simba
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Mambo matatu yaitesa CCM
MBIO za kusaka urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), na uteuzi wa nafasi nne za mawaziri, vinaelezwa kukibomoa chama hicho, Tanzania Daima limedokezwa. Mbali na mambo hayo, mchakato...
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Taifa Stars yaitesa Algeria
ABDUCADO EMMANUEL NA THERESIA GASPER
WAKATI timu ya Taifa ya Tanzania ikitarajia kurudiana na Algeria ‘The Desert Foxes’ kwenye Uwanja wa Mustapha Tchaker jijini Blida leo saa 3:15 usiku, Taifa Stars imeonekana kuwatesa wapinzani hao kuelekea mchezo huo wa raundi ya pili kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.
Kiwango kikubwa walichokionyesha Stars kwenye mchezo wa kwanza uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2, bado kimezidi kuwavuruga Algeria ambao hadi sasa hawaamini kama...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10