Chan kumlipa mgunduzi wa kinga ya corona wakati Idadi ya vifo ikifikia 1000
Wakati China ikiendelea kupambana ili kutokomeza ugonjwa wa corona mwigizaji maarufu duniani anaahidi kutoa fedha kwa watakao fanikisha kupatikana kwa kinga ya ugojwa huo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Mombasa yaandikisha wagonjwa wapya 19 huku idadi ikifikia 465 Kenya
Kenya imethibitisha wagonjwa 30 wapya hatua inayoongeza idadi ya visa vya ugonjwa huo nchini humo kufikia 465 kulingana na katibu wa kudumu katika wizara ya afya nchini humo.
5 years ago
BBCSwahili20 May
Idadi ya watu waliopatwa ca corona yazidi 1000 Kenya
Idadi ya watu waliopatwa ca corona yazidi 1000 Kenya, baada ya visa 66 kupatikana katika kipindi cha saa 24 zilizopita
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Watanzania 2 wazuiwa kuingia nchini Kenya huku idadi ya wagonjwa Kenya ikifikia 715
Raia wawili wa Tanzania wamezuiwa kuingia nchini Kenya katika mpaka wa Isibania baada ya kukutwa na virusi vya corona, kulingana na wizara ya afya nchini humo.
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vy corona: Idadi ya vifo yafikia 100,276 Marekani
Trump alikuwa amesema kwamba virusi hivyo ni homa ya kawaida na kwamba ingeisha ifikiapo mwezi Aprili.
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yaipiku Italia kwa idadi ya vifo duniani
Watu zaidi ya 20,000 wameshakufa Marekani huku maambukizi yakipita zaidi watu nusu milioni.
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Nchi za Muungano wa Ulaya zarekodi idadi ya juu ya vifo vinavyotokana na virusi vya corona
Idadi ya vifo vilivyotokana na maambukizi ya virusi vya Corona imeongezeka katika nchi za Italia, Uhispania na Ufaransa.
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya corona: Baadhi ya majimbo yaanza kufunguliwa licha ya idadi ya vifo kuwa zaidi ya 50,000 Marekani
Majimbo matatu nchini Marekani yameruhusu baadhi ya maduka kufunguliwa tena baada ya hatua zilizowekwa za kukabiliana na kusambaa kwa virusi vya corona, huku idadi ya vifo nchini humo ikizidi watu 51,000.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NvrXwR0-KmU/XrFYvmTrqGI/AAAAAAALpNc/8riy89xu58A0JXfWxWPbOKS8bVdBmXAcwCLcBGAsYHQ/s72-c/1567a6b1-59ad-4277-a474-44117aa34c8e.jpg)
VIFO VYA WATOTO WACHANGA VIMEPUNGUA KUTOKA 25 KWA KILA VIZAZI HAI 1000 HADI SABA KWA KILA VIZAZI HAI 1000
Na WAMJW – Dar es Salaam
05/05/2020 Vifo vya watoto wachanga wenye umri wa chini ya siku 28 vimepungua kutoka 25 kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwaka 2015/16 na kufikia saba kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwezi Machi mwaka huu.
Hayo yamesemwa leo jijini jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa vifaa kinga, mabango,vipeperushi na vifaa vya kutoa elimu kwa Umma kuhusu ugonjwa wa Corona kutoka kwa Benki ya Absa...
5 years ago
BBCSwahili07 May
Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?
Hadi kufikia sasa Uingereza inaongoza kwa idadi ya walioambukizwa virusi vya corona Ulaya na kote duniani kulingana na takwimu rasmi. Kipi kilichokoseka?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania