Idadi ya watu waliopatwa ca corona yazidi 1000 Kenya
Idadi ya watu waliopatwa ca corona yazidi 1000 Kenya, baada ya visa 66 kupatikana katika kipindi cha saa 24 zilizopita
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili19 Apr
Virusi vya corona: Watu wanane wathibitishwa kuambukizwa Kenya, idadi yafikia 270
Watu wanane wathibitishwa kuambukizwa Kenya, wawili wapoteza maisha.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Chan kumlipa mgunduzi wa kinga ya corona wakati Idadi ya vifo ikifikia 1000
Wakati China ikiendelea kupambana ili kutokomeza ugonjwa wa corona mwigizaji maarufu duniani anaahidi kutoa fedha kwa watakao fanikisha kupatikana kwa kinga ya ugojwa huo.
5 years ago
CCM BlogIDADI YA WAGONJWA WA CORONA YAZIDI KUPUNGUA NCHINI, YASISITIZWA TAHADHARI IENDELEE KUCHUKULIWA
DODOMA, Tanzania
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema idadi ya wagonjwa wa Corona imeendelea kupungua huku baadhi ya vituo vikiwa havina wagonjwa na kwamba kwa mujibu wa takwimu za leo asubuhi Dar es Salaam kuna wagonjwa 11, Kibaha 16 na Dodoma kituo cha Mkonze wagonjwa ni watatu.
Akizungumza mara baada ya sala ya Idd El Fitr katika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MBWepqRiGa0/VT43vjPY-JI/AAAAAAAHTjo/bmg0KKHRxLo/s72-c/1.jpg)
IDADI YA WATU WALIOFARIKI DUNIA KWENYE TETEMEKO LA ARDHI NEPAL YAZIDI KUONGEZEKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-MBWepqRiGa0/VT43vjPY-JI/AAAAAAAHTjo/bmg0KKHRxLo/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BWqcKpOZBz4/VT43wEsk7OI/AAAAAAAHTjw/-GGFjblnPFE/s1600/2.jpg)
katika tetemeko la ardhi mjini Kathmand nchini Nepal.Kwa msaada wa mtandaoMAMLAKA ya nchini Nepal imesema kuwa zaidi ya watu 3300 wamesemekana kufairki dunia kutokana na Tetemeko kubwa la ardhi lililotokea jumamosi katika mji wa Kathmandu nchini humo.Waokoaji wanchi hiyo wamesema wanaendelea kuchunguza...
5 years ago
BBCSwahili17 May
Virusi vya corona: Idadi ya Wagonjwa wa corona kenya yafikia 887
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi kufikia 887 baada ya wagonjwa wengine 57 kukutwa na virusi hivyo katika kipindi cha saa 24.
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa wa corona Kenya yafika 281
Idadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi 281 baada ya visa vingine 11 kuthibitishwa Jumatatu.
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya Corona: Idadi ya waliopona corona Kenya yafikia 553
Wagonjwa 54 wa virusi vya corona wamethibitishwa kupona nchini Kenya , ikiwa ndio idadi kubwa zaidi kutangazwa kwa siku
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa wa corona Kenya yaongezeka hadi kufikia 2767
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi 2,767 baada ya wagonjwa wengine 167 kupatikana na virusi hivyo kutoka sampuli 2,833 zilizofanyiwa vipimo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RuhPWTGhGn8/XnRrmMbq5yI/AAAAAAALkf8/8_ZcHViZYeADyNorsg1cnvj671Ia70acQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv774f5f6ad141mcly_800C450.jpg)
Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na COVID-19 nchini Italia yazidi ile ya China
![](https://1.bp.blogspot.com/-RuhPWTGhGn8/XnRrmMbq5yI/AAAAAAALkf8/8_ZcHViZYeADyNorsg1cnvj671Ia70acQCLcBGAsYHQ/s640/4bv774f5f6ad141mcly_800C450.jpg)
Taarifa iliyotolewa na serikali ya Italia imesema kuwa kesi nyingine mpya za maambukizi ya watu 5322 pia zilisajiliwa katika masaa 24 yaliyopita nchini humo na kuongeza kuwa, hadi kufikia jana jioni watu 41,035 walikuwa wameambukizwa virusi vya corona.
Takwimu hizo za kufariki dunia watu 3,405 nchini Italia kutokana na virusi vya corona zinaonyesha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania