Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chato Residents Salute Magufuli


IPPmedia
Chato Residents Salute Magufuli
AllAfrica.com
Chato — Chato residents are warmly waiting for the arrival of their Member of Parliament, Dr John Magufuli, as legislators from the opposition parties vow to vote for him as the country's fifth president come October 25, this year. A random survey by ...
Tanzania's ruling party picks presidential candidate. Picture: AFPThe New Age Online
10 Things About Tanzania's Ruling Party Presidential Nominee John MagufuliAFKInsider
Development advocacy...

AllAfrica.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MAGUFULI AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMI YA KIDATO CHA SITA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA CHATO, AAHIDI MAJENGO YA KAMBI YA MKANDARASI KUWA MALI YA SHULE YA MAGUFULI

 Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chato Mkoani Geita, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapongeza wanafunzi wa kidato cha Sita katika Shule ya Sekondari ya Chato wanaotarajiwa kuhitimu masomo yao mwezi ujao. Wanafunzi wa kidato cha Sita katika Shule ya Sekondari ya Chato Mkoani Geita wanaotarajiwa kuhitimu masomo yao mwezi ujao wakiimba wimbo maalum wa Shule hiyo katika Mahafali ya 10 shuleni hapo.

 Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chato Mheshimiwa Dkt....

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI AWASILI CHATO

Rais John  Magufuli akiwasili katika Uwanja wa Ndege Chato Mkoa wa Geita leo Jumamosi akitokea jijini Dodoma.





 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

GPL

MAGUFULI AFUNIKA CHATO LEO

 Maelfu wa wakazi wa Chato wakisikiliza kwa makini sera za Mgombea Urais kupitia CCM, John Magufuli. Wakazi wa Chato wakionesha mabango yao mbalimbali. Nyomi ya wanachama wa CCM kama inavyoonekana…

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa aiteka ngome ya Magufuli Chato

Mgombea wa urais wa Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa leo ameingia Wilaya ya Chato ambapo akiwa katika mkutano wa kampeni, Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilayani humo ame mponda Dk Magufuli kwa kushindwa kutetea maslahi ya walimu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Dk. Magufuli apiga kura jimboni kwake Chato

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli akipiga kura yake jimboni kwake Chato mapema leo asubuhi Oktoba 25, 2015.(PICHA NA MWANDISHI WETU).

1610819_10153509358794504_7893761609942307368_n

 

11 years ago

Michuzi

MH. MAGUFULI AENDELEA NA ZIARA JIMBONI KWAKE CHATO

Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Chato, Mhe. Dk. John Magufuli akihutubia wanachi wa kijiji cha Nyisanzi kata ya Kigongo. Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato akielezea namna Halamshauri inavyojitahidi kuboresha huduma mbalimbali kwa wananchi wa kata ya Nyarutembo. kikundi cha Burudani kutoka kata ya Nyarutembo kikitumbuiza wakati Mbunge wa Jimbo la Chato alipotembelea eneo hilo. wananchi wa kitongoji cha Nyabirere kata ya Muganza wakiwa wamezuia msafara wa Mhe. Dk....

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Magufuli akutana na Watendaji wa CCM jimbo la Chato

Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Chato,Mh. John Pombe Magufuli (aliesimama) akizungumza na Watendaji mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliochaguliwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hivi karibuni kwenye Jimbo hilo,wakati alipokutana nao kwa lengo la kuwapongeza kwa kuaminiwa na kuchaliwa na wananchi. Sehemu ya Watendaji mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Chato waliochaguliwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hivi karibuni,wakimsikiliza Mh. Magufuli...

 

9 years ago

CCM Blog

MAGUFULI APIGA KURA JIMBONI KWAKE CHATO

 Mgombea Urais kwa kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akipiga kura kwenye kituo namba moja kilichopo shule ya msingi Magufuli iliyopo Chato, mkoani Geita.
Dk. Magufuli alipiga kura yake asubuhi ya saa 4 na dakika 32.
 Mgombea Urais kwa kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akijitayarisha kuweka kura yake kwenye sanduku la kura .
 Mgombea Urais kwa kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiweka kura yake ya kwanza ya urais kwenye sanduku la kura.
 Mgombea Urais kwa kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani