CHATO WAASWA KUJITOKEZA KUWAPELEKA WATOTO KUPATA CHANJO
![](http://1.bp.blogspot.com/-pZiQw0XYfoo/U2erudqMgEI/AAAAAAAFfu4/OshSn8oIrGE/s72-c/unnamed+(94).jpg)
Jamii wilayani Chato imeaswa kutambua umuhimu na kuwapeleka watoto kupata chanjo kwenye hospitali, Vituo vya Afya na Zahanati kwa muda muafaka. Wito huo umetolewa hivi karibuni na Mwenyekiti wa bodi ya Afya Wilayani Chato Bw. Edward Buhile ambaye alikuwa mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa wiki ya Chanjo iliyofanyika hivi karibuni katika hospitali ya Wilaya ya Chato. Bw. Buhile amesema kumekuwa na tabia ya wazazi kutokuwapeleka watoto kupata chanjo kitendo ambacho si kizuri kwani chanjo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Wagoma kuwapeleka watoto kupata chanjo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WOlvU2ZcCbA/VDfruFJNTzI/AAAAAAACsmU/3nzqVdZXdaE/s72-c/unnamed.jpg)
WAKAZI DAR WAASWA KUJITOKEZA KWENYE CHANJO YA MATENDE NA SURUA-RUBELLA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-WOlvU2ZcCbA/VDfruFJNTzI/AAAAAAACsmU/3nzqVdZXdaE/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BOJzNUWkLMM/VDfruXkRa0I/AAAAAAACsmY/mTSHgZ1Iirw/s1600/unnamed.jpgh.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
Wakazi Dar waaswa kujitokeza kwenye chanjo ya Matende na Surua-Rubella
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam kuhusu zoezi la utoaji wa chanjo ya Matende , Mabusha, dawa za Minyoo, matone ya Vitamini A, na Surua – Rubella, litakalofanyika katika mikoa yote ya Tanzania kuanzia Oktoba 18 hadi 24, 2014.
Kaimu Mgaga Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Dkt. Hawa Kawawa akisisitiza umuhimu wa chanjo ya Surua –Rubella itakayotolewa wakati wa zoezi la chanjo Oktoba 18 hadi 24 na umuhimu wake...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R2fFmfOR9tE/VnE4vy5s99I/AAAAAAAIMss/4PCgOfVXrGU/s72-c/ummy-mwalimu-oct25-2013.jpg)
WAZAZI WAMETAKIWA KUWAPELEKA WATOTO KUPATA MATONE YA VITAMIN 'A'
![](http://4.bp.blogspot.com/-R2fFmfOR9tE/VnE4vy5s99I/AAAAAAAIMss/4PCgOfVXrGU/s320/ummy-mwalimu-oct25-2013.jpg)
Na Chalilla Kibuda,Globu ya JamiiWAZAZI na walezi nchini wametakiwa kuwapeleka
watoto wao kwenye vituo vya afya ili wakapate matone
ya vitamini A na dawa za minyoo ili kujikinga na maradhi mbalimbali yatokanayo na kukosekana kwa vitamini 'A'.
Wito huo umetolewa Dar es Salaam na Mtaalamu wa
Chakula na Lishe kutoka Taasisi ya Chakula na LisheTanzania (TFNC), Francis Modaha, wakati alipokuwa
akizungumza na waandishi habari kuhusu uhamasishaji wa utoaji wa matone ya vitamini A na dawa za...
9 years ago
MichuziWATANZANIA WAASWA KUWAPELEKA WATOTO WAO KATIKA SHULE YA SEKONDARI IMPERIAL ILIYOPO CHALIZE MSOLWA MKOANI PWANI
9 years ago
VijimamboWATANZANIA WAASWA KUWAPELEKA WATOTO WAO KATIKA SHULE YA SEKONDARI IMPERIAL ILIYOPO CHALINZE MSOLWA, MKOANI PWANI
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Watoto 5,000 kupata chanjo Arusha
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu
JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10