Chawata: Hatupo tayari kurubuniwa na wanasiasa
WATU wenye ulemavu wamesema kuwa hawapo tayari kushawishiwa na kutumiwa na wanasiasa katika suala la upigaji wa kura ya maoni bali watahakikisha wanasoma na kuelewa Katiba inayopendekezwa. Akizungumza jana jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania11 Feb
Mwakyembe: Hatupo tayari kuburuzwa na Kenya
Veronica Romwald na Shamimu Mattaka, Dar es Salaam
SERIKALI ya Tanzania imesema haipo tayari kuburuzwa na Serikali ya Kenya kurekebisha mkataba wa mwaka 1985 unaotoa mwongozo wa ushirikiano katika sekta ya utalii kwa nchi hizo.
Kauli hiyo imekuja baada ya Kenya kuzuia magari ya kitalii yenye usajili wa Tanzania kuchukua na kushusha watalii katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyata (JKIA).
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika...
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
‪Alipo hatupo, tulipo hayupo
Wao wana haki ya kumtaka Lowassa kama Rais wa Tanzania; na sisi tuna haki ya kumkataa Lowassa kam
Mwandishi Wetu
11 years ago
Habarileo17 May
Waandishi msikubali kurubuniwa- Spika
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amewataka waandishi wa habari nchini, wasikubali kurubuniwa na kutumiwa vibaya na wanasiasa kwa ajili ya kutimiza matakwa yao wakati wanapotekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria.
10 years ago
Habarileo27 Nov
‘Acheni kurubuniwa na wanaopinga Katiba Pendekezwa’
WANANCHI wa Zanzibar wametakiwa kutokubali kurubuniwa na watu wanaojidai kutetea maslahi ya Zanzibar kwa kupinga Katiba Inayopendekezwa na kubainisha kuwa lengo la watu hao ni kurudisha nyuma maendeleo ya Zanzibar.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4imASA5qxF0/VgWhZkh1nBI/AAAAAAAAFtk/mdNDpu4-Oc4/s72-c/DED%2B3.jpg)
WANAWAKE MSIKUBALI KURUBUNIWA KUUZA SHAHADA ZA KUPIGIAKURA
![](http://4.bp.blogspot.com/-4imASA5qxF0/VgWhZkh1nBI/AAAAAAAAFtk/mdNDpu4-Oc4/s640/DED%2B3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FwwCcj6hNUo/VgWhaUFUpbI/AAAAAAAAFts/_HA7IzSc9Tc/s640/group.jpg)
Alisema kuwa katika hiki cha kuelekea katika uchaguzi mkuu oktoba mwaka...