Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chawata: Hatupo tayari kurubuniwa na wanasiasa

WATU wenye ulemavu wamesema kuwa hawapo tayari kushawishiwa na kutumiwa na wanasiasa katika suala la upigaji wa kura ya maoni bali watahakikisha wanasoma na kuelewa Katiba inayopendekezwa. Akizungumza jana jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mwakyembe: Hatupo tayari kuburuzwa na Kenya

Dr-Harrison-MwakyembeVeronica Romwald na Shamimu Mattaka, Dar es Salaam
SERIKALI ya Tanzania imesema haipo tayari kuburuzwa na Serikali ya Kenya kurekebisha mkataba wa mwaka 1985 unaotoa mwongozo wa ushirikiano katika sekta ya utalii kwa nchi hizo.
Kauli hiyo imekuja baada ya Kenya kuzuia magari ya kitalii yenye usajili wa Tanzania kuchukua na kushusha watalii katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyata (JKIA).
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika...

 

9 years ago

Raia Mwema

‪Alipo hatupo, tulipo hayupo

Wao wana haki ya kumtaka Lowassa kama Rais wa Tanzania; na sisi tuna haki ya kumkataa Lowassa kam

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Habarileo

Waandishi msikubali kurubuniwa- Spika

Pandu Ameir KifichoSPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amewataka waandishi wa habari nchini, wasikubali kurubuniwa na kutumiwa vibaya na wanasiasa kwa ajili ya kutimiza matakwa yao wakati wanapotekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria.

 

10 years ago

Habarileo

‘Acheni kurubuniwa na wanaopinga Katiba Pendekezwa’

WANANCHI wa Zanzibar wametakiwa kutokubali kurubuniwa na watu wanaojidai kutetea maslahi ya Zanzibar kwa kupinga Katiba Inayopendekezwa na kubainisha kuwa lengo la watu hao ni kurudisha nyuma maendeleo ya Zanzibar.

 

9 years ago

Vijimambo

WANAWAKE MSIKUBALI KURUBUNIWA KUUZA SHAHADA ZA KUPIGIAKURA

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi (DED), Saada Malunde akizungumza na wanawake kuhusu kudhibiti shahada zao za kupigiakura na wasikubali kurubuniwa kuuza shahada hizo.ZIKIWAZIMEBAKIA siku chache kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi (DED), Saada Malunde amewataka wanawake kudhibiti shahada zao za kupigiakura na wasikubali kurubuniwa kuuza shahada hizo.
Alisema kuwa katika hiki cha kuelekea katika uchaguzi mkuu oktoba mwaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani