‪Alipo hatupo, tulipo hayupo
Wao wana haki ya kumtaka Lowassa kama Rais wa Tanzania; na sisi tuna haki ya kumkataa Lowassa kam
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Miaka 53 Uhuru: Hatustahili kuwa hapa tulipo
10 years ago
Mtanzania11 Feb
Mwakyembe: Hatupo tayari kuburuzwa na Kenya
Veronica Romwald na Shamimu Mattaka, Dar es Salaam
SERIKALI ya Tanzania imesema haipo tayari kuburuzwa na Serikali ya Kenya kurekebisha mkataba wa mwaka 1985 unaotoa mwongozo wa ushirikiano katika sekta ya utalii kwa nchi hizo.
Kauli hiyo imekuja baada ya Kenya kuzuia magari ya kitalii yenye usajili wa Tanzania kuchukua na kushusha watalii katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyata (JKIA).
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika...
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
Chawata: Hatupo tayari kurubuniwa na wanasiasa
WATU wenye ulemavu wamesema kuwa hawapo tayari kushawishiwa na kutumiwa na wanasiasa katika suala la upigaji wa kura ya maoni bali watahakikisha wanasoma na kuelewa Katiba inayopendekezwa. Akizungumza jana jijini...
9 years ago
Bongo528 Dec
Mona Gangster: Young Killer bado hayupo pabaya kimuziki
![Mona](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Mona-300x194.jpg)
Meneja na producer wa zamani wa Young Killer, Mona Gangster amesema bado anaona rapa huyo ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri licha kuonekana anasuasua.
Mona amekiambia kipindi cha Friday Night Live kinachoruka EATV kuwa, Young Killer ni msanii mzuri lakini anachotakiwa ni kuongeza juhudi katika kazi zake.
“Kumwongelea future yake sitaweza kwa sababu yeye ni binadamu ni msanii mkali na anafanya vizuri lakini kitu ambacho ninaweza kukiongea ni yeye akaze tu na aendelee kufanya vizuri lakini...
10 years ago
Vijimambo09 Dec
DIAMOND ALIPO-MINGLE DMV
![IMG_6777](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_6777.jpg?w=714)
![IMG_6781](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_67811.jpg?w=714)
![IMG_6786](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_6786.jpg?w=714)
![IMG_6792](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_6792.jpg?w=714)
![IMG_6788](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_6788.jpg?w=714)
10 years ago
BBCSwahili15 May
Wafanya mzaha kuhusu alipo Nkurunziza
10 years ago
CloudsFM30 Jun
Sugu Amedanganya Bunge Kuhusu Matunzo ya Mtoto...Adai Hayupo Tayari Kuyamaliza Kifamilia: Faiza
Mzazi mwenza wa Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) Joseph Mbilinyi, Faiza Ally jana amesema 'Sugu' alidanganya Bunge alipodai hutoa sh.500,000 kila mwezi za matunzo ya mtoto.
Na ingawa Sugu alidai bungeni pia kuwa hulipa ada ya sh. milioni tatu kwa mwaka kwa ajili ya elimu ya mtoto huyo, Faiza amedai ni kwa nusu ya pili tu ya kipindi cha miaka miwili ambayo amekuwa akisoma.
Aidha, mwanamitindo Faiza amesema hayupo tayari kumaliza kifamilia mvutano wa malezi ya mtoto na 'Sugu', kama Mbunge huyo...
11 years ago
Mwananchi29 Apr
TEKNOLOJIA: Simu za mkononi zinavyoweza kufahamisha mahala alipo mtumiaji
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
MAKALA: Unamkumbuka Nyamayao? Basi fahamu alipo siku hizi na shughuli anazofanya
Ni yule staa wa kundi la Kaole Sanaa Group, anakiri kwamba shule, familia vilimweka mbali na sanaa ya maigizo.
Dar es Salaam. Kama ulibahatika kutazama tamthilia miaka ya 1990 - 2003, basi jina la Nyamayao na Kibakuli siyo geni masikioni mwako na hata sura zao.
Watoto hawa wawili walikuwa wanaunda familia ya Mhogo Mchungu. Ni familia iliyokuwa na visa vingi hasa baada ya Mhogo Mchungu kutaka kumuoza Nyamayao ilhali alikuwa bado kigori. Hadithi hii ninaikumbuka pindi ninapokutana ana kwa...