Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‪Alipo hatupo, tulipo hayupo

Wao wana haki ya kumtaka Lowassa kama Rais wa Tanzania; na sisi tuna haki ya kumkataa Lowassa kam

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Miaka 53 Uhuru: Hatustahili kuwa hapa tulipo

Tanzania inaadhimisha miaka 53 ya Uhuru leo huku wananchi wa kada mbalimbali wakiielezea siku hii kuwa haina uhalisia wa maisha ya Watanzania.

 

10 years ago

Mtanzania

Mwakyembe: Hatupo tayari kuburuzwa na Kenya

Dr-Harrison-MwakyembeVeronica Romwald na Shamimu Mattaka, Dar es Salaam
SERIKALI ya Tanzania imesema haipo tayari kuburuzwa na Serikali ya Kenya kurekebisha mkataba wa mwaka 1985 unaotoa mwongozo wa ushirikiano katika sekta ya utalii kwa nchi hizo.
Kauli hiyo imekuja baada ya Kenya kuzuia magari ya kitalii yenye usajili wa Tanzania kuchukua na kushusha watalii katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyata (JKIA).
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Chawata: Hatupo tayari kurubuniwa na wanasiasa

WATU wenye ulemavu wamesema kuwa hawapo tayari kushawishiwa na kutumiwa na wanasiasa katika suala la upigaji wa kura ya maoni bali watahakikisha wanasoma na kuelewa Katiba inayopendekezwa. Akizungumza jana jijini...

 

9 years ago

Bongo5

Mona Gangster: Young Killer bado hayupo pabaya kimuziki

Mona

Meneja na producer wa zamani wa Young Killer, Mona Gangster amesema bado anaona rapa huyo ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri licha kuonekana anasuasua.

Mona

Mona amekiambia kipindi cha Friday Night Live kinachoruka EATV kuwa, Young Killer ni msanii mzuri lakini anachotakiwa ni kuongeza juhudi katika kazi zake.

“Kumwongelea future yake sitaweza kwa sababu yeye ni binadamu ni msanii mkali na anafanya vizuri lakini kitu ambacho ninaweza kukiongea ni yeye akaze tu na aendelee kufanya vizuri lakini...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND ALIPO-MINGLE DMV

IMG_6777Diamond akiwa na mapromota wake na wacheza shoo wake hotelini kwake Sheraton Silver spring Md Jumapili Desemba 7,2014. IMG_6781Akiwa na Sunday Shomari. IMG_6786 Diamond na shabiki wake mkubwa Bi.Mariam. IMG_6792Akiwa na shabiki wake Arthur Gao. IMG_6788Akiwa na Sima.Kwa picha zaidi ungana na Sundayshomari.com

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanya mzaha kuhusu alipo Nkurunziza

Mamia ya Watu walidhihaki kwenye kurasa za mitandao ya kijamii kuhusu alipo Rais wa Burundi

 

10 years ago

CloudsFM

Sugu Amedanganya Bunge Kuhusu Matunzo ya Mtoto...Adai Hayupo Tayari Kuyamaliza Kifamilia: Faiza

Mzazi mwenza wa Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) Joseph Mbilinyi, Faiza Ally jana amesema 'Sugu' alidanganya Bunge alipodai hutoa sh.500,000 kila mwezi za matunzo ya mtoto.

Na ingawa Sugu alidai bungeni pia kuwa hulipa ada ya sh. milioni tatu kwa mwaka kwa ajili ya elimu ya mtoto huyo, Faiza amedai ni kwa nusu ya pili tu ya kipindi cha miaka miwili ambayo amekuwa akisoma.

Aidha, mwanamitindo Faiza amesema hayupo tayari kumaliza kifamilia mvutano wa malezi ya mtoto na 'Sugu', kama Mbunge huyo...

 

11 years ago

Mwananchi

TEKNOLOJIA: Simu za mkononi zinavyoweza kufahamisha mahala alipo mtumiaji

Tofauti na vifaa vya kiteknolojia kama vile kompyuta na tabiti (tablet), baadhi ya simu za kisasa zina uwezo wa kutoa taarifa za mahala mtu alipo au kilipo kitu fulani.

 

10 years ago

Bongo Movies

MAKALA: Unamkumbuka Nyamayao? Basi fahamu alipo siku hizi na shughuli anazofanya

Ni yule staa wa kundi la Kaole Sanaa Group, anakiri kwamba shule, familia vilimweka mbali na sanaa ya maigizo.

Dar es Salaam. Kama ulibahatika kutazama tamthilia miaka ya 1990 - 2003, basi jina la Nyamayao na Kibakuli siyo geni masikioni mwako na hata sura zao.

Watoto hawa wawili walikuwa wanaunda familia ya Mhogo Mchungu. Ni familia iliyokuwa na visa vingi hasa baada ya Mhogo Mchungu kutaka kumuoza Nyamayao ilhali alikuwa bado kigori. Hadithi hii ninaikumbuka pindi ninapokutana ana kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani