MAKALA: Unamkumbuka Nyamayao? Basi fahamu alipo siku hizi na shughuli anazofanya
Ni yule staa wa kundi la Kaole Sanaa Group, anakiri kwamba shule, familia vilimweka mbali na sanaa ya maigizo.
Dar es Salaam. Kama ulibahatika kutazama tamthilia miaka ya 1990 - 2003, basi jina la Nyamayao na Kibakuli siyo geni masikioni mwako na hata sura zao.
Watoto hawa wawili walikuwa wanaunda familia ya Mhogo Mchungu. Ni familia iliyokuwa na visa vingi hasa baada ya Mhogo Mchungu kutaka kumuoza Nyamayao ilhali alikuwa bado kigori. Hadithi hii ninaikumbuka pindi ninapokutana ana kwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Unamkumbuka Nyamayao?
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jKNlzv7p3YI/VOQ9mYJBI4I/AAAAAAAHEPg/qFMaNCWe8LQ/s72-c/1.jpg)
MAKALA SHERIA: JE UMECHOSHWA NA UNAHITAJI TALAKA? FUATA HATUA HIZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-jKNlzv7p3YI/VOQ9mYJBI4I/AAAAAAAHEPg/qFMaNCWe8LQ/s1600/1.jpg)
Kuomba talaka si dhambi. Kama lingekuwa dhambi sheria isingeruhusu jambo hilo kwakuwa si kawaida ya sheria kuhamasisha madhambi. Ni kwasababu hii nasema kuwa atakayeona amebanwa basi aombe talaka. Si kosa hata kidogo kufanya hivyo isipokuwa ndivyo tunavyoelekezwa na sheria zetu tunazozipenda na kuziheshimu sana.
1. KUVUNJIKA KWA NDOA.
Kuvunjika kwa ndoa kwa mujibu wa sheria zetu za Tanzania kuna mazingira mengi. Baadhi ya mazingira hayo ni yale yaliyoorodheshwa kifungu...
10 years ago
Mwananchi27 Dec
MAONI: Kashfa hizi kwa Serikali sasa basi
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jTyBDNq288o/VdyZTkaAo6I/AAAAAAAHz8I/J8nnsC97AtE/s72-c/00221917e13e0e8cb0b11c.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KWA MUJIBU WA SHERIA NDOA HIZI HAZIRUHUSIWI
![](http://3.bp.blogspot.com/-jTyBDNq288o/VdyZTkaAo6I/AAAAAAAHz8I/J8nnsC97AtE/s400/00221917e13e0e8cb0b11c.jpg)
Hapa kwetu Tanzania tunazo ndoa za aina kuu mbili. Kwanza tunazo ndoa za kiraia au kiserikali, na pili tunazo ndoa za kimila.
Ndoa za kiraia au za kiserikali kama zinavyojulikana kwa wengi ni zile ambazo hufungwa chini ya usimamizi wa mamlaka za serikali kama ofisi ya mkuu wa wilaya n.k. Na kwa upande wa ndoa za kimila hizi ni zile ambazo hufungwa kutokana na taratibu za watu wa kabila au koo fulani kwa mujibu...
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Fahamu chimbuko la siku ya Maruhani “Halloween”
9 years ago
BBCSwahili17 Oct
Lamar Odom apata fahamu siku 3 baadaye
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/N02dv62fD_c/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-UfKBFSkoNtk/VIHBQkKvwUI/AAAAAAAARiI/mD-gTDVGAGA/s72-c/INDEPENDENCE%2BBRAND%2BNEW.png)
DIAMOND UHURU PARTY WASHINGTON DC -KUTOKANA NA MAOMBI YA WENGI "TUMEFANIKIWA KUONGEZA NAFASI "20 TU" TAFADHALI ZIKIISHA HIZI NDO BASI !
![](http://4.bp.blogspot.com/-UfKBFSkoNtk/VIHBQkKvwUI/AAAAAAAARiI/mD-gTDVGAGA/s1600/INDEPENDENCE%2BBRAND%2BNEW.png)