Mona Gangster: Young Killer bado hayupo pabaya kimuziki
Meneja na producer wa zamani wa Young Killer, Mona Gangster amesema bado anaona rapa huyo ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri licha kuonekana anasuasua.
Mona amekiambia kipindi cha Friday Night Live kinachoruka EATV kuwa, Young Killer ni msanii mzuri lakini anachotakiwa ni kuongeza juhudi katika kazi zake.
“Kumwongelea future yake sitaweza kwa sababu yeye ni binadamu ni msanii mkali na anafanya vizuri lakini kitu ambacho ninaweza kukiongea ni yeye akaze tu na aendelee kufanya vizuri lakini...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi18 Feb
9 years ago
Bongo507 Oct
Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa
9 years ago
Bongo502 Nov
Stamina aondoa utata kuhusu Young Killer kuziba nafasi ya Young D kwenye Mtu Chee
![mtu chee2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mtu-chee2-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
10 years ago
Bongo504 Nov
Nafasi ya kutoka kimuziki kupitia #AirtelTRACEStar bado ipo wazi
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Young Killer arudi shule
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Erick Msodoki ‘Young Killer’, ametimiza ndoto zake za kurudi shule ambapo sasa anasomea teknolojia ya mawasiliano (IT). Nyota huyo chipukizi ambaye amejizolea umaarufu kupitia...
9 years ago
Bongo512 Sep
Music: Young Killer — Mtanzania
10 years ago
Bongo517 Jul
Wakongwe wenzangu wengi wamepigwa KO kimuziki, mimi nadunda bado — Dully Sykes
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Young Killer anusurika kichura Mwanza
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka Mwanza, Erick Msodoki ‘Young Killer’, amenusurika kurushwa kichura na wanajeshi baada ya kukatiza katika kambi yao akiwa amevaa pensi inayofanana na sare...