Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mona Gangster: Young Killer bado hayupo pabaya kimuziki

Mona

Meneja na producer wa zamani wa Young Killer, Mona Gangster amesema bado anaona rapa huyo ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri licha kuonekana anasuasua.

Mona

Mona amekiambia kipindi cha Friday Night Live kinachoruka EATV kuwa, Young Killer ni msanii mzuri lakini anachotakiwa ni kuongeza juhudi katika kazi zake.

“Kumwongelea future yake sitaweza kwa sababu yeye ni binadamu ni msanii mkali na anafanya vizuri lakini kitu ambacho ninaweza kukiongea ni yeye akaze tu na aendelee kufanya vizuri lakini...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa

Baada kuwa kimya kwa takribani miaka miwili, Kundi la Mtu Chee lililokuwa linaundwa na rappers watatu, Ibrahim Mandingo a.k.a Country Boy, David Genzi a.k.a Young Dee pamoja na Boniventure Kabogo a.k.a Stamina linarudi rasmi likiwa na mabadiliko. Country Boy Member na mmoja wa waanzilishi wa kundi hilo Country Boy amesema kuwa Mtu Chee imepata member […]

 

9 years ago

Bongo5

Stamina aondoa utata kuhusu Young Killer kuziba nafasi ya Young D kwenye Mtu Chee

mtu chee2Kulikuwa na utata kuhusu member mpya wa kundi la Mtu Chee ambalo hapo mwanzo liliundwa na rappers watatu, Stamina, Young D na Country Boy. Baada ya taarifa za Young Dee kuondoka kwenye kundi hilo, kulikuwa na taarifa kuwa Young Killer ambaye ameshiriki kwenye wimbo mpya wa kundi hilo, ‘Mtu Tatu’, kuwa ndio member mpya wa […]

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram

Wiki iliyopita mmoja wa waanzilishi wa kundi la Mtu Chee, Country Boy alisema kuwa Young Dee amejiengua kwenye kundi hilo na nafasi yake imechukuliwa na Young Killer. Wiki hii kuna cover imeanza kusambazwa ya ngoma mpya ya Mtu Chee ambayo kweli wanaonekana Country Boy, Stamina na Young Killer. Bongo5 imemtafuta Young Killer kutaka kufahamu kuhusu […]

 

10 years ago

Bongo5

Nafasi ya kutoka kimuziki kupitia #AirtelTRACEStar bado ipo wazi

Umeshaimba wimbo wako? nafasi ya kutoka kupitia muziki bado iko wazi na shindano la kusaka vipaji la Airtel Trace Star, onyesha kipaji chako sasa kwa kupiga 0901002233 na uingie kwenye kinyanganyiro cha kuwa nyota wa muziki wa Afrika, na upate dili la kurekodi katika studio kubwa ya mziki nchini marekani ya universal music, chini ya […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Young Killer arudi shule

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Erick Msodoki ‘Young Killer’, ametimiza ndoto zake za kurudi shule ambapo sasa anasomea teknolojia ya mawasiliano (IT). Nyota huyo chipukizi ambaye amejizolea umaarufu kupitia...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Young Killer — Mtanzania

Msanii Young Killer ameachia wimbo mpya unaitwa “Mtanzania” ikiwa ni kuhamasisha amani katika kipindi hiki cha kuelekea katika Uchaguzi wimbo umetaarishwa katika studio za Kiri Records na Producer Rash Don. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote […]

 

10 years ago

Bongo5

Wakongwe wenzangu wengi wamepigwa KO kimuziki, mimi nadunda bado — Dully Sykes

Kama ingekuwa masumbwi, Dully Sykes anadai wasanii wakongwe wenzake wengi wamepigwa kwa Knock Out, lakini yeye bado anadunda tu. Dully ameiambia Bongo5 kuwa hiyo ndio tofauti kubwa aliyonayo dhidi ya wenzake. “Mimi ni tofauti na wasanii wote, mimi ni msanii nisiyetabirika, mimi ni bondia ambaye napigwa lakini sipigwi kwa Knock Out, mimi sipigwi kwa KO […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Young Killer anusurika kichura Mwanza

KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka Mwanza, Erick Msodoki ‘Young Killer’, amenusurika kurushwa kichura na wanajeshi baada ya kukatiza katika kambi yao akiwa amevaa pensi inayofanana na sare...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani