Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAWAKE MSIKUBALI KURUBUNIWA KUUZA SHAHADA ZA KUPIGIAKURA

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi (DED), Saada Malunde akizungumza na wanawake kuhusu kudhibiti shahada zao za kupigiakura na wasikubali kurubuniwa kuuza shahada hizo.ZIKIWAZIMEBAKIA siku chache kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi (DED), Saada Malunde amewataka wanawake kudhibiti shahada zao za kupigiakura na wasikubali kurubuniwa kuuza shahada hizo.
Alisema kuwa katika hiki cha kuelekea katika uchaguzi mkuu oktoba mwaka...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Waandishi msikubali kurubuniwa- Spika

Pandu Ameir KifichoSPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amewataka waandishi wa habari nchini, wasikubali kurubuniwa na kutumiwa vibaya na wanasiasa kwa ajili ya kutimiza matakwa yao wakati wanapotekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria.

 

9 years ago

Habarileo

Anayenunua shahada hawezi kuona aibu kuuza haki

WANANCHI wametakiwa siku ya kupiga kura kuwa macho na watu wanaoweza kwenda kuwanunua kwa kuwagawia fedha wabadilishe msimamo wao. Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, alitoa hadhari hiyo jana mjini hapa kwenye mkutano wa kampeni uliohudhuriwa na maelfu ya watu.

 

10 years ago

Habarileo

‘Acheni kurubuniwa na wanaopinga Katiba Pendekezwa’

WANANCHI wa Zanzibar wametakiwa kutokubali kurubuniwa na watu wanaojidai kutetea maslahi ya Zanzibar kwa kupinga Katiba Inayopendekezwa na kubainisha kuwa lengo la watu hao ni kurudisha nyuma maendeleo ya Zanzibar.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Chawata: Hatupo tayari kurubuniwa na wanasiasa

WATU wenye ulemavu wamesema kuwa hawapo tayari kushawishiwa na kutumiwa na wanasiasa katika suala la upigaji wa kura ya maoni bali watahakikisha wanasoma na kuelewa Katiba inayopendekezwa. Akizungumza jana jijini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tambaza: Msikubali kumalizana kiaina

UONGOZI wa Kampuni ya Tambaza Auction Mart umesema una mkataba wa kufanya kazi Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam na kuwataka wananchi kuheshimu sheria na kutokukubali kumalizana vichochoroni wanapokamatwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Msikubali kuibiwa, Mtwara waambiwa

Wananchi wa Mtwara, hususan wakulima wa korosho, wametakiwa kuacha unyonge, badala yake wafanye kadri wanavyoweza kuhakikisha haki zao zinaheshimiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Msikubali wagombea wawalipie ada’

WAFUASI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameonywa wasikubali kulipiwa ada za uanachama na baadhi ya wanasiasa wenye lengo la kugombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu, badala yake walipe wenyewe. Baadhi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wenje: Msikubali kuchangishwa fedha

MBUNGE  wa  Nyamagana kupitia Chama cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ezekiel Wenje, amewashari wananchi mkoani hapa kutokubaliana na uchangishwaji wa fedha na Halmashauri ya Jiji kwa ajili ya ujenzi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCWT: Wafugaji msikubali kuburuzwa

MWANASHERIA Mkuu wa Chama Cha Wafugaji Tanzania (CCWT), Malema Christopher amewataka wafugaji kutokubali kuburuzwa na askari wa wanyamapori au watendaji wa kata wanaowageuza shamba la bibi kwa kuwatoza mamilioni ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani