Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Msikubali wagombea wawalipie ada’

WAFUASI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameonywa wasikubali kulipiwa ada za uanachama na baadhi ya wanasiasa wenye lengo la kugombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu, badala yake walipe wenyewe. Baadhi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CCWT: Wafugaji msikubali kuburuzwa

MWANASHERIA Mkuu wa Chama Cha Wafugaji Tanzania (CCWT), Malema Christopher amewataka wafugaji kutokubali kuburuzwa na askari wa wanyamapori au watendaji wa kata wanaowageuza shamba la bibi kwa kuwatoza mamilioni ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wenje: Msikubali kuchangishwa fedha

MBUNGE  wa  Nyamagana kupitia Chama cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ezekiel Wenje, amewashari wananchi mkoani hapa kutokubaliana na uchangishwaji wa fedha na Halmashauri ya Jiji kwa ajili ya ujenzi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Msikubali kuibiwa, Mtwara waambiwa

Wananchi wa Mtwara, hususan wakulima wa korosho, wametakiwa kuacha unyonge, badala yake wafanye kadri wanavyoweza kuhakikisha haki zao zinaheshimiwa.

 

11 years ago

Habarileo

Waandishi msikubali kurubuniwa- Spika

Pandu Ameir KifichoSPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amewataka waandishi wa habari nchini, wasikubali kurubuniwa na kutumiwa vibaya na wanasiasa kwa ajili ya kutimiza matakwa yao wakati wanapotekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tambaza: Msikubali kumalizana kiaina

UONGOZI wa Kampuni ya Tambaza Auction Mart umesema una mkataba wa kufanya kazi Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam na kuwataka wananchi kuheshimu sheria na kutokukubali kumalizana vichochoroni wanapokamatwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waandishi wa habari msikubali kutumiwa, unganeni

DSC_0017

Baadhi ya waandishi wa habari na wadau kutoka asasi mbalimbali nchini wakifanya usajili kwenye kongamano la siku moja lilioandiliwa kuadhimisha Uhuru wa vyombo vya Habari Duniani 2014 lililofanyika jijini Arusha.(Picha na Zainul Mzige).

Na Waandishi Wetu, Arusha

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Absalom Kibanda ametoa wito kwa waandishi wa habari nchini kuyapa uzito matukio yanayowatokea waandishi wa habari na kuyapigia kelele kwa nguvu zote ili kuyakomesha.

Kibanda aliyasema hayo...

 

11 years ago

Habarileo

Shekhe:Wajumbe msikubali wanasiasa wawanunue

SHEKHE wa Mkoa wa Dodoma Mustapha Rajabu amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaowakilisha kupitia taasisi zao kwenye mchakato wa kuipata Katiba mpya kutokubali kununuliwa na wawakilishi wa vyama vya siasa.

 

9 years ago

Habarileo

‘Msikubali kulipia namba ya mlipa kodi’

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imewataka wananchi kutoa taarifa endapo watatozwa fedha ili wapate namba ya mlipa kodi (Tin number), kwa sababu hutolewa bure katika ofisi zote za mamlaka hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lindi msikubali kudanganyika — Mama Salma

WAKAZI wa Mkoa wa Lindi wametakiwa kutodanganyika na kundi la watu wachache wanaotaka kuvuruga amani iliyopo bali waitunze na kuhakikisha haipotei kwani ikitoweka hao wanaowadanyanga watakimbia na kuwaacha wakiteseka. Wito...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani