Cheka apata mbabe kutoka Russia
Hatimaye aliyekuwa bingwa wa dunia wa WBF, Francis ‘SMG’ Cheka amepata mpinzani Valery Brudov wa Russia kuwania ubingwa wa WBF wa kimataifa (WBF-International).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Dec
‘Cheka atapigwa tu Russia’
>Kocha wa bondia Francis ‘SMG’ Cheka, Abdallah ‘Comando’ Salehe amemtaka bondia wake huyo akubali kupambana na Fedor Chudino wa Russia kwenye pambano lao la Jumamosi, lakini atapigwa.
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Freeman Mbowe apata ‘mbabe’ mwenzake
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora, Kansa Mbarouk amejitokeza ‘kupimana kifua’ na Mwenyekiti wa chama hicho taifa, Freeman Mbowe katika uchaguzi wa ndani unaotarajiwa kufanyika Septemba 14.
9 years ago
TheCitizen24 Dec
Cheka stripped of title after poor show in Russia
Tanzania’s boxing sensation Cosmas Cheka has been stripped of his Asia Pacific featherweight belt after faltering in Moscow, Russia.
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Pinda akutana na wawekezaji kutoka Russia
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na ujumbe wa Kampuni kutoka Russia ya Mantra Tanzania Limited inayokusudia kuwekeza katika Mradi Uranium wa Mto Mkuju, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Januari 21, 2014. Kushoto ni Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Uwekezaji na Uwezeshaji, Dr. Mary Nagu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dr. Mary Nagu (kulia) akiteta na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Bibi...
10 years ago
Vijimambo21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza
BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...
10 years ago
MichuziANKAL APATA MGENI KUTOKA COLORADO, MAREKANI, LEO
Ankal akiwa na mgeni wake Frida Kileo kutoka Colorado, Marekani, aliyetembelea makao makuu ya Libeneke jijini Dar es salaam leo na kujionea shughuli za hapo pamoja na maandalizi ya sherehe za Miaka 10 ya Michuzi Blog mwezi Septemba. Yeye ni mmoja wa wadau wakubwa wa Globu ya Jamii walioko ughaibuni.
Ankal akipata selfie na mgeni wake
Ankal akipata selfie na mgeni wake
10 years ago
GPLMPENZI WA D’BANJ APATA SHAVU KUTOKA KWA RAIS
Staa wa Afro Pop, Nigeria, D’Banj’. LAGOS, Nigeria Mpenzi wa staa wa Afro Pop, Nigeria, D’Banj’, Adama Indimi hivi karibuni amepata mwaliko wa kukutana na rais wa nchi hiyo, Muhammadu Buhari. Kufuatia mwaliko huo wa Adama aliouanika kwenye ukurasa wake wa Instagram, D’Banj hakuwa na mengi ya kuandika zaidi ya maneno matamu ya kumtakia mkutano mwema.Hata hivyo, wawili hao mara kwa mara wamekuwa...
10 years ago
MichuziDkt MUSA MDEDE apata Baraka za kuwa mbunge wa jimbo la kalenga kutoka kwa vijana wa kikatoliki wa jimbo hilo
Dkt MUSA LEONARDMDEDE akitoa neno katika kongamano la vijana wa Katoliki Vijana kikatoliki lililofanyika katika kijiji cha Ulete mkoani Iringa.Sehemu ya vijana wakimsikiza mdede katika kongamano hilo. Baadhi ya viongozi wa vijana hao wakiwa makini kumsikiliza Dkt. Mdede. Kwa habari kamili na picha zaidi.
BOFYA HAPA
BOFYA HAPA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania