Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHEKA NA KITIME: NAANZISHA BODABODA DRIVING ACADEMY

HII ishu ya kukamata fursa imenifanya nikeshe siku tatu mfululizo nikiwaza, niikamatie wapi hiyo fursa?  Hatimae usiku wa kuamkia leo kitu kama saa tisa na nusu hivi,  picha ya wazi ikaja ya nini nifanye. Hapa nipo namalizia kuandika mambo ambayo nitayafanya ili niishi vizuri hapa mjini. Hii ni siri nawaambia nyinyi tu ndugu zangu, nimeamua kuanzisha chuo kitakachoitwa  International Bodaboda Driving Academy, kifupi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

CHEKA NA KITIME: NIMEUZIWA MCHICHA FEKI

BAADA ya kuhangaika muda mreeefu kutafuta njia ya kuingia studio kurekodi nyimbo zake, hatimae jamaa yangu (jina nalihifadhi), akakutana na jamaa wakamwambia wanamfahamu mtu mwenye studio. Ndugu yangu akasindikizana na rafiki zake mpaka studio, akawakuta vijana wenzie nje ya lile jengo, wengine akawafahamu, wasanii maarufu ambao aliwahi kuwaona tu kwenye TV na magazeti, hapo akajua lazima naye sasa atakuwa mmoja wa wasanii...

 

10 years ago

Michuzi

CHEKA NA KITIME;MIE TENA MICHANGO YA HARUSI, HAPANA!

BAADA ya matukio ya harusi ya Jumamosi iliyopita natoa onyo ole wake atakayeniomba mchango wa harusi, sitaki utani. Labda kwanza nikueleze jinsi tulivyopata misukosuko sana kwenye uchangiaji wa ile harusi, maana siku hizi hakuna pa kukimbilia, kila asubuhi unaamshwa saa kumi na mbili na meseji kwenye simu;
“Ndugu rafiki na jamaa wa familia ya Pingapinga inakukumbusha kuwa harusi ya mtoto wao imekaribia hivyo mchango wako unahitajika”, baada ya wiki  meseji huwa kali zaidi;“Siku...

 

10 years ago

Vijimambo

21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza


BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...

 

10 years ago

Michuzi

JAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA

 Mlinda mlango Maganga Benjamin wa timu ya Bodaboda Wilaya ya Ilala, akiudaka mpira katikati ya wachezaji wa timu ya Jambo Leo 'Wagumu Stars' Zahoro Mlanzi (kushoto) na Ali Salum wakati wa Tamasha la Bodaboda lililofanyika kwenye Uwanja wa Ukonga Gerezani, Dar es Salaam. Mgeni rasmi katika tamasha hilo alikuwa Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa. Jambo Leo ilishinda mabao 2-1. Moja ya kizazaa langoni mwa Bodaboda FC iliyosababishwa na washambuliaji wa Jambo Leo Mshambuliaji wa timu ya...

 

9 years ago

TheCitizen

Nyerere’s role in driving changes

When he died in 1999, the multiparty system was still in its infancy, with only one General Election under the system in 1995. Today, exactly 16 years after his passing, the political landscape has drastically changed. And Tanzania with only 11 days from the most competitive elections on its history, what he stood for has been cropping up and then.

 

9 years ago

BBC

Doumbia guilty of driving offences

Mali international Tongo Doumbia is given an eight-month prison sentence for driving offences, reduced to wearing an electronic bracelet.

 

11 years ago

TheCitizen

GM may be driving past ignition crisis

For signs that General Motors Co’s ignition switch crisis may be fading, look no farther than the quiet annual meeting this week.

 

9 years ago

TheCitizen

When driving brings both fear and freedom

Since Rokhsar Azamee began driving the streets of Kabul last year, she has endured condescension, ridicule, and even threats to her life with some men deliberately causing “accidents” to harass her. But she will not be deterred.

 

11 years ago

TheCitizen

Drink driving: How much will your next round cost you?

During one of the Sabasaba shows, I sauntered into the police stand. Being one who loves dogs, my fancy had been caught by the huge German shepherds and Alsatians in the kennels.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani