CHEKA NA KITIME: NIMEUZIWA MCHICHA FEKI

BAADA ya kuhangaika muda mreeefu kutafuta njia ya kuingia studio kurekodi nyimbo zake, hatimae jamaa yangu (jina nalihifadhi), akakutana na jamaa wakamwambia wanamfahamu mtu mwenye studio. Ndugu yangu akasindikizana na rafiki zake mpaka studio, akawakuta vijana wenzie nje ya lile jengo, wengine akawafahamu, wasanii maarufu ambao aliwahi kuwaona tu kwenye TV na magazeti, hapo akajua lazima naye sasa atakuwa mmoja wa wasanii...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 Nov
POLISI WAKAMATA KONYAGI FEKI VINGUNGUTI KARIBU NA MCHICHA
11 years ago
GPL
CHEKA NA KITIME: NAANZISHA BODABODA DRIVING ACADEMY
11 years ago
Michuzi05 Nov
CHEKA NA KITIME;MIE TENA MICHANGO YA HARUSI, HAPANA!

“Ndugu rafiki na jamaa wa familia ya Pingapinga inakukumbusha kuwa harusi ya mtoto wao imekaribia hivyo mchango wako unahitajika”, baada ya wiki meseji huwa kali zaidi;“Siku...
10 years ago
Vijimambo
21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza
BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...
10 years ago
GPL
MWANA HERI KULA MCHICHA KWA FURAHA KULIKO BATA KWA KARAHA!
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Kitime akosoa muziki wa Christian Bella
NA GEORGE KAYALA
MKONGWE wa muziki wa dansi nchini, John Kitime, ameukosoa muziki wa mwanamuziki mwenzake, Christian Bella, kwa madai kwamba una mapungufu mengi ya kiufundi.
Kitime alitoa hayo mwishoni mwa wiki, alipotembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, iliyopo Sinza Kijiweni, inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Bingwa, Dimba, The African na Rai.
Kitime alisema mwanamuziki huyo ana sauti nzuri ya uimbaji, ila muziki wake umekosa vionjo, ndiyo maana unakosa uhai wa muda mrefu...
10 years ago
GPL
MKE WA KITIME AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI DAR
11 years ago
Michuzi.jpg)
libeneke la anko john kitime lakata mbuga
.jpg)
10 years ago
GPL17 Feb