Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


cheki songombingo la bodaboda mjini hanoi, vietnam

Wingi wa pikipiki na baiskeli katika mji Mkuu wa Vietnam, Hanoi, ni balaa. Yeyote aliyewahi kutembelea mji huo mkongwe anakiri kwamba songombingo la pikipiki na baiskeli si la kawaida, hasa ikiwa unatembea kwa miguu. Takwimu rasmi zinasema kulikuwa na pikipiki milioni 4 mwaka 1996 katika Vietnam yote. Leo idadi hiyo ipo mjini Hanoi peke yake, ambapo inaaminika kuna jumla ya pikipiki milioni 39 nchi nzima, ikimaanisha kwamba, ukiondoa wazee sana, na watoto, karibu kila M-Vietnam ana...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

utitiri wa bodaboda jijini Hanoi, Vietnam, na nidhamu ya waendeshaji wake...


Kwa taswira zaidi za bodaboda jijini Hanoi, Vietnam, BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

President Kikwete in Hanoi,Vietnam today

President Dr Jakaya Mrisho Kikwete lies a wreath at the Mausoleum of the First President Ho Chi Minh in Hanoi on his last leg of his two-day official visit to Vietnam today October 28, 2014.President Dr Jakaya Mrisho Kikwete visits the Hung Fen Food Stuff Corporation at Trung Son in Hanoi on his last leg of his two-day official visit to Vietnam today October 28, 2014. President Dr Jakaya Mrisho Kikwete in a souvenir photo with workers of the Garment 10 Corporation textile mill he visited...

 

11 years ago

GPL

KAMATI YA BODABODA DAR YATOA TAMKO KUZUIWA KUINGIA MJINI

Baadhi ya viongozi na  wanachama wa bodaboda wakiwa katika mazungumzo na wanahabari. Katibu Bw.Daudi Hauliani akisoma tamko mbele ya waandishi wa habari. Mwenyekiti Bw. Said Chenja akizungumzia msimamo wao.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Kamata kamata bodaboda na bajaji mjini, Jiji lageuza biashara..!

Baadhi ya madereva wa pikipiki wanaozitumia kama vyombo vya usafiri binafsi kwenda na kurudi kazini wakihoji juu ya mkanganyiko huo katika ofisi za Jiji la Dar es Salaam, juzi. Hata hivyo hawakupata majibu zaidi ya kukut

Baadhi ya madereva wa pikipiki wanaozitumia kama vyombo vya usafiri binafsi kwenda na kurudi kazini wakihoji juu ya mkanganyiko huo katika ofisi za Jiji la Dar es Salaam, juzi. Hata hivyo hawakupata majibu zaidi ya kukuta tangazo lililositisha upokeaji wa tozo za kuingia mjini na vibali.

Tangazo lililobandikwa na Jiji kusitisha zoezi la ukusanyaji wa tozovibali vya kuingia mjini na pikipiki

Tangazo lililobandikwa na Jiji kusitisha zoezi la ukusanyaji wa tozovibali vya kuingia mjini na pikipiki.

ZOEZI la kupiga marufuku bodaboda na bajaji zinazofanya biashara katikati ya Jiji la Dar es Salaam...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Globe Turns Attention to SDGs As 132nd IPU Assembly Closes Curtains in Hanoi


IPPmedia
Globe Turns Attention to SDGs As 132nd IPU Assembly Closes Curtains in Hanoi
AllAfrica.com
Arusha, Tanzania — The curtain has closed on the 132nd Inter-Parliamentary Union Assembly and related meetings in Hanoi, the Socialist Republic of Vietnam with a sustained call on legislators to take more ownership on the implementation of Sustainable ...
IPU members commend Tanzania's ParliamentIPPmedia
IPU hails Parliament of Tanzania, UN relationsDaily News

all 5

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Jimbo la Singida Mjini haijawahi kutokea, waingia kwa staili ya aina yake wakitumia Bodaboda na Bajaji

DSC_0204

Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), Naibu Waziri wa Fedha ambaye pia Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Mh. Mwigulu Nchemba wakiwa kwenye boda boda, wakati wa msafara wa kuelekea kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika eneo la viwanja vya People’s Club mjini Singida.

DSC_0232

Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana , sambamba na Katibu wa Itikadi na  Uenezi Nape Nnauye,wakiwasili kwenye viwanja vya People’s Club kwenye mkutano wa hadhara kwa staili ya aina yake kwa...

 

10 years ago

Michuzi

JAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA

 Mlinda mlango Maganga Benjamin wa timu ya Bodaboda Wilaya ya Ilala, akiudaka mpira katikati ya wachezaji wa timu ya Jambo Leo 'Wagumu Stars' Zahoro Mlanzi (kushoto) na Ali Salum wakati wa Tamasha la Bodaboda lililofanyika kwenye Uwanja wa Ukonga Gerezani, Dar es Salaam. Mgeni rasmi katika tamasha hilo alikuwa Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa. Jambo Leo ilishinda mabao 2-1. Moja ya kizazaa langoni mwa Bodaboda FC iliyosababishwa na washambuliaji wa Jambo Leo Mshambuliaji wa timu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani